GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, Kila kitu kina mwisho wake, Lakini mwisho mkuu wa vitu vingi ni kufa au kusahaulika kabisa
Mimi ni mwana ccm lakini CCM yetu ni ile ile, Ni ile ile iyojaa utu na kuheshimiana. CCM ile ile ndio ccm a silia
Kwanini nimeuleta uzi huu hapa JF?
Mosi, Mwaka 2016 mpaka Mwanzoni mwa mwishoni mwa mwaka 2020, Bashiru Ally pamoja na Humprey Polepole walianzisha ccm mpya ndani ya ccm asilia yaani ndani ya ccm ile ile
CCM mpya iliendesha Propaganda na kuaminisha uma kuwa miradi yote ya Mwendokasi yaani BRT, Barabara zote za lami nchi hii, Shule zote za serikali mpaka zile tulizorithi toka kwa wakoloni kama Tabora boys, Pugu, Iyunga Technical zote zilijengwa na ccm mpya ya John Magufuli
CCM mpya iliaminisha uma kuwa uhuru wa nchi hii wa mwaka 1961, na taasisi zote kama TRA na Takukuru basi tulizipata kwa ushujaa wa John Pombe Magufuli
Madhara ya muda mfupi wa ccm mpya Leo yanawatafuna wenyewe kwenye uzinduzi na ukaguzi wa daraja jipya wami
CCM asilia nayo inajibu mapigo ya Madhara ya CCM mpya kuwa daraja la wami, Rais Samia ndio amelijenga na kuliplani kwa kulikamilisha ndani ya miezi 18 tu
Maswali ya kujiuliza
Je hizi barabara za Mwendokasi ambazo mwaka 2014 wakati wa kikwete zilifikia asilimia 70%, Lakini aliyezindua akasema nimejenga mimi mwenyewe kwa Fedha za ndani
Je hii barabara ya Mwenge kwenda Tegeta nyuki ya leni mbili ambayo ilianza wakati wa Kikwete, Lakini aliyezindua alisema Nimefanya Mimi
Daraja la Tanzanite pale Posta lilizinduliwa na mwana CCM asilia(Mama Samia) , Yeye alisema credit kwa Magufuli kwa uwazi kabisa na kwa kuheshimu mchango wake
CCM mpya ilifanya Propaganda kuonyesha viongozi wa zamani wa nchi hii si lolote wala chochote, Mbaya zaidi haya yalifanywa na vijana waliozaliwa baada ya uhuru
Heshima na Hekima ni muhimu kuliko siasa za maji taka, Siasa za maji taka za kujimwambafai, Kujiona upo juu ya sheria, kujiona wewe ni immortal, Kujiona wewe una akili kuliko wengine
Kuna mtu aliwahi sema usiite vitu ulivyovikuta duniani ni haramu kwani vilikuwepo kabla yako na hata ukipambana navyo bado utaondoka wewe kurudi ulikotoka na utaviacha vitu hivyo na uharamu wake kwani hukuviumba wewe
Mimi ni mwana ccm lakini CCM yetu ni ile ile, Ni ile ile iyojaa utu na kuheshimiana. CCM ile ile ndio ccm a silia
Kwanini nimeuleta uzi huu hapa JF?
Mosi, Mwaka 2016 mpaka Mwanzoni mwa mwishoni mwa mwaka 2020, Bashiru Ally pamoja na Humprey Polepole walianzisha ccm mpya ndani ya ccm asilia yaani ndani ya ccm ile ile
CCM mpya iliendesha Propaganda na kuaminisha uma kuwa miradi yote ya Mwendokasi yaani BRT, Barabara zote za lami nchi hii, Shule zote za serikali mpaka zile tulizorithi toka kwa wakoloni kama Tabora boys, Pugu, Iyunga Technical zote zilijengwa na ccm mpya ya John Magufuli
CCM mpya iliaminisha uma kuwa uhuru wa nchi hii wa mwaka 1961, na taasisi zote kama TRA na Takukuru basi tulizipata kwa ushujaa wa John Pombe Magufuli
Madhara ya muda mfupi wa ccm mpya Leo yanawatafuna wenyewe kwenye uzinduzi na ukaguzi wa daraja jipya wami
CCM asilia nayo inajibu mapigo ya Madhara ya CCM mpya kuwa daraja la wami, Rais Samia ndio amelijenga na kuliplani kwa kulikamilisha ndani ya miezi 18 tu
Maswali ya kujiuliza
Je hizi barabara za Mwendokasi ambazo mwaka 2014 wakati wa kikwete zilifikia asilimia 70%, Lakini aliyezindua akasema nimejenga mimi mwenyewe kwa Fedha za ndani
Je hii barabara ya Mwenge kwenda Tegeta nyuki ya leni mbili ambayo ilianza wakati wa Kikwete, Lakini aliyezindua alisema Nimefanya Mimi
Daraja la Tanzanite pale Posta lilizinduliwa na mwana CCM asilia(Mama Samia) , Yeye alisema credit kwa Magufuli kwa uwazi kabisa na kwa kuheshimu mchango wake
CCM mpya ilifanya Propaganda kuonyesha viongozi wa zamani wa nchi hii si lolote wala chochote, Mbaya zaidi haya yalifanywa na vijana waliozaliwa baada ya uhuru
Heshima na Hekima ni muhimu kuliko siasa za maji taka, Siasa za maji taka za kujimwambafai, Kujiona upo juu ya sheria, kujiona wewe ni immortal, Kujiona wewe una akili kuliko wengine
Kuna mtu aliwahi sema usiite vitu ulivyovikuta duniani ni haramu kwani vilikuwepo kabla yako na hata ukipambana navyo bado utaondoka wewe kurudi ulikotoka na utaviacha vitu hivyo na uharamu wake kwani hukuviumba wewe