Baadhi ya visa vya mapenzi nilivyowahi kupitia

Baadhi ya visa vya mapenzi nilivyowahi kupitia

Gangster shit!, I remember when I was on the foolish age. Hizi enzi Rock City ilivamiwa na kawimbi fulani ka mageng utadhani ilikuwa south American. Kila street kulikuwa na gang, sio kama hizi za kina konde and others right now. Nazungumzia hapa ni zile geng za kukinukisha. People are loose their mind for real.

Around 2010 hivi ndipo hizi tabia zilishamiri mno ndani ya jiji hili la miamba. Kipindi hiki mzee wa Msoga anautaka urais for the second time.

Nature create us right!, So nikatakiwa kuact like gangster ili tu niwe protected/ kusurvive. Uonevu ulikuwa mkubwa mno kwa kipindi hiki mpaka wengine walipoteza maisha. Mwili wangu mnaujua so punguza miaka kadhaa kisha punguza lishe kidogo plus msoto wa school na hapo utapata picha halisi ya how I was. Let cut the bullshit about motivation speaker things and go through the story.

So, kitaa kulikuwa na pisi unaweza kumuita Miss wa mtaa. Yes alikuwa miss coz geng nzima plus machalii wakitaa wote walikuwa wakitoa macho. Alikuwa moto kinoma ile black beuty ya kwenda mfano wa mh.
DC wa Kinondoni, ila alikuwa binti maringo. Hakuna aliye fanikiwa kumpata licha ya wana kushoot their shot. Wengine wakitumia SMG, AK47 mpaka RPG ila misheni ilikuwa impossible.

The girl aliset standard na kweli aliweza kuimaintain, Mimi sikuwa kati ya wapambaniaji wa ukombozi chini ya mkoloni mweusi. Kwa sababu yule demu alikuwa mkubwa kwangu ila fisi niliitaka minofu pia.

Baada ya mkwamo wa mashambulizi yale. Ukaundwa mpango mkakati kwa kuzingatia itifaki. Hatukuwa na gang kubwa kwani Nyakato sokoni ilikuwa nusu ushua nusu uswahili. Hivyo magang yetu ya huku hayakuwa Kama ya maeneo mengine ya kiswahili pasee.

Ambition was to get closer to her, we decide kuwa mmoja kati ya member wa gang ajisogeze kwake. Akiwin kutengeneza mazoea ya ukaribu then tunarescue our plan. Plan ilikuwa ni kumla collaboration, yaani tushare wote wana kitaa tupeane featuring. Mipango ikawa complete tukawa tunasikilizia time ifike tuweze kuapply live and direct kando na yale makaburi enzi hizo hakuna mob la nyumba kama sasa.

I was intelligent sio kushinda wote ila kuwashinda wengi and a lot of experience kumkichwa. Hii ni baada ya kufanikisha kwa kiwango cha SGR kwa misheni za gang hapo nyuma (zilikuwa misheni uchwara tuachane nazo, ila huko mbele nitashare kama itanipendeza all in all ni teenager things).

Usimamazi wa mpango mzima nilikabidhiwa mimi huku jukumu la kumsogelea akipewa Salum (light skin niga). After two months we are ready to use our plan, so tukakutana kupeana brief za hapa na pale kabla ya siku ya tukio. Nakumbuka ilikuwa kwenye kiwanja kilichotizamana na ile NYAKATO VTC. Baada ya brief za hapa na pale tukatawanyika huku kila mtu akipewa jukumu lake.

Kuna fala mmoja wacha hata nisimtaje coz kila nikikumbuka huyu mjinga alivyokitia mchanga kitumbua nizidi kumumind. Acha na kukwamisha mchongo wenyewe ila kilichonikuta pia ndio kinanifanya nimchukie zaidi ms**nge yule.

Wacha tumuite fala coz anadeserve kabisa, huyo fala si akatoka na kwenda kuvujisha info kwa muhusika (yaani ile pisi). Akaorodhesha na majina yetu ili kujichukulia pointi tatu muhimu.

Sina hili wala lile nimechill na babu tunakula stori moja mbili hakuwa maji hivyo tulikuwa tukielewana. Mara nashangaa ka kikundi fulani utasema people power wameitisha maandamano kanaingia viwanja vya maskani. Huku wakitamba zaidi hata ya Aslay.

Shit kwa mbali si walikuwepo na madem wa mtaa, unajua vyema kuwa pisi kali always lazima iwe na rafiki yake fulani kwa sababu zake tu anakuwa na sura personal. Na hao ndo macontroller wa hizi pisi kali. Ilikuwa hivyo hata kwa hii pisi ilikuwa na rafiki yake ambaye hata tuseme hakuwa na sura ya baba yake coz namjua baba yake na hakuwa na sura mbaya Kama yake.

Huyo ndo alishika bango sasa utadhani yeye ndo tulimtaka. Mimi pekee ndo nilikuwa mdogo kwenye gang plus Sina mwili. Hivyo yule miss wa mtaa na gang lake alilokodi akatake advantage ya vitu hizo na kunitaka Mimi ni address mpango mzima kwake tena kwa kukwida na kelele nyingi.

Wazee nilining'nizwa kwa mikono miwili kwani nilitosha vyema Kisha nikawekwa kwenye ukuta wa nyumba yetu wenye cheeping (zile lipu za vinundu nundu). Imajini mwanaume nilining'nizwa pale huku napigwa na maneno ya kile kikundi kilichofika pale. Ilikuwa noma sana kwani Sina cha kuongea si unajua ukiwa snich basi wauni wanakuona kama snake na always snake Ni lazima akanyagwe chini (hata kwenye biblia imesema).

Sikutaka kuwa snake hivyo nikakaza huku sasa nikataka kujipapatua, nikimchek babu ni kama aliniambia nisiwe mzembe kiwango kile niliaibisha ukoo (wasukuma sisi sio wazembe). Hivyo nikajipapatua kwa kuipangua mikono yake iliyonifanya miguu isikanyage vyema chini. Ile kupangua ile mikono uso kwa macho nikakutana na ile pisi mbovu kwani ile pisi kali ni kama ilipepesuka na kupisha njia msukuma nipite.

Haikuishia kwenye sura mbaya tu, she was strong enough to slap me na nikaziona nyota kadhaa na mbigu ikiwa usawa wa paa la nyumba. Hakutosheka akanikwida yeye sasa we si Bora hata ningekutana na Mwakinyo. Ile push nilipewa nikaurudia ukuta nao ukanipokea bila hata pole Kisha ukanirudisha kwa watesi wangu. She take me and tukatizamana kama mabeberu ya mbuzi. Kisha ikaniweka kichwa kimoja matata kiasi kuisi Sina tena komwe.

Nikaweka mkono kuhakiki Kama kweli komwe lilibaki au liliondoka na kichwa cha ile pisi mbovu. Nilipohakikisha kuwa lilibaki nikamind na kuona ni heri kufa nimesimama kuliko kupiga magoti (shetani was on duty). Kwani kama Mungu asingemruhusu shetani awe zamu Basi nisingeweza kupata wazo lile bovu la kupambana na ile pisi.

Nikarusha ngumi si ikampalaza (haikumpiga) juu kidogo karibu na titi, we akaja na makofi kama kapandwa na mruhani (nilimwaga petrol kwenye mto kwa malengo ya kuuzima). Ujuzi wa kuyapangua sina hivyo nikajikunyata tu yote yakiniishia mgongoni na kichwani. Ilikuwa vurugu haswa ni kama ugonvi ukawa kati yangu na ile pisi mbovu na ilinicharaza kweli. Nilikula kichapo kiasi ambacho babu aliona atanipoteza na kuingilia.

Fun thing baada ya lile tukio ni kuwa nilihudumiwa na kupona kabisa na ile pisi kali. Huku yule mwana aliyevujisha mchongo akionekana ni snitch na tulimkata jina kama wajumbe wa kamati kuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee ,its bitter story but nilimkula mtoto wa bro wangu wa damu

Ilikua hivi , after long time bro alitoka UK kuja bongo kututembelea so alikuja na family yote


Familia ya watoto wa 4 wa kwanza girl na wadogo zake 3

Kusema la ukwel huyu mtoto wa kwanza w bro alikua ni hatari , yaani hatari sana
She was perfect toto liimechanganya muarabu sio muarabu halfcast so halfcast daah ni shidaaa

Kipindi hiko nipo form 4 basi girl akanizoea kwa vile alikua anaongea fluent english nikawa ndo napata chance ya ku practice

Ilikua kila nikirud shule basi tunapiga story etc


Ukaribu ulikua mkubwa sana nikawa nikitoka namchukulia zawadi uncle namletea tunapiga story mpaka watu wote wamelala....sisi tunakua wa mwisho

Basi bwna siku moja tumeangalia tv mpaka kila mtu ameshaenda kulala ila sisi bado kila nikimumbia ok go to sleep mtoto anasema. Hajiskii kulala ..huku namuona kabisa mtoto haniangalii usoni
Daah....nikahis leo hapa sio kawaida

Basi nikamuliza are you ok?

Mtoto alaniambia kuna mtu kampenda sna

Mmmh nikapigwa na butwaa....nani tena huyo ananipa condition za kunitajia jina....ok nika accept conditions


Haki ya nani nilikua kama nimepigwa shot ya umeme...mtoto alitaja jina langu

Daah baada kuona nimeshangaa mtoto akasema i am sorry but i can't help my self

Kidume shetani akanitawala nikapata ujasiri wa ajabu nikamuambia usjl i just feel the same....mtoto alinirukia kama anarukia bodaboda

Alinipa makiss kizungu ya hatari sna yaan ya hatari sna


Ilikua kama saa 8 usku watu wote wamelala, nikamchukua room kwangu nilimnyonya mtoto mpaka kwenye equator

Toto lilikua toto hadi leo sjaona mfano wake


Niliimtafuna mtoto alikua mtamu hatar......


Kuanzia siku hio ilikua tunakulana daily ila kisiri snana


Kimbembe kilikuja muda ulipofika wakuondoka na kurud UK

Aisee mtoto aligoma kuondoka ikawa kizai zai


Ila ngoja niishie hapo.
 
Aisee ,its bitter story but nilimkula mtoto wa bro wangu wa damu

Ilikua hivi , after long time bro alitoka UK kuja bongo kututembelea so alikuja na family yote


Familia ya watoto wa 4 wa kwanza girl na wadogo zake 3

Kusema la ukwel huyu mtoto wa kwanza w bro alikua ni hatari , yaani hatari sana
She was perfect toto liimechanganya muarabu sio muarabu halfcast so halfcast daah ni shidaaa

Kipindi hiko nipo form 4 basi girl akanizoea kwa vile alikua anaongea fluent english nikawa ndo napata chance ya ku practice

Ilikua kila nikirud shule basi tunapiga story etc


Ukaribu ulikua mkubwa sana nikawa nikitoka namchukulia zawadi uncle namletea tunapiga story mpaka watu wote wamelala....sisi tunakua wa mwisho

Basi bwna siku moja tumeangalia tv mpaka kila mtu ameshaenda kulala ila sisi bado kila nikimumbia ok go to sleep mtoto anasema. Hajiskii kulala ..huku namuona kabisa mtoto haniangalii usoni
Daah....nikahis leo hapa sio kawaida

Basi nikamuliza are you ok?

Mtoto alaniambia kuna mtu kampenda sna

Mmmh nikapigwa na butwaa....nani tena huyo ananipa condition za kunitajia jina....ok nika accept conditions


Haki ya nani nilikua kama nimepigwa shot ya umeme...mtoto alitaja jina langu

Daah baada kuona nimeshangaa mtoto akasema i am sorry but i can't help my self

Kidume shetani akanitawala nikapata ujasiri wa ajabu nikamuambia usjl i just feel the same....mtoto alinirukia kama anarukia bodaboda

Alinipa makiss kizungu ya hatari sna yaan ya hatari sna


Ilikua kama saa 8 usku watu wote wamelala, nikamchukua room kwangu nilimnyonya mtoto mpaka kwenye equator

Toto lilikua toto hadi leo sjaona mfano wake


Niliimtafuna mtoto alikua mtamu hatar......


Kuanzia siku hio ilikua tunakulana daily ila kisiri snana


Kimbembe kilikuja muda ulipofika wakuondoka na kurud UK

Aisee mtoto aligoma kuondoka ikawa kizai zai


Ila ngoja niishie hapo.
Noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Visa hivi sio vyenye mfuatano bali ni matukio yenye kujitegemea #02


SIKU MOJA NILIKUA NA SAFARI YA MWANZA TO DAR,SPONSA AKASEMA NILE MWEWESIKU HIO NILICHELEWA KIDGO KUFIKA AIRPORT.SO NILIFIKA NIKAFANYA CHECK IN HARAKA HARAKA TU NIKASONGA MBELE WAITING AREA.


KATIKA PIRIKA PIRIKA NIKASHANGAA WANANITANGAZA KWENYE SPEAKER ZAONILISHTUKA NIKAJUA WAMEKAMATA BANGI KWENYE BAG ZANGUNILIOGOPA SANA.
BASI NIKASOGEA PALE SEHEMU YA MWISHO YA UKAGUZI NIKAWAAMBIA MIMI NDO VICTOR,WAKANIAMBIA NIKAE PALE NISUBIRI KIDGONIMEKAA MARA IKATOKEA PISI MOJA YA MOTO SANA IKANIAMBIA WE NDO VICTOR?NIKAKUBALI HUKU NAOGOPAYULE DADA AKANIPA KITAMBULISHO AKASEMA I BELIEVE THIS IS YOURSKUMBE WAKATI NINA PROVE IDENTITY NIKAWA NIMEDONDOSHA ID YANGU YA CHUO.NIKAIPOKEA NIKAMWAMBIA ASANTE THEN NIKAPITA HIVI.

SASA WAKATI NAINGIA KWENYEMLANGO WA NYUMA ALIKUEPO TENA UYO DADA SHE WAS VERY FINE GIRL IN DEED (kama yule wa ifm alisababisha mwananguu @jid akataka kujirusha kwa ghorofa)NIKASEMA WACHA NIJIDAISHE SIJUI SEAT YANGU ILIKO ATLEAST NIPATE KUSEMA NAE KIDGO.AKANIELEKEZA NIKAENDA KUKAA BHANA.WAKAFANYA YALE MATANGAZO YAO THEN NIKAONA ANAENDA KUKAA KULE NYUMA.JUU MORNING FLIGHT HAZINA WATU WENGI MANY SEATS WERE EMPTY SO I ASKED IF I COULD SIT KULE NYUMA NA YEYE SHE AGREED.NIKASWITCH SEATS AND WE TOOK OFF

I enjoyed the journey for very few minutes (juu kukaa besides yeye na story za hapa na pale)
But Everything changed walivoamka na kuanzia kugawa snacks
Alienda kuanza kugawa kule mbelee akaonana na a rich dude imevimba pale first class after seeing him all I can say she never saw me the same again 🥹🥹basi kushuka dar akaniambia tu goodbye ya juu juu boychild nikahepa kichwa chini🥹


Fast forward kufika dar life likaendelea fresh tu
Mimi na mishe zangu hapa na pale Unyama
One day nikiwa class nikaona notifications kwa instagram,Kuna mteja anahitaji socks na Tshrts pamoja na sweta amsurprise boy wake so akasema nimchagulie vitu kali coz alkua anataka Boy wake afurahi so ikabidi nidoji kipindi ili kufata ela sababu chuo hakueleweki.Nikatoka zangu chapuu klass nikasogea kudeliver mali mitaa ya NIT pale.

Kufika NIT bhana yule manzi akasema hayupo chuo bado yupo Ghetto kwake anajiandaa kuja chuo so akanipa options nimsubiri pale chuo au nisogee ghetto kwakeThat day kulikua na kimvua flani hvii so nikaona hii ni fursa wacha nisogee ghetto kwake due to the cold weather maybe naeza kupewa chochote kitu sababu ya good customer carelengo kubwa ni Customer satisfaction ili awe More than a Customer(JAPO KUA MWANANGUU @haulay_97 na @kuzabussines wanasema mteja Hatongozwi)

Nikaanza safari ya kusogea mtaa wapili ambao alisema anakaa hapa lengo nikamsuprise tunimeeka earphones naskiliza BACK TO SLEEP
Nikiwa napigia picha vyenye ntamkuta huko gheto kwake na baridi lile.Ghafla simu ikaita akaanza kusema mbona sikuoni mm niko hapa chuo nimeshafika tayari so mnyama nikaona mission ishakua nzito nikaanza kurudi tena pale NIT getinikufika tu aisee nikaona hio toto imekaa poa sana na to act more professional nikapeana salamu pale then I gave her the goods akawa anazikagua huku analalamika vyenye her boyfriend hua hajui kutunza zawadi(mnyama kiroho kinaniuma kwa mbali pale basi tu najikaza tu nasema hizi ni nzuri atazipenda).So she paid me km 115k nikatia tia huruma za biashara pale akaniongeza 5k.kibunda kikawa mingi sananikamsindikiza mpk getini akaingia chuo.
Sasa wakati naanza safari ya kurudi

So wakati natoka pale getini kukawa km kuna mzozano kati ya Walinzi na mdada mmoja hvi because of her dress codes.Nikasema wacha nishangae mtanange kidgo wale walinzi wakawa wamtimua kabisa yule dada.She walked away sasa wakati anatoka alkua anatembea km hayuko mzima.Si ndgu yenu huruma zikaniingia nikaenda kumsemesha nilipomfikia tu nikamsalimia afu ghafla tu she said kwa kigugumizi“yaani wewe hadi huku unafika,umefata nn huku”.Nikaanza kuwaza huyu ananijua au ni wenge la maafande.
nikamuulza sorry kwani tunafahamiana?.Ndio akanikumbusha tulikutana Airport 🥹moyo ulifurahi sanaNikasema milima tu ndo haikutani

Kipindi tunaongea pale akaniambia anaskia kifua kinamuuma so ni request usafiri uje umpeleke kwao.Kipindi tunasubiri gari nikaona anakua anatetemeka sana so as humble born and well-raised MSUKUMA nikaona wacha nimpe Sweta yangu im-comfort,manzi akavaa sweta bhana meanwhile bolt imefika but mabibo sokonii kuna foleni so akaomba tusogee pale urafiki kituo cha mafuta.Nikashika mkono bibie tukaanzaa safari.Huko njiana naona pisi mwendo unakua mdgo mara akasimama nikamuuliza vipi akaniambia I feel bad basi nikasogea nikamshika vzr tukatembea mpka kwa bolt.Nikampandisha then nikamwambia safe trip take care kwa huruma kakaniangalia kakasema please help me nifike Home don’t go(nikatamani kuchekanikawa naona mpk hizi ni km drama au ameuzimia mziki).Nikawaza kauongo ka kumwambia nikakosa nikasema tu pweteeeeleaa pwete wacha niende na hii drama mpk mwisho

So tumeanza safari hivi ikabidi nimuulze jina akasema anaitwa SthandwaSami (nikasema uyu ananiona fala kunitajia maneno ya kizulu) basi nikamsifia it’s a beautiful name akasmile.Baada ya muda ghafla tu naona mtoto ananirembulia🥲nikamwambia vipi how do you feel?Akasema I feel like dying,oyaa nilishtuka kisengeNikamuuliza kwa nn unasama hvo Akajibu I can’t breathe properly mnyama nikajikua nacare kweli nikamwambia driver kwa ukali ebu zima ilo AC

Nikamuulza tena anajiskiaje akasema worstndipo nikasuggest kimasihara tu “maybe we should go to the hospital”.Akasema twende hospital moja inaitwa Ekenywa iko Magomeni ndo hua anatibiwa.So went to the hospital nikamlipa jamaa wa bolt afu 15.Nikapeleka manzi hospital kufika nikawaomba manesi pale wampe first aid because she can’t breathe and they took her.Mimi nikachukua pochi lake nikaenda reception pale kuanza process za matibabu

So kutoa ile Bima yake waka process wakaniambia we have to pay cash bima imesha expire nikarudishiwa bimaBhana Nilichogundua hii dunia hawa mademu wako na jina mbovu mbovu za tribal hukua ni pisi za motoo mnoo
Demu alkua mkali ila anajina bayaBasi nikalipa km 40k hv kwaajili ya vipimo na matibabu ya awali

Then nikarudi alikolazwa nikakuta anaendelea vzr.Nikamuaga nikaenda kumtaftia chakula nikamletea.So tukawa tunapiga story pale huku manesi wanakuja wanachange drip.Tukakaa mpk jioni then wakaleta hospital bill nikaisoma wanataka km 30k nikasema tu wacha nilipe basi tukaruhusiwa kuondoka.
Sijui alkua ameanza kunipenda au vipi akaniulza tunaelekea wapi? Nikawaza haraka haraka nikasema sahv nakupeleka wewe mpk kwako then niende kigamboni kwangu.


Basi tukabolt mpk mikocheni🥹🥹nikalipia usafiri mfukoni nikabaki na af nane tukufika huko I was surprised kiapartment tumeingia palkua ni one bedroom and sitting room pazuri mnoooo everything was so perfect kufika mgeni nikapewa juice tukakaa kwa couch pale and we talked alot na giza likaiingia so nikawa naaga nataka kuondoka manzi akasema nisubiri aagize msosi tule then niondoke

Akashuka chini akaenda kufata msosi meanwhile mimi Shetani akaanza kuniingiia taratibu yaani nikasema hapa sasa leo siondoki lazima niforce mazingira huyu awe manzi wangu mtoto si kanyooka afu ana salary pale Airtanzania nikaanza pia kuwazia ela zangu nilizotumia hio siku hata sijutii najisemea she’s worthy all my vimoney(meanwhile muda huo nilikua natumia pesa za mauzo ya @socks_clo and natakiwa niwasilishe pesa kwa Alley then mwisho wa mwezi kila mtu afe na chake)




akarudi na kipizza flani hv na vichicken wings plus soda. Tukala pale huku tunapiga story sana mpk nikaget very comfortable nikaanza zile jokes za hapa na pale out of nowhere she asked me Tufanye Truth or Dare ili aweze kunifahamu vzr zaidi(Nikakumbuka ndgu yangu luclay aliniambia ukiona mtu analeta truth or dare ujue anataka Sekshooo intaakhoozzi si kinginne)Nikaona huyu mbna anajifunga Own Goal kabisa hii mechi nashinda mimi Nikakubali kucheza

Tukaaanza huu mchezo mchafu kila ikifika zamu I choose truth ila uongo ninaoutoa hapo ni mzuri mpk unaonekana ni ukwelii na kusema kweli Kwenye hizi game niwape Siri ukitaka umsome akili ya mpinzani wako wewe always choose TRUTHalafu na ataona game ni
Boring then you choose to Dare

Nakumbuka kuna truth moja nilisema vyenye nimeumizwa na mapenzi na nimegive up love affairs(mwendo wa kutembelea gia za huruma kama kondeboy)basi pale akawa kama ananibembeleza sijui I should wait for the right time bla bla blla.
Sasa alivojichanganya ni kuniambia na yeye she’s in a complicated toxic relationship (nikaona sasa hapa nishindwe mimi tu Mungu anipe nn sasa).

Nikatupa verse zangu nikamwambia vyenye tokea siku ya kwanza Airport nilimfeel na leo tumeonana it’s obvious Mungu amemleta kwangu ili tupeane furaha coz wote tunateswa na mapenzisijamaliza hata kujitetea naona akaanza kama kujaa akanihug pale akanipa zile kisses za moto afu akasema Thank you for everything you have done today mnyama nikajibu it’s nothing (kumbe it’s something)Tukapeana Mabusu motomoto pale Mabusu motomoto pale Naona mtoto analainika tu afu anazidi kua wamoto kinoma mimi nikaona sasa ni mudaaa nitembeze rungu komredi kipepe (as y’all should know the rule WHEN AN APPLE IS GREEN ITS READY TO PLUCK,AND MOST IMPORTANTLY WHEN A GIRL IS ABOVE 18 SHE’s READY TO F*%k)


BASI NILIVOONA MANZI KALAINIKA AFU ANAKUA WAMOTO SI NIKAJARIBU KUPITISHA MKONO NIONE KAMA MWAMPOSA KAMWAGA MAFUTA THEN BADAE NIWE FISTON MAYELE NITETEME KWA MKAPAMARA PISI AKASHTUKA AKANIAMBIA ITS TOO EARLY AND HAJISIKII VIZURI ME BEING A GENTLEMAN SI NIKAACHA BHANA(WHEN GIRLS TELL YOU TO STOP IT MEANS CONTINUE)NILIVO BOYA NIKAENDA NA KUMLETEA DAWA ANYWE AKANYWA THEN NIKAMWAMBIA AKAOGE AJE TUPUMZIKE(HAPA NILIKUA NAWAZA NIJARIBU TENA KUFORCE KINGI KAMA MAYELE HAJATETEMA BASI GENERAL MOSES PHIRI ATAPIGA 🫡SALUTE TU KWA MKAPA)

BASI MANZI AKAINGIA BAFUNI KUOGA MNYAMA NIKAANZA KUIMAGINE KAMA NIMEFELI KWENYE KOCHI KULE KWENYE KITANDA NDO NTAFORCE MPAKA IWE
BASI MANZI AKATOKA KUOGA AKANIITA NA MM NIKAOGE.NIKAINGIA KILE CHUMBA NIKAKUTA YUPO NA ZILE SLEEPWEAR FLANI HIVI VERY SEXY NIKAJIKAZA NIKAINGIA BAFUNI KIUKWELI WAKATI NAOGA NIKAJIAPIA LEO BHANA MIMI LAZIMA NIMKULE,KIKONTAWA KISHUA AU KIMTAA HAIWEZEKANI AISEE



BASI MNYAMA NIKATOKA BAFUNI PALE NAJIFUTA FUTA NINI PALE CHUMBANI KWA MBALI NIKASIKIA SIMU YANGU INAITA NIKATOKA MBIOOOO MPKA SITTING ROOMS
NIMEFIKA SITTING ROOM SIELEWI KABISA NASHANGAA NAONA BOONGE LA KIJEBA YAANI KIPANDE CHA MTU
AKILI YANGU IKIWA INALOAD NISEME NINI GHAFLA YULE MANZI AKANIAMBIA SHIKA UONGEE NA Alley ANAKUPIGIA NIKAPOKEA SIMU NIKASOGEA PEMBENI
NIKASIKIA YULE DADA ANAMWAMBIA YULE JAMAA “BABY YULE NDO CUZZO WANGU NILIEKUA NAKWAMBIA ANAHANGAIKA NA ADA LEO AMEKUJA KUNITEMBELEA”


NILIVO RUDI PALE IKABIDI TU NIENDE NA FLOW YA UNDUGU NIKAWAZA HAPA NIKIENDA NJE YA SCRIPT NTAULIWA JUU KUMBE YULE DADA NI BIBI YA WENYEWE(nikikumbuka sauti sol walisema “BIBI YA WENYEWE IS A NO-GO ZONE” nikaishiwa nguvu)

BASI JAMAA LIKANISALIMIA PALE NA KUNIPA POLE NYINGI SANA HATA SIELEWI NI POLE ZA NINI NA MIMI NINASEMA TU ASANTE SHEM HUKU NAWAZA VINGI SANA
Then jamaa akaniaga anaenda kupimzika
yule dada nae akaingia chumbani akaniletea pillow na bedsheets nilale kwa Couch then akaniambia kwa nguvu kabisa Goodnight Cousin Sweet dreams

NA DAKIKA 15 NI MINGI SANA NILIANZA KUSIKIA MIGUNO MZEE ALKUA ANATEST STRENGTH YA KITANDA CHAKE HUKU BIBIE NAE ANAINGIZA BACK VOCAL KAMA RUBYI HEARD TERRIBLE VOICES MPKAKA NIKASHINDWA VUMILIA
NIKAONA ISIWE KESI WACHA NITEMBEE NIKASOGEA MLANGONI NAONA UPO LOCKED NILITAFUTA UFUNGUO NITOROKE HATA SIKUUOONA
NIKARUDI KUKAA TU KWENYE COUCH NASKIA VYENYE SHEMEJII WANGU WA GHAFLA ANAMKULA CUZO WANGU wa MCHONGO

USINGIZI HAUKUJA MPK ASUBUHI NIKAENDA KUKNOCK MLANGO WAOO NIKASOGEA MLANGONI PALE NIKAMUITA CUZZ0 NIKAMWAMBIA AJE AFUNGUE MLANGO NIWAHI CHUOGHAFLA MLANGONI AKATOKEA YULE MWAMBA NIKAMSALMIA SHKAMOO SHEMEJII NIKAMWAMBIA NATAKA NIMUAGE DADA NIENDE MAGUFULI HOSTEL NIKAJIANDAE NIPANDE CLASSJamaa akasema nitulie tunatoka wote watanisindikiza mpka HostelNikaona kama wananichelewesha tu ila fresh
YULE DEMU ALITOKA NA FUNGUO ZA GARI WAKASEMA TUONDOKE TUTAKUACHA NJIANI
TUKAONDOKA WAKAENDA KUNISHUSHA MAAGUFULI HOSTEL PALE Yule DEMU kwakua aliona kabisa nilivokua mnyonge akamwambia yule jamaa “baby do something for my cousin”Kila nikiskia neno cousin nammindi kinoma wakanipa 20K dollar 200$ wakasema weekend nirudi kuwatembelea and tutaongea vizuri wananisaidia vipi na mambo yangu ya chuoNIKACHUKUA PESA NIKASEMA ASANTE SHEM(huku kimoyo moyo namtukana mbwa yule amehack mchongo nikashindwa kutetema)NIKAPITA HIVI

nakumbuka nilienda CRDB kubadili zile dollar nikapewa laki 4 na vinoti kadhaa almost 500k nikasogea Ghetto kigambonisikumwambia Alley mkasa wowote
ila mjue tu hizo pesa tulienda kuzitumbua weekend ilofata kule kigamboni TUKANUSURIKA KUPIGWA NA WANAJESHI
Anyways And that’s how my AIRTANZANIA love became PRECISION AIR CRUSH
“bibi ya wenyewe is a no go zone”
SAUTI SOL-NAIROBI
😂😂😂Hii nzuri sana
 
Dah! Hatari Aisee, Upo Vizuri Mzee.. Simulizi zako zinafikirisha, Sehemu zingine unatumia lugha ya kuchekesha, nacheka kinoma...Kama naangalia luninga iv... Big up Umetishaa.
 
Baada ya kuwa nimechapwa na life after uni, Mungu ni nani?.After kuapply huku na kule plus interview kadha wa kadha. Mbingu zikafongoka nikapata ka mchongo. Si kwamba sikuwa na vimchongo ila vilikuwa ile part time job (pesa ya maji). Hii ikawa official mixer macontract.

Tayari nilikuwa nimekwisha wapa loss home so nikataka kushift (nimejipata), pia vidharau vya hapa na pale na sheria za faza hausi (mshua) zikawa zinanibana. Option ikawa kuhama, nikawapa featuring mabroo ambapo walikuwa tayari wameshatoka pale home.

Baada ya kuangaika huku na huko nikapata room kwenye nyumba maeneo ya Bugarika, Bendera tatu. Nyumba ilikuwa mpya ila haikuwa na wapangaji yaani nilikuwa mimi peke yangu na maza house.

Ilikuwa so fresh, imajini kale ka feeling ka kupata gheto lako la kwanza. Godoro chini, shangazi kaja lina nguo, viatu viko chini pamoja na ndoo mbili za maji. So peaceful unachek huku na huko hakuna wa kukuambia chochote. Oooh! God it's beautiful thing happen to my life.

Life langu lilikuwa lile la asbuhi na mapema kung'oa na kurejea mida ya saa tatu mpaka nne usiku. Pia kama kuna mpira wa usiku au wekeend basi nilikuwa silali hapo ghetto. Sikuwa na mda kabisa wa kushinda ghetto na hata ungekuwepo ulikuwa mfinyu. Guess what! nilihama after two months toka ile sita niliyoilipia.

Inshu ilianza kama maskhara tu bebe alikuja kujua crib sikumuacha hivi hivi nikala ile kitu inamesa nyenzie. Jioni bebe amesepa maza house akawa hip-hop akanicharazia punch line eti ninunue mziki kwa kuwa wakati niko kwenye faragha. Zilisikika nyimbo ambazo wasanii wake hawafahamu.

Nikajichanga kasalary ka pili, Kabla ya round ya pili kuja bebe nikanunua kisabufa fulani cha kuzugia. Kweli mtoto alikuwa na vilio vya kero kwa wasikilizao ila hamasa kwa aliye juu ya kifua chake. Nikadhani tulimaliza kumbe haikuwa hivyo maza house alimindi tena na round hii ati akanitaka niwe nafanyia gest. Inshu ikawa solved kwani nilimpiga ban babe kufika pale.

Ukaibuka ugonvi mwingine na hiyo ni baada ya wana kuibuka wakiwemo ma blaza zangu. Maza house si akaniwashia moto eti kwanini naleta watu asiowajua nyumbani kwake. Hii siku alinifungia spika akawa ananicharazia kwa mayowe. Ilikuwa aibu ki mtindo kwa sababu maza house alikuwa umri wa Bi. Mkubwa. Alafu namna alivyocharaza ni ile ya kutojiheshimu.

Hilo likaisha japo nilimmind vibaya mno. Life likasonga kuna day bro alikuja kunishutua kuhusu mchongo fulani. Sasa ilikuwa asbuhi na maza house alikuwa na tabia ya kuwahi kuamka na kufanya usafi wa uwanja. Si akamzuia blaza kuingia eti hamfahamu. Hata nilipoingilia kuwa yule ni mgeni wangu bado maza house alizingua.

Tukaenda kuongolea nje na ghetto na Hilo swala lilinikwaza vibaya na nilishajaribu kumvumilia ila siku hiyo nikasema enough is enough. Sasa nilikuwa nimepimika kwenye mizani yake kama alipanga kunipima. Kurudi ndani nikamuamshia plus kumcharazia. Sasa wakati namcharazia si nilimwambia kuwa "utaona na leo utaijua rangi yangu halisi".... We...we, bango likashikiliwa hapo kuwa nimemtishia maisha.

Mi sikujali nikaenda kuoga Kisha nikarudi ndani choo na bafu vilikuwa ndani ila havikuwa chumbani mwangu. Ile nimerudi chumbani mwangu naendelea kujiandaa ili nisepe town. Siunajua msela lake noma il kwenye noma msela hakai.

Nisijue kuwa maza house katia lock kwa nje. Ile nimemaliza zangu navuta mlango nao umeng'ang'ania kwa nje ikawa vuta nikuvute mpaka nilipofahamu hilo kuwa nimefungiwa kwa nje.

Hichi kitu kilinifanya nikavimba kama kiboko maza house alikuwa kafikia hatua mbaya ambayo ilinifanya niwe kwenye point ya no return. Gonga mlango wala hakuna anayefungua Wala aliyekaribu. Baada ya vurugu zisizoumiza nikang'amua kuwa hakuna mtu kwa sababu ya ule ukimya. Ikabidi nitulie lakini sikutaka kukaa kizembe nikawaza nimchek bro.

Ile nimechukua simu nimpigie blaza aje, mara nasikia sauti za watu zikija. Kiongozi akiwa maza House huku akitamba na yule maza hakuwa hanaweza kuongea kwa taratibu. Yeye alikuwa akipayuka hata kwenye maongezi ya kawaida.

Ila hakuwa mwenyewe kwa kuwa hatua zilikuwa nyingi na namna alivyokuwa akiongea ni kama alishitakia. Mara mlango ukafunguliwa na hapo uso kwa macho na mgambo akitaka kuingia ndani. Huwa sio mnyonge mimi nikashika ukosi wa jezi yake na kurudi naye nje kwa shari. Ikatokea purukushani kidogo ila ikaamuriwa na mwenzie aliyeonekana ni muelewa kidogo.

Taarifa walizokuja nazo Ni kuwa nahitajika kufika kwenye ofisi za mwenyekiti kujibu tuhuma zinazonikabili huko. Hii ilikuwa mara yangu ya kwanza kupata kesi ya mwenyekiti offcoz nilishapata kesi kibao ila nyingi zilikuwa kwa ngazi ya polisi. Kwa mwenyekiti tena kuja kukamatwa na mgambo kwa shari ilikuwa mara ya kwanza.

Kufika kule naambiwa nataka kumuua maza house kwa kitisho nilichompa. Eti anaona hayuko safe na mimi nikiwa around. Tukakaa pale kwa namna ya usuluhisi kwa kuwa mjumbe mmoja kati ya wanne aliyekuwepo alikuwa mwanangu. Mambo kimtindo yakawa yanalalia upande wangu kama mechi za simba.

Hapo ndipo nikajua ukubwa wa maneno niliyomwambia maza house. Baada ya mabishano ya masaa kadhaa tukakubaliana na tukasamehana ila jioni yake nilihama nikarudi maskani. Maza house hakuamini yeye alidhani kuwa yameisha na tungeendelea kukaa pamoja na hapo ndipo nikajua kwanini ile nyumba haina wapangaji.

Kuna chanel ya WhatsApp nimeianzisha ili kuziweka hizi mikasa zote huko kama uko interested unaweza kutembelea

 
Back
Top Bottom