josephdeo
Member
- Nov 23, 2015
- 96
- 208
Bado sijafika ila safari yangu ya mahusiano imepitia njia kadha wa kadha na visa hivyo nitavijumlisha hapa...
Mapenzi haya acheni kabisa, hapana yaletea mazoea no mara waaah!. Nakumbuka ilikuwa form 4 kama sijakosea ndani ya Gwantanamo ya Mwanza Thaqafa.
Ijumaa fulani niliyokuwa na mtoko enzi ya vimemo. Nilipewa kimemo toka jumapili kuwa nifanye lililowezekana ijumaa nionane na mtoto. Hapo yeye anasona Singapore aka Sengerema na angekuja town kwa ajili nyangu (nipewe nini mimi).
kipindi hiki ndio waliongeza ulinzi na kutoroka ilibidi umpate yule jamaa wa prison break (achana nae kwa kuwa kaamua kuwa upinde, nikamkata jina na misheni ningeifanikisha mwenyewe!). Ilikuwa ni shughuli kweli kutoroka achana na kufanikisha zoezi hilo, pia kulikuwa na shughuli pevu ikiwa ulifanikiwa kutoroka.
Kipi kilinizuia kutoroka kwenda kwa lover of my life, zamani mapenzi ya kweli yalikuwepo (achana hawa wa insta na tiktok). Imajini mtoto alitoka Sengerema kuja kuniona alafu nisifike kumuona who dare I will be.
Japo ilikuwa ngumu kutoroka ila haikuwa inashindikana haswa haswa ukiwa na nia ya kutoroka kweli. Nami nia nilikuwa nayo, sababu ninanzo, nguvu ninazo sasa kwanini nisitoroke!?. Wacha nijivike ujasiri na kweli nilifanikiwa kupitia ule ukuta ulioko pembeni ya mabweni (hii stori ya siku nyingine, namna ya kutoroka).
Niende wapi?, Ndio kwanza ilikuwa saa sita na nusu na ahadi ilisema saa nane na dakika kadhaa tukutane salmakoni. Nikapita mikato sumu kununua mda mwanangu mwenyewe Jose pesa hakuwa na shida hata ungeenda pale na gwanda za shule.
Nikala stori pale huku nikishushia na mda angalau nisogeze masaa. Mda nao ukawa kama umesimamisha, saa zikawa hazisogei kabisa toka nifike hapo. Subira haivuti bangi wala aingongi nyagi, inavuta heri na Wala haijawahi kubugi. Baada ya kuwa na subira masaa si hayo bwana!.
Nikajikongoja mpaka eneo la tukio, kumbuka sijabadiri jezi Niko na sare zangu kama wa mama wa vikoba. Sijui hata ujasiri wa kufanya jambo la namna hiyo niliutoa wapi?. Nikafika pale nikatia handbrake kuona haitoshi nikang'oa matairi kabisa ili nimsubiri mtoto. Zikakatika dakika na baadae saa mtoto ajatokea. Hakuna simu angalau ningekuwa kama balaa mc kuuliza kama mtoto anatokea au la!.
Sikuwa naumia sana kwa sababu sikutuma nauli wala ya kutolea. Nakajipa uvumilivu wa kusubiri zaidi, mishale ya saa tisa mara mbele ya macho yangu huyu hapa huyu!. Sikumbuki alikuwa kavaaje ila alipendeza noma sana, mnyama Sudani sasa nikawa na sale zangu za Thaqafa barida kana kwamba nilikuwa mtalii. Hug kidogo alikuwa mtoto wa kishua kiss ndo sikupata. Moja kwa moja tukaongoza mpaka kwenye mgahawa mda huo niliona dunia yote ipo kiganjani mwangu, yaani hakukuwa na watu walioifaidi dunia kama mimi.
Ile naingia mlangoni nikapokelewa na Sir. Jicho kali lililoashiria shari kamili. Sasa niliwaambia na kama ulisoma Thaqafa miaka hiyo unaelewa ilikuwa ukikutwa nje ya shule katika mda wa shule, adhabu ilianzia pale pale ulipokutiwa. Ndio maana nilisema kutoroka ilikuwa kazi na ukifanikiwa kutoroka pia ilikuwa shughuli ni kama hii niliyokumbana nayo.
Boya yule ajaanza kuchukua point zake kwa kuniona nikiwa na bibie. Angalau pengine ningekuwa mwenyewe. Sikupita Jkt ila nadhani kwa siku hii inatosha kusema nilikuwa mwanajeshi kamili kwa mazoezi niliyopewa toka Salmakoni mpaka Thaqafa.
Mapenzi haya acheni kabisa, hapana yaletea mazoea no mara waaah!. Nakumbuka ilikuwa form 4 kama sijakosea ndani ya Gwantanamo ya Mwanza Thaqafa.
Ijumaa fulani niliyokuwa na mtoko enzi ya vimemo. Nilipewa kimemo toka jumapili kuwa nifanye lililowezekana ijumaa nionane na mtoto. Hapo yeye anasona Singapore aka Sengerema na angekuja town kwa ajili nyangu (nipewe nini mimi).
kipindi hiki ndio waliongeza ulinzi na kutoroka ilibidi umpate yule jamaa wa prison break (achana nae kwa kuwa kaamua kuwa upinde, nikamkata jina na misheni ningeifanikisha mwenyewe!). Ilikuwa ni shughuli kweli kutoroka achana na kufanikisha zoezi hilo, pia kulikuwa na shughuli pevu ikiwa ulifanikiwa kutoroka.
Kipi kilinizuia kutoroka kwenda kwa lover of my life, zamani mapenzi ya kweli yalikuwepo (achana hawa wa insta na tiktok). Imajini mtoto alitoka Sengerema kuja kuniona alafu nisifike kumuona who dare I will be.
Japo ilikuwa ngumu kutoroka ila haikuwa inashindikana haswa haswa ukiwa na nia ya kutoroka kweli. Nami nia nilikuwa nayo, sababu ninanzo, nguvu ninazo sasa kwanini nisitoroke!?. Wacha nijivike ujasiri na kweli nilifanikiwa kupitia ule ukuta ulioko pembeni ya mabweni (hii stori ya siku nyingine, namna ya kutoroka).
Niende wapi?, Ndio kwanza ilikuwa saa sita na nusu na ahadi ilisema saa nane na dakika kadhaa tukutane salmakoni. Nikapita mikato sumu kununua mda mwanangu mwenyewe Jose pesa hakuwa na shida hata ungeenda pale na gwanda za shule.
Nikala stori pale huku nikishushia na mda angalau nisogeze masaa. Mda nao ukawa kama umesimamisha, saa zikawa hazisogei kabisa toka nifike hapo. Subira haivuti bangi wala aingongi nyagi, inavuta heri na Wala haijawahi kubugi. Baada ya kuwa na subira masaa si hayo bwana!.
Nikajikongoja mpaka eneo la tukio, kumbuka sijabadiri jezi Niko na sare zangu kama wa mama wa vikoba. Sijui hata ujasiri wa kufanya jambo la namna hiyo niliutoa wapi?. Nikafika pale nikatia handbrake kuona haitoshi nikang'oa matairi kabisa ili nimsubiri mtoto. Zikakatika dakika na baadae saa mtoto ajatokea. Hakuna simu angalau ningekuwa kama balaa mc kuuliza kama mtoto anatokea au la!.
Sikuwa naumia sana kwa sababu sikutuma nauli wala ya kutolea. Nakajipa uvumilivu wa kusubiri zaidi, mishale ya saa tisa mara mbele ya macho yangu huyu hapa huyu!. Sikumbuki alikuwa kavaaje ila alipendeza noma sana, mnyama Sudani sasa nikawa na sale zangu za Thaqafa barida kana kwamba nilikuwa mtalii. Hug kidogo alikuwa mtoto wa kishua kiss ndo sikupata. Moja kwa moja tukaongoza mpaka kwenye mgahawa mda huo niliona dunia yote ipo kiganjani mwangu, yaani hakukuwa na watu walioifaidi dunia kama mimi.
Ile naingia mlangoni nikapokelewa na Sir. Jicho kali lililoashiria shari kamili. Sasa niliwaambia na kama ulisoma Thaqafa miaka hiyo unaelewa ilikuwa ukikutwa nje ya shule katika mda wa shule, adhabu ilianzia pale pale ulipokutiwa. Ndio maana nilisema kutoroka ilikuwa kazi na ukifanikiwa kutoroka pia ilikuwa shughuli ni kama hii niliyokumbana nayo.
Boya yule ajaanza kuchukua point zake kwa kuniona nikiwa na bibie. Angalau pengine ningekuwa mwenyewe. Sikupita Jkt ila nadhani kwa siku hii inatosha kusema nilikuwa mwanajeshi kamili kwa mazoezi niliyopewa toka Salmakoni mpaka Thaqafa.
SIKU HIO NILICHELEWA KIDGO KUFIKA AIRPORT
.SO NILIFIKA NIKAFANYA CHECK IN HARAKA HARAKA TU NIKASONGA MBELE WAITING AREA.
NILISHTUKA NIKAJUA WAMEKAMATA BANGI KWENYE BAG ZANGU
NILIOGOPA SANA.
NIMEKAA MARA IKATOKEA PISI MOJA YA MOTO SANA IKANIAMBIA WE NDO VICTOR?NIKAKUBALI HUKU NAOGOPA
YULE DADA AKANIPA KITAMBULISHO AKASEMA I BELIEVE THIS IS YOURS
KUMBE WAKATI NINA PROVE IDENTITY NIKAWA NIMEDONDOSHA ID YANGU YA CHUO


sababu chuo hakueleweki.Nikatoka zangu chapuu klass nikasogea kudeliver mali mitaa ya NIT pale.
That day kulikua na kimvua flani hvii so nikaona hii ni fursa wacha nisogee ghetto kwake due to the cold weather maybe naeza kupewa chochote kitu 
sababu ya good customer care
(JAPO KUA MWANANGUU @haulay_97 na @kuzabussines wanasema mteja Hatongozwi)

) basi nikamsifia it’s a beautiful name akasmile.Baada ya muda ghafla tu naona mtoto ananirembulia🥲
Akajibu I can’t breathe properly
mnyama nikajikua nacare kweli nikamwambia driver kwa ukali ebu zima ilo AC
kufika mgeni nikapewa juice tukakaa kwa couch pale and we talked alot na giza likaiingia so nikawa naaga nataka kuondoka manzi akasema nisubiri aagize msosi tule then niondoke 
mnyama nikajibu it’s nothing 
