Baadhi ya visa vya mapenzi nilivyowahi kupitia

Baadhi ya visa vya mapenzi nilivyowahi kupitia

josephdeo

Member
Joined
Nov 23, 2015
Posts
96
Reaction score
208
Bado sijafika ila safari yangu ya mahusiano imepitia njia kadha wa kadha na visa hivyo nitavijumlisha hapa...

Mapenzi haya acheni kabisa, hapana yaletea mazoea no mara waaah!. Nakumbuka ilikuwa form 4 kama sijakosea ndani ya Gwantanamo ya Mwanza Thaqafa.

Ijumaa fulani niliyokuwa na mtoko enzi ya vimemo. Nilipewa kimemo toka jumapili kuwa nifanye lililowezekana ijumaa nionane na mtoto. Hapo yeye anasona Singapore aka Sengerema na angekuja town kwa ajili nyangu (nipewe nini mimi).

kipindi hiki ndio waliongeza ulinzi na kutoroka ilibidi umpate yule jamaa wa prison break (achana nae kwa kuwa kaamua kuwa upinde, nikamkata jina na misheni ningeifanikisha mwenyewe!). Ilikuwa ni shughuli kweli kutoroka achana na kufanikisha zoezi hilo, pia kulikuwa na shughuli pevu ikiwa ulifanikiwa kutoroka.

Kipi kilinizuia kutoroka kwenda kwa lover of my life, zamani mapenzi ya kweli yalikuwepo (achana hawa wa insta na tiktok). Imajini mtoto alitoka Sengerema kuja kuniona alafu nisifike kumuona who dare I will be.

Japo ilikuwa ngumu kutoroka ila haikuwa inashindikana haswa haswa ukiwa na nia ya kutoroka kweli. Nami nia nilikuwa nayo, sababu ninanzo, nguvu ninazo sasa kwanini nisitoroke!?. Wacha nijivike ujasiri na kweli nilifanikiwa kupitia ule ukuta ulioko pembeni ya mabweni (hii stori ya siku nyingine, namna ya kutoroka).

Niende wapi?, Ndio kwanza ilikuwa saa sita na nusu na ahadi ilisema saa nane na dakika kadhaa tukutane salmakoni. Nikapita mikato sumu kununua mda mwanangu mwenyewe Jose pesa hakuwa na shida hata ungeenda pale na gwanda za shule.

Nikala stori pale huku nikishushia na mda angalau nisogeze masaa. Mda nao ukawa kama umesimamisha, saa zikawa hazisogei kabisa toka nifike hapo. Subira haivuti bangi wala aingongi nyagi, inavuta heri na Wala haijawahi kubugi. Baada ya kuwa na subira masaa si hayo bwana!.

Nikajikongoja mpaka eneo la tukio, kumbuka sijabadiri jezi Niko na sare zangu kama wa mama wa vikoba. Sijui hata ujasiri wa kufanya jambo la namna hiyo niliutoa wapi?. Nikafika pale nikatia handbrake kuona haitoshi nikang'oa matairi kabisa ili nimsubiri mtoto. Zikakatika dakika na baadae saa mtoto ajatokea. Hakuna simu angalau ningekuwa kama balaa mc kuuliza kama mtoto anatokea au la!.

Sikuwa naumia sana kwa sababu sikutuma nauli wala ya kutolea. Nakajipa uvumilivu wa kusubiri zaidi, mishale ya saa tisa mara mbele ya macho yangu huyu hapa huyu!. Sikumbuki alikuwa kavaaje ila alipendeza noma sana, mnyama Sudani sasa nikawa na sale zangu za Thaqafa barida kana kwamba nilikuwa mtalii. Hug kidogo alikuwa mtoto wa kishua kiss ndo sikupata. Moja kwa moja tukaongoza mpaka kwenye mgahawa mda huo niliona dunia yote ipo kiganjani mwangu, yaani hakukuwa na watu walioifaidi dunia kama mimi.

Ile naingia mlangoni nikapokelewa na Sir. Jicho kali lililoashiria shari kamili. Sasa niliwaambia na kama ulisoma Thaqafa miaka hiyo unaelewa ilikuwa ukikutwa nje ya shule katika mda wa shule, adhabu ilianzia pale pale ulipokutiwa. Ndio maana nilisema kutoroka ilikuwa kazi na ukifanikiwa kutoroka pia ilikuwa shughuli ni kama hii niliyokumbana nayo.

Boya yule ajaanza kuchukua point zake kwa kuniona nikiwa na bibie. Angalau pengine ningekuwa mwenyewe. Sikupita Jkt ila nadhani kwa siku hii inatosha kusema nilikuwa mwanajeshi kamili kwa mazoezi niliyopewa toka Salmakoni mpaka Thaqafa.
 
Visa hivi sio vyenye mfuatano bali ni matukio yenye kujitegemea #02


SIKU MOJA NILIKUA NA SAFARI YA MWANZA TO DAR,SPONSA AKASEMA NILE MWEWESIKU HIO NILICHELEWA KIDGO KUFIKA AIRPORT.SO NILIFIKA NIKAFANYA CHECK IN HARAKA HARAKA TU NIKASONGA MBELE WAITING AREA.


KATIKA PIRIKA PIRIKA NIKASHANGAA WANANITANGAZA KWENYE SPEAKER ZAONILISHTUKA NIKAJUA WAMEKAMATA BANGI KWENYE BAG ZANGUNILIOGOPA SANA.
BASI NIKASOGEA PALE SEHEMU YA MWISHO YA UKAGUZI NIKAWAAMBIA MIMI NDO VICTOR,WAKANIAMBIA NIKAE PALE NISUBIRI KIDGONIMEKAA MARA IKATOKEA PISI MOJA YA MOTO SANA IKANIAMBIA WE NDO VICTOR?NIKAKUBALI HUKU NAOGOPAYULE DADA AKANIPA KITAMBULISHO AKASEMA I BELIEVE THIS IS YOURSKUMBE WAKATI NINA PROVE IDENTITY NIKAWA NIMEDONDOSHA ID YANGU YA CHUO.NIKAIPOKEA NIKAMWAMBIA ASANTE THEN NIKAPITA HIVI.

SASA WAKATI NAINGIA KWENYEMLANGO WA NYUMA ALIKUEPO TENA UYO DADA SHE WAS VERY FINE GIRL IN DEED (kama yule wa ifm alisababisha mwananguu @jid akataka kujirusha kwa ghorofa)NIKASEMA WACHA NIJIDAISHE SIJUI SEAT YANGU ILIKO ATLEAST NIPATE KUSEMA NAE KIDGO.AKANIELEKEZA NIKAENDA KUKAA BHANA.WAKAFANYA YALE MATANGAZO YAO THEN NIKAONA ANAENDA KUKAA KULE NYUMA.JUU MORNING FLIGHT HAZINA WATU WENGI MANY SEATS WERE EMPTY SO I ASKED IF I COULD SIT KULE NYUMA NA YEYE SHE AGREED.NIKASWITCH SEATS AND WE TOOK OFF

I enjoyed the journey for very few minutes (juu kukaa besides yeye na story za hapa na pale)
But Everything changed walivoamka na kuanzia kugawa snacks
Alienda kuanza kugawa kule mbelee akaonana na a rich dude imevimba pale first class after seeing him all I can say she never saw me the same again 🥹🥹basi kushuka dar akaniambia tu goodbye ya juu juu boychild nikahepa kichwa chini🥹


Fast forward kufika dar life likaendelea fresh tu
Mimi na mishe zangu hapa na pale Unyama
One day nikiwa class nikaona notifications kwa instagram,Kuna mteja anahitaji socks na Tshrts pamoja na sweta amsurprise boy wake so akasema nimchagulie vitu kali coz alkua anataka Boy wake afurahi so ikabidi nidoji kipindi ili kufata ela sababu chuo hakueleweki.Nikatoka zangu chapuu klass nikasogea kudeliver mali mitaa ya NIT pale.

Kufika NIT bhana yule manzi akasema hayupo chuo bado yupo Ghetto kwake anajiandaa kuja chuo so akanipa options nimsubiri pale chuo au nisogee ghetto kwakeThat day kulikua na kimvua flani hvii so nikaona hii ni fursa wacha nisogee ghetto kwake due to the cold weather maybe naeza kupewa chochote kitu sababu ya good customer carelengo kubwa ni Customer satisfaction ili awe More than a Customer(JAPO KUA MWANANGUU @haulay_97 na @kuzabussines wanasema mteja Hatongozwi)

Nikaanza safari ya kusogea mtaa wapili ambao alisema anakaa hapa lengo nikamsuprise tunimeeka earphones naskiliza BACK TO SLEEP
Nikiwa napigia picha vyenye ntamkuta huko gheto kwake na baridi lile.Ghafla simu ikaita akaanza kusema mbona sikuoni mm niko hapa chuo nimeshafika tayari so mnyama nikaona mission ishakua nzito nikaanza kurudi tena pale NIT getinikufika tu aisee nikaona hio toto imekaa poa sana na to act more professional nikapeana salamu pale then I gave her the goods akawa anazikagua huku analalamika vyenye her boyfriend hua hajui kutunza zawadi(mnyama kiroho kinaniuma kwa mbali pale basi tu najikaza tu nasema hizi ni nzuri atazipenda).So she paid me km 115k nikatia tia huruma za biashara pale akaniongeza 5k.kibunda kikawa mingi sananikamsindikiza mpk getini akaingia chuo.
Sasa wakati naanza safari ya kurudi

So wakati natoka pale getini kukawa km kuna mzozano kati ya Walinzi na mdada mmoja hvi because of her dress codes.Nikasema wacha nishangae mtanange kidgo wale walinzi wakawa wamtimua kabisa yule dada.She walked away sasa wakati anatoka alkua anatembea km hayuko mzima.Si ndgu yenu huruma zikaniingia nikaenda kumsemesha nilipomfikia tu nikamsalimia afu ghafla tu she said kwa kigugumizi“yaani wewe hadi huku unafika,umefata nn huku”.Nikaanza kuwaza huyu ananijua au ni wenge la maafande.
nikamuulza sorry kwani tunafahamiana?.Ndio akanikumbusha tulikutana Airport 🥹moyo ulifurahi sanaNikasema milima tu ndo haikutani

Kipindi tunaongea pale akaniambia anaskia kifua kinamuuma so ni request usafiri uje umpeleke kwao.Kipindi tunasubiri gari nikaona anakua anatetemeka sana so as humble born and well-raised MSUKUMA nikaona wacha nimpe Sweta yangu im-comfort,manzi akavaa sweta bhana meanwhile bolt imefika but mabibo sokonii kuna foleni so akaomba tusogee pale urafiki kituo cha mafuta.Nikashika mkono bibie tukaanzaa safari.Huko njiana naona pisi mwendo unakua mdgo mara akasimama nikamuuliza vipi akaniambia I feel bad basi nikasogea nikamshika vzr tukatembea mpka kwa bolt.Nikampandisha then nikamwambia safe trip take care kwa huruma kakaniangalia kakasema please help me nifike Home don’t go(nikatamani kuchekanikawa naona mpk hizi ni km drama au ameuzimia mziki).Nikawaza kauongo ka kumwambia nikakosa nikasema tu pweteeeeleaa pwete wacha niende na hii drama mpk mwisho

So tumeanza safari hivi ikabidi nimuulze jina akasema anaitwa SthandwaSami (nikasema uyu ananiona fala kunitajia maneno ya kizulu) basi nikamsifia it’s a beautiful name akasmile.Baada ya muda ghafla tu naona mtoto ananirembulia🥲nikamwambia vipi how do you feel?Akasema I feel like dying,oyaa nilishtuka kisengeNikamuuliza kwa nn unasama hvo Akajibu I can’t breathe properly mnyama nikajikua nacare kweli nikamwambia driver kwa ukali ebu zima ilo AC

Nikamuulza tena anajiskiaje akasema worstndipo nikasuggest kimasihara tu “maybe we should go to the hospital”.Akasema twende hospital moja inaitwa Ekenywa iko Magomeni ndo hua anatibiwa.So went to the hospital nikamlipa jamaa wa bolt afu 15.Nikapeleka manzi hospital kufika nikawaomba manesi pale wampe first aid because she can’t breathe and they took her.Mimi nikachukua pochi lake nikaenda reception pale kuanza process za matibabu

So kutoa ile Bima yake waka process wakaniambia we have to pay cash bima imesha expire nikarudishiwa bimaBhana Nilichogundua hii dunia hawa mademu wako na jina mbovu mbovu za tribal hukua ni pisi za motoo mnoo
Demu alkua mkali ila anajina bayaBasi nikalipa km 40k hv kwaajili ya vipimo na matibabu ya awali

Then nikarudi alikolazwa nikakuta anaendelea vzr.Nikamuaga nikaenda kumtaftia chakula nikamletea.So tukawa tunapiga story pale huku manesi wanakuja wanachange drip.Tukakaa mpk jioni then wakaleta hospital bill nikaisoma wanataka km 30k nikasema tu wacha nilipe basi tukaruhusiwa kuondoka.
Sijui alkua ameanza kunipenda au vipi akaniulza tunaelekea wapi? Nikawaza haraka haraka nikasema sahv nakupeleka wewe mpk kwako then niende kigamboni kwangu.


Basi tukabolt mpk mikocheni🥹🥹nikalipia usafiri mfukoni nikabaki na af nane tukufika huko I was surprised kiapartment tumeingia palkua ni one bedroom and sitting room pazuri mnoooo everything was so perfect kufika mgeni nikapewa juice tukakaa kwa couch pale and we talked alot na giza likaiingia so nikawa naaga nataka kuondoka manzi akasema nisubiri aagize msosi tule then niondoke

Akashuka chini akaenda kufata msosi meanwhile mimi Shetani akaanza kuniingiia taratibu yaani nikasema hapa sasa leo siondoki lazima niforce mazingira huyu awe manzi wangu mtoto si kanyooka afu ana salary pale Airtanzania nikaanza pia kuwazia ela zangu nilizotumia hio siku hata sijutii najisemea she’s worthy all my vimoney(meanwhile muda huo nilikua natumia pesa za mauzo ya @socks_clo and natakiwa niwasilishe pesa kwa Alley then mwisho wa mwezi kila mtu afe na chake)




akarudi na kipizza flani hv na vichicken wings plus soda. Tukala pale huku tunapiga story sana mpk nikaget very comfortable nikaanza zile jokes za hapa na pale out of nowhere she asked me Tufanye Truth or Dare ili aweze kunifahamu vzr zaidi(Nikakumbuka ndgu yangu luclay aliniambia ukiona mtu analeta truth or dare ujue anataka Sekshooo intaakhoozzi si kinginne)Nikaona huyu mbna anajifunga Own Goal kabisa hii mechi nashinda mimi Nikakubali kucheza

Tukaaanza huu mchezo mchafu kila ikifika zamu I choose truth ila uongo ninaoutoa hapo ni mzuri mpk unaonekana ni ukwelii na kusema kweli Kwenye hizi game niwape Siri ukitaka umsome akili ya mpinzani wako wewe always choose TRUTHalafu na ataona game ni
Boring then you choose to Dare

Nakumbuka kuna truth moja nilisema vyenye nimeumizwa na mapenzi na nimegive up love affairs(mwendo wa kutembelea gia za huruma kama kondeboy)basi pale akawa kama ananibembeleza sijui I should wait for the right time bla bla blla.
Sasa alivojichanganya ni kuniambia na yeye she’s in a complicated toxic relationship (nikaona sasa hapa nishindwe mimi tu Mungu anipe nn sasa).

Nikatupa verse zangu nikamwambia vyenye tokea siku ya kwanza Airport nilimfeel na leo tumeonana it’s obvious Mungu amemleta kwangu ili tupeane furaha coz wote tunateswa na mapenzisijamaliza hata kujitetea naona akaanza kama kujaa akanihug pale akanipa zile kisses za moto afu akasema Thank you for everything you have done today mnyama nikajibu it’s nothing (kumbe it’s something)Tukapeana Mabusu motomoto pale Mabusu motomoto pale Naona mtoto analainika tu afu anazidi kua wamoto kinoma mimi nikaona sasa ni mudaaa nitembeze rungu komredi kipepe (as y’all should know the rule WHEN AN APPLE IS GREEN ITS READY TO PLUCK,AND MOST IMPORTANTLY WHEN A GIRL IS ABOVE 18 SHE’s READY TO F*%k)


BASI NILIVOONA MANZI KALAINIKA AFU ANAKUA WAMOTO SI NIKAJARIBU KUPITISHA MKONO NIONE KAMA MWAMPOSA KAMWAGA MAFUTA THEN BADAE NIWE FISTON MAYELE NITETEME KWA MKAPAMARA PISI AKASHTUKA AKANIAMBIA ITS TOO EARLY AND HAJISIKII VIZURI ME BEING A GENTLEMAN SI NIKAACHA BHANA(WHEN GIRLS TELL YOU TO STOP IT MEANS CONTINUE)NILIVO BOYA NIKAENDA NA KUMLETEA DAWA ANYWE AKANYWA THEN NIKAMWAMBIA AKAOGE AJE TUPUMZIKE(HAPA NILIKUA NAWAZA NIJARIBU TENA KUFORCE KINGI KAMA MAYELE HAJATETEMA BASI GENERAL MOSES PHIRI ATAPIGA 🫡SALUTE TU KWA MKAPA)

BASI MANZI AKAINGIA BAFUNI KUOGA MNYAMA NIKAANZA KUIMAGINE KAMA NIMEFELI KWENYE KOCHI KULE KWENYE KITANDA NDO NTAFORCE MPAKA IWE
BASI MANZI AKATOKA KUOGA AKANIITA NA MM NIKAOGE.NIKAINGIA KILE CHUMBA NIKAKUTA YUPO NA ZILE SLEEPWEAR FLANI HIVI VERY SEXY NIKAJIKAZA NIKAINGIA BAFUNI KIUKWELI WAKATI NAOGA NIKAJIAPIA LEO BHANA MIMI LAZIMA NIMKULE,KIKONTAWA KISHUA AU KIMTAA HAIWEZEKANI AISEE



BASI MNYAMA NIKATOKA BAFUNI PALE NAJIFUTA FUTA NINI PALE CHUMBANI KWA MBALI NIKASIKIA SIMU YANGU INAITA NIKATOKA MBIOOOO MPKA SITTING ROOMS
NIMEFIKA SITTING ROOM SIELEWI KABISA NASHANGAA NAONA BOONGE LA KIJEBA YAANI KIPANDE CHA MTU
AKILI YANGU IKIWA INALOAD NISEME NINI GHAFLA YULE MANZI AKANIAMBIA SHIKA UONGEE NA Alley ANAKUPIGIA NIKAPOKEA SIMU NIKASOGEA PEMBENI
NIKASIKIA YULE DADA ANAMWAMBIA YULE JAMAA “BABY YULE NDO CUZZO WANGU NILIEKUA NAKWAMBIA ANAHANGAIKA NA ADA LEO AMEKUJA KUNITEMBELEA”


NILIVO RUDI PALE IKABIDI TU NIENDE NA FLOW YA UNDUGU NIKAWAZA HAPA NIKIENDA NJE YA SCRIPT NTAULIWA JUU KUMBE YULE DADA NI BIBI YA WENYEWE(nikikumbuka sauti sol walisema “BIBI YA WENYEWE IS A NO-GO ZONE” nikaishiwa nguvu)

BASI JAMAA LIKANISALIMIA PALE NA KUNIPA POLE NYINGI SANA HATA SIELEWI NI POLE ZA NINI NA MIMI NINASEMA TU ASANTE SHEM HUKU NAWAZA VINGI SANA
Then jamaa akaniaga anaenda kupimzika
yule dada nae akaingia chumbani akaniletea pillow na bedsheets nilale kwa Couch then akaniambia kwa nguvu kabisa Goodnight Cousin Sweet dreams

NA DAKIKA 15 NI MINGI SANA NILIANZA KUSIKIA MIGUNO MZEE ALKUA ANATEST STRENGTH YA KITANDA CHAKE HUKU BIBIE NAE ANAINGIZA BACK VOCAL KAMA RUBYI HEARD TERRIBLE VOICES MPKAKA NIKASHINDWA VUMILIA
NIKAONA ISIWE KESI WACHA NITEMBEE NIKASOGEA MLANGONI NAONA UPO LOCKED NILITAFUTA UFUNGUO NITOROKE HATA SIKUUOONA
NIKARUDI KUKAA TU KWENYE COUCH NASKIA VYENYE SHEMEJII WANGU WA GHAFLA ANAMKULA CUZO WANGU wa MCHONGO

USINGIZI HAUKUJA MPK ASUBUHI NIKAENDA KUKNOCK MLANGO WAOO NIKASOGEA MLANGONI PALE NIKAMUITA CUZZ0 NIKAMWAMBIA AJE AFUNGUE MLANGO NIWAHI CHUOGHAFLA MLANGONI AKATOKEA YULE MWAMBA NIKAMSALMIA SHKAMOO SHEMEJII NIKAMWAMBIA NATAKA NIMUAGE DADA NIENDE MAGUFULI HOSTEL NIKAJIANDAE NIPANDE CLASSJamaa akasema nitulie tunatoka wote watanisindikiza mpka HostelNikaona kama wananichelewesha tu ila fresh
YULE DEMU ALITOKA NA FUNGUO ZA GARI WAKASEMA TUONDOKE TUTAKUACHA NJIANI
TUKAONDOKA WAKAENDA KUNISHUSHA MAAGUFULI HOSTEL PALE Yule DEMU kwakua aliona kabisa nilivokua mnyonge akamwambia yule jamaa “baby do something for my cousin”Kila nikiskia neno cousin nammindi kinoma wakanipa 20K dollar 200$ wakasema weekend nirudi kuwatembelea and tutaongea vizuri wananisaidia vipi na mambo yangu ya chuoNIKACHUKUA PESA NIKASEMA ASANTE SHEM(huku kimoyo moyo namtukana mbwa yule amehack mchongo nikashindwa kutetema)NIKAPITA HIVI

nakumbuka nilienda CRDB kubadili zile dollar nikapewa laki 4 na vinoti kadhaa almost 500k nikasogea Ghetto kigambonisikumwambia Alley mkasa wowote
ila mjue tu hizo pesa tulienda kuzitumbua weekend ilofata kule kigamboni TUKANUSURIKA KUPIGWA NA WANAJESHI
Anyways And that’s how my AIRTANZANIA love became PRECISION AIR CRUSH
“bibi ya wenyewe is a no go zone”
SAUTI SOL-NAIROBI
 
Nimemaliza chuo bado nikiwa mbichi kabisa, mawazo kibao nipate ki kazi changu na kuanza kutakaka. Wacha life linichape namna sijaona, hakuna kazi nilipata zaidi ya msoto.

Achana kabisa na msoto wa fresh from school unapiga mbaya mbovu kiasi hata hela ya bando hakuna. Ila fresh tu kwani tulikuja na chochote kwa planet. Ikanibidi kukaza hapo nilishapiga interview kadha wa kadha ila kila ukiulizia majibu unaambiwa kuwa na subira kijana kampuni sio ya baba Wala mama yako.

Ya nini...ya nini mie (in stive voice) nikaona Bora niketi niepushe msongamano (20per) kwa kuwa uhakika wa idhaa zote tatu ulikuwepo kuanza ya amka na bbc, idhaa ya mchana ya DW mpaka ile ya jioni nikaona nitulizane. Ili kuepusha matatizo sikuwa na mjomba Wala ba mdogo kwenye taasisi hivyo mtaji wangu ni nguvu ya kuzungusha vyeti.

Mda huo jua limewaka mpaka mfukoni na vihela nilivyotoka navyo daslam tayari vimekata. Achana na kazi ya kuzungusha vyeti inamaliza pesa balaa (jobles 4:1-2).

Nikiwa sina hili wala lile bando sina hivyo simu ikabaki kama sehemu ya maonyesho ya mfuko. Nikasikia ka notification siunajua tena Apple hawanaga mambo mengi ni tuuu! Wamemaliza. Basi nikaivuta simu ili niicheki.

Mara paaah!..mapigo ya moyo yakachanganyikiwa, Mkuki umeingia. Hapo sina kumbukumbu kama nilimvunja goti mzee Thomas au bimkubwa. Wala mwanangu ( ) ila digit zilizokuwepo ndo zilinitisha kwani wote hawakuwa na uwezo na kunithibitishia kiwango kilichotumwa. Nikawaza nihamishe chap chap kabla aliyeituma ajasanuka au nifanye nini, Mimi ni good boy na nimelelewa kwenye maadili ya kidini (sauti ya ndani iitwayo ukweli ikaniambia).

Nifanye nini sasa?, Eeeenh!.. sijakaa kwa kutulia mara simu inaita namba ngeni. Nikajua yale yale, ila nikajiliwaza pengine moja kati ya interview imetiki na kipindi hiko nilikuwa nazingatia sana namba mpya acheni wazee. Nisingekuwa na nguvu ya kuruhusu namba mpya iite pasina kupokelewa siunajua matajiri wana msemo wao kwamba this generation they don't miss the call, they ignore it.

Chap kwa haraka nikaweka simu sikioni...eeeenh! Makubwa, sauti ililalama mfululizo. "Kaka nimekosea namba na muamala wa fedha umekuja kwako naomba unisaidie kuurudisha!". Kipindi hiko hakuna habari za kurudisha muamala mwenyewe mpaka upige kwenye namba iliyotumiwa au voda wenyewe.

Wewe saa ngapi nisirudishe boksi moja na pointi zake hapo ndipo nikapokea tena simu angalau sasa alikuwa katulia na ilikuwa sauti ya kumfanya shetani kuwa mailaika kama angemuhubiri. Acheni bhana kuna watu walibarikiwa sauti nzuri kiasi unatamani aongee 24hrs.

Tukawa tukichart huku na kule yaani sometime unakuta mko app ya kijani mara unaona txt nyingine kwenye inbox ya message ya kawaida. Ikawa inatokea mara kadhaa yaani huku kwenye App ya kijana kuna convo tofauti na iliyoko kwenye meseji za kawaida. Acheni bhana kitu inaitwa mapenzi haswa ikiwa unapata uzani sawa na ule unaoutoa.

Nisikuchoshe usinichoshe... Wacha nimake long story short bhana!. Tukawa friend, sometimes with benefits. Kurudisha ile pesa kulinifanya eti nikawa naambiwa Mimi ni mwanaume wa kipekee. Huku akisema ya kuwa anawish anitie machoni. Hatukuwa tunaonana ila mitandao hii ilifanya kama tukawa tumeonana japo kuna mafilter ila video call haiongopi.

Mara kadhaa wa kadhaa tulipigiana video call. Ikafikia kipengele muhimu cha kwenda kuonana. Kwenye video call nilikuwa naona passport size sasa nikataka kuona full size picture with my eyes.

Huku na kule nikajichanga hela za anasa kukukosa ni ngumu mno labda uwe unatafuta hela ya kutatua matatizo muhimu. Nikawa kama nina 50k mfukoni. Mpaka home kwake mtoto with simple life mwanaume hata gheto sina si utani huu!. Hapo nimepita 4nia_clo unyama wa shati kama mjumbe wa chama.

Nikachukua zangu Haice mpaka Ilemela kule karibu na Malaika, hapo sitaki mambo ya kurequest. Yangemaliza bajeti licha ya mwangu Majid kuwa nayo. Nilipofika nikaekiti kama kuna joto si nikavua shati bhana (wenye wivu mtaauliza kwa mwili upi?). Taarifa kwa umma ni kuwa hichi kipindi nilikuwa nashinda GYM.

Katika stori za hapa na pale si akaniambia ya kuwa simu yake haiwashi data. (Sikwenda IFM kushangaa posta). Hivyo nikamwambia ni mambo madogo hayo na tatizo lilikuwa kwenye APN. kweli akanipa simu huku akienda kuaandaa chakula nilikuwa mgeni bhana.

Tatizo nikalimaliza ila shida ikaja baada ya kufungua gallery. Aseee! Nikakutana na makonekisheni ya kufa mtu. Kuna wajinga wanafaidi bhana mali ilikuwa safi kupita maelezo. Si mawazo ya kijinga yakaja kwa nini nami nisiwe huyo mjinga nikafahidi. Kweli aliporudi sasa sikuwa namtazama kwa jicho la awali. Nikawa namtazama kwa yale macho ya Irene uwoya kwenye Oprah alivyokuwa akimtizama Kanumba pale kitandani.

Hapo kitabu cha conversation casanova by Dave Perrotta kiko kichwani. Hasa ile part ya She into Me inayosema All women are attracted to me until proven otherwise. Nikaona wacha niapply in real Life.

Nikaona mtoto anajishitukia si nikataka kuanza harakati za kujikomboa kutoka kwa mkoloni mweusi. We...we..nisijue kuwa nachukuliwa kama bro! eti naheshimiwa kama twin brother. Sasa undugu wetu ulianzia wapi?. Acheni bwana omba haya yasikukute!. Nilitamani kulia sema ndio uanaume nikajikaza.
 
Kuna dogo nilimkuta maskani, nipo IFM dogo yupo Advance ananichukulia kama icon. Hivyo akawa mwanangu ule ushikaji ulichangiwa kwa kuwa dogo alikuwa na konekisheni za pisi za Advance wenzie. Magroup kama yote ukienda kwenye gallery yake sasa unakutana na picha za pisi kibao.

So urafiki wetu ulichangiwa pakubwa na uhitaji wangu wa hizo konekisheni za dogo ili nipate mahala pa kuponea kwa likizo hiyo ya miezi kadhaa.

Hapo niko Mwanza kwa likizo ndefu baada ya UE. Dogo alinikubali vibaya si anataka kuexperience life la chuo kutoka kwa mwanachuo. Dogo anasikia chuo ni raha mno asijue Kuna coz -work, Kuna ma test na ma sup na mambo mengine kibao. Sikutaka kumtisha si unajua kuwa ukitaka kumtumia mtu basi mwambie kile anachotaka kusikia.

Basi dogo nikawa na mpanga kuwa kweli chuo ni bata hasa hasa Dsm. Yaani kidimbwi, tips, samaki samaki Kila weekend. Ma manzi wanajirahisi vibaya mno yaani ukikosa wa kulala nae ni wewe tu. Dogo full kuwonder tu yaani alilitamani haswa life lile asijue ya kuwa tulishindia mihogo na wakati mwingine tulichukua sheria mkononi. Namna dogo alivyokuwa akiyachukulia maisha ya chuo ni tofauti kabisa na uhalisia wenyewe... Sijui ni nani alikuwa akipandikiza sumu hizi kwa dogo.

Baada ya wiki kadhaa za kuwa maskani mara mama la mama akawa haokoti simu zangu. Ukipiga yuko bize na akipokea basi atakwambia upige baadae. Yeye nilimuacha dar co ndio kwao. Nikaona sio kesi wacha nimuache afurahie penzi na beby wake wa kitambo. Sasa nitampata nani wa kuliziba pengo lake kwa mda huo. Hapo ndipo dogo akajichukulia point tatu muhimu.

Kumueleza dogo, naye ni kama alitaka kujipatia umaarufu kwangu si akanipa namba zaidi ya sita bwana. Huku nikipata na detail za mmoja baada ya mwingine. Katika wote nikavutiwa na mmoja aliyeniambia kuwa ni mweupe mithiri ya wazungu si unajua wasukuma madhaifu yetu, weupe!.

Basi nikaomba detail zaidi!, Bwiru girl ndipo alipokuwa akisomea huku kwao kukiwa ni Buswelu. Hapo tayari 07 niko nazo kibindoni. Zoezi la kumtafuta likaanza, piga simu zaidi ya mara mbili haziokotwi huku dogo yeye akija akampigia wanabonga tu fresh!.

Mpango wa fasta ukasukwa na kukamilika, nikathibitisha text iliyojieleza vyema kama mimi Ni mmoja ya watu wanao recruit vijana walio high school wanatoka scholarship za vyuo vya ndani na nje ya nchi. We..we responding ya ile txt ilivyokuwa hata sikudhani.

Ni kama ilifungua green light kwa mtoto yule yaani nilitafutwa mpaka ikawa kero Sasa. Kila akitoka class ilikuwa ni txt au call kabisa. Siku moja niko maskani nasubiri idhaa ya mchana ya DW ghafla call inaingia namba ngeni. Kupokea si mtoto huyu hapa anasema niende kumcheki wako Wananchi hospital wamemsindikiza rafiki yao.

Tayari nilikuwa na taswira zangu kumuhusu plus maelezo ya dogo (yalikuwa maelezo coz hakuwa na picha yake). Hivyo nikataka kumushuhudia live and direct. Chap kwa fasta nikasonga na haice mpaka stend ya Bwiru hapo bado ujenzi wa soko jipya aujaanza hivyo stendi ilikuwa hapo kabla ya kuhamishwa kupelekwa makoroboi.

Kufika kweli nikamkuta, pengine dogo alikuwa ajakidhi vigezo vya sifa alizokuwa akimumwagia. Licha ya kushindia maharage ambayo hayakupendeza ila mtoto alikuwa wa moto balaa. Nasema alikuwa balaa haswa, white mpaka nywere ziliukosa weusi wake imajini!. Nikachekecha pale nikaomba nimtoe kwa ajili ya lunch.

Akagoma kwenda mwenyewe bali waje na shoga yake, nikaona barida hakuna kilichoharibika mkuki ulikuwepo. Kiepe soda plus mishikaki Kila mmoja huku zikisindikizwa na story za hapa na pale. Uongo mwingi uku ukichagizwa na ukweli kiasi. Mambo hayo machache ni kama yalichochea, pengine nilimwaga petrol kwenye moto kwa madai ya kuuzima.

Wacha call ziongezeke kwa kasi kama internet ya Elon Musk. Ikawa too much Sasa na nikaanza kuboreka huku nikiyachukia mapenzi na watoto wa shule. Ila kwa kuwa langu lilikuwa ni kupata huduma ya mwili Basi ikanibidi kumchalazia. Ikawa kama kushikisha chuma kwenye sumaku. Eti akadai ata yeye alinipenda ile siku aliyoniona hivyo akawa anaogopa kunichalazia ataonekana mtoto asiye na maadili.

Nikamwambia asiwe na wasi wasi hata mimi nilimuhitaji hivyo ukurasa rasmi wa mapenzi ukafunguliwa. Kwa kuwa mda hakuwa wa kutosha basi nikaomba mchezo ila kitaalamu. Sikutaka afahamu ya kuwa nilitaka tunda hivyo nikapitia mlango wa nyuma, nikataka kuonana nae.

Sijui alipataje ruhusa ila alikuwa na sare zake katikati ya jiji. Nikampeleka yale maduka ya Tanganyika bado hapajabomolewa hapo, cost ya tshert na suruali ikaghalimu kama thalathini na ushee kisha chap nika book chumba Shinyanga gest (kama kawaida yangu yaani swala la kulipia gest lilikuwa kabla ya tukio).

Hii ndio ilikuwa gest yenye bei rahisi mjini hapa, baada ya hapo nikawaza ni technical gani nitaitumia kumuingiza box. Nikamdanganya ya kuwa tutafute sehemu ya kukaa ili kukwepa macho ya watu. Si akajaa pasipo kuelewa kuwa anapeleka machinjioni. Kufika kule kama kawaida za wanafunzi sitaki nataka, sitaki nataka. Ila hakufahamu nilijiandaa kwa kiasi gani juu ya hilo.

Hakujua tu kwani nilianza na kiss za shingo hiyo ni baada ya French kiss kushindikana. Sogea mpaka kwenye matiti yake madogo yaliyoanza kumea. Shuka mpaka kwenye kitovu, chini chini kwenye mstari ule wa kuelekea ikulu. Hapo kilichotoka kwenye mwili wake ni lile tshert tu. Bado suruali ilikuwa mwilini mwake.

Ni mwendo wa kujikunja kama koboko aliyepigwa rungu la kichwa. Taratibu nikaanza kuishusha suruali huku nikishuka chini kwenye bustani changa ya ukoka. Mara ashike shuka aziache mara ashike kichwa changu yaani ilikuwa tafrani kweli kweli. Nikafanikisha kuishusha kabisa suruali ikabaki kifuniko cha asali ambacho kilikuwa kimelowa haswa na ute ute mwepesi mfano wa udelele wa mtoto.

Hapo nikasita na kurudi juu kisha nikaanza kuzipata French kiss pasina kipangamizi huku sasa nikiiachi mikono kazi ya kutambaa kwenye nyonga na maeneo ya ma**ko yake. Kiukweli halikuwa ajiwezi kabisa pale kitandani ni full milio iliyokuwa haifuatishi ala. Nikafanikisha kuiondoa chupi na hapo nikauona uchi wake live and direct. Ulikuwa wa kuvutia bhana (huwa na nashangaa wanaosema utabadiri mabucha nyama ni ile ile...huo ni uongo nyama utofautiana bhana!).

Sasa nikaweka kidole kupima oil kabla ya Athumani kichwa wazi ajaingia. Si nikapitisha kidole katikati ya yale mapaja na kuingiza ndani. Kisha nikakiketa nje nione oil ilikuwaje. Weh!...si nikakutana na damu nyepesi (tusi likaniponyoka fu**ck). Yule mtoto akashituka na kunitizama.

"Ina maana huko Period?". Nikauliza.

Akajibu huku akitetemeka.."Ilitakiwa kuanza jana ila sikuiona...labda ndio imeanza".

"***!...***!". Nikajikuta Sasa nikikusudia kutukana. Iweje nilikose tunda na ilibaki siku mbili nirudi mjini Daslam kupiga Supp na wakati huo nauli ndio nilioifanyia ujinga ule.
 
Hahahah..cemaa unajiweza kwenye fasihi..uko vizuri
 
Kuna dogo nilimkuta maskani, nipo IFM dogo yupo Advance ananichukulia kama icon. Hivyo akawa mwanangu ule ushikaji ulichangiwa kwa kuwa dogo alikuwa na konekisheni za pisi za Advance wenzie. Magroup kama yote ukienda kwenye gallery yake sasa unakutana na picha za pisi kibao.

So urafiki wetu ulichangiwa pakubwa na uhitaji wangu wa hizo konekisheni za dogo ili nipate mahala pa kuponea kwa likizo hiyo ya miezi kadhaa.

Hapo niko Mwanza kwa likizo ndefu baada ya UE. Dogo alinikubali vibaya si anataka kuexperience life la chuo kutoka kwa mwanachuo. Dogo anasikia chuo ni raha mno asijue Kuna coz -work, Kuna ma test na ma sup na mambo mengine kibao. Sikutaka kumtisha si unajua kuwa ukitaka kumtumia mtu basi mwambie kile anachotaka kusikia.

Basi dogo nikawa na mpanga kuwa kweli chuo ni bata hasa hasa Dsm. Yaani kidimbwi, tips, samaki samaki Kila weekend. Ma manzi wanajirahisi vibaya mno yaani ukikosa wa kulala nae ni wewe tu. Dogo full kuwonder tu yaani alilitamani haswa life lile asijue ya kuwa tulishindia mihogo na wakati mwingine tulichukua sheria mkononi. Namna dogo alivyokuwa akiyachukulia maisha ya chuo ni tofauti kabisa na uhalisia wenyewe... Sijui ni nani alikuwa akipandikiza sumu hizi kwa dogo.

Baada ya wiki kadhaa za kuwa maskani mara mama la mama akawa haokoti simu zangu. Ukipiga yuko bize na akipokea basi atakwambia upige baadae. Yeye nilimuacha dar co ndio kwao. Nikaona sio kesi wacha nimuache afurahie penzi na beby wake wa kitambo. Sasa nitampata nani wa kuliziba pengo lake kwa mda huo. Hapo ndipo dogo akajichukulia point tatu muhimu.

Kumueleza dogo, naye ni kama alitaka kujipatia umaarufu kwangu si akanipa namba zaidi ya sita bwana. Huku nikipata na detail za mmoja baada ya mwingine. Katika wote nikavutiwa na mmoja aliyeniambia kuwa ni mweupe mithiri ya wazungu si unajua wasukuma madhaifu yetu, weupe!.

Basi nikaomba detail zaidi!, Bwiru girl ndipo alipokuwa akisomea huku kwao kukiwa ni Buswelu. Hapo tayari 07 niko nazo kibindoni. Zoezi la kumtafuta likaanza, piga simu zaidi ya mara mbili haziokotwi huku dogo yeye akija akampigia wanabonga tu fresh!.

Mpango wa fasta ukasukwa na kukamilika, nikathibitisha text iliyojieleza vyema kama mimi Ni mmoja ya watu wanao recruit vijana walio high school wanatoka scholarship za vyuo vya ndani na nje ya nchi. We..we responding ya ile txt ilivyokuwa hata sikudhani.

Ni kama ilifungua green light kwa mtoto yule yaani nilitafutwa mpaka ikawa kero Sasa. Kila akitoka class ilikuwa ni txt au call kabisa. Siku moja niko maskani nasubiri idhaa ya mchana ya DW ghafla call inaingia namba ngeni. Kupokea si mtoto huyu hapa anasema niende kumcheki wako Wananchi hospital wamemsindikiza rafiki yao.

Tayari nilikuwa na taswira zangu kumuhusu plus maelezo ya dogo (yalikuwa maelezo coz hakuwa na picha yake). Hivyo nikataka kumushuhudia live and direct. Chap kwa fasta nikasonga na haice mpaka stend ya Bwiru hapo bado ujenzi wa soko jipya aujaanza hivyo stendi ilikuwa hapo kabla ya kuhamishwa kupelekwa makoroboi.

Kufika kweli nikamkuta, pengine dogo alikuwa ajakidhi vigezo vya sifa alizokuwa akimumwagia. Licha ya kushindia maharage ambayo hayakupendeza ila mtoto alikuwa wa moto balaa. Nasema alikuwa balaa haswa, white mpaka nywere ziliukosa weusi wake imajini!. Nikachekecha pale nikaomba nimtoe kwa ajili ya lunch.

Akagoma kwenda mwenyewe bali waje na shoga yake, nikaona barida hakuna kilichoharibika mkuki ulikuwepo. Kiepe soda plus mishikaki Kila mmoja huku zikisindikizwa na story za hapa na pale. Uongo mwingi uku ukichagizwa na ukweli kiasi. Mambo hayo machache ni kama yalichochea, pengine nilimwaga petrol kwenye moto kwa madai ya kuuzima.

Wacha call ziongezeke kwa kasi kama internet ya Elon Musk. Ikawa too much Sasa na nikaanza kuboreka huku nikiyachukia mapenzi na watoto wa shule. Ila kwa kuwa langu lilikuwa ni kupata huduma ya mwili Basi ikanibidi kumchalazia. Ikawa kama kushikisha chuma kwenye sumaku. Eti akadai ata yeye alinipenda ile siku aliyoniona hivyo akawa anaogopa kunichalazia ataonekana mtoto asiye na maadili.

Nikamwambia asiwe na wasi wasi hata mimi nilimuhitaji hivyo ukurasa rasmi wa mapenzi ukafunguliwa. Kwa kuwa mda hakuwa wa kutosha basi nikaomba mchezo ila kitaalamu. Sikutaka afahamu ya kuwa nilitaka tunda hivyo nikapitia mlango wa nyuma, nikataka kuonana nae.

Sijui alipataje ruhusa ila alikuwa na sare zake katikati ya jiji. Nikampeleka yale maduka ya Tanganyika bado hapajabomolewa hapo, cost ya tshert na suruali ikaghalimu kama thalathini na ushee kisha chap nika book chumba Shinyanga gest (kama kawaida yangu yaani swala la kulipia gest lilikuwa kabla ya tukio).

Hii ndio ilikuwa gest yenye bei rahisi mjini hapa, baada ya hapo nikawaza ni technical gani nitaitumia kumuingiza box. Nikamdanganya ya kuwa tutafute sehemu ya kukaa ili kukwepa macho ya watu. Si akajaa pasipo kuelewa kuwa anapeleka machinjioni. Kufika kule kama kawaida za wanafunzi sitaki nataka, sitaki nataka. Ila hakufahamu nilijiandaa kwa kiasi gani juu ya hilo.

Hakujua tu kwani nilianza na kiss za shingo hiyo ni baada ya French kiss kushindikana. Sogea mpaka kwenye matiti yake madogo yaliyoanza kumea. Shuka mpaka kwenye kitovu, chini chini kwenye mstari ule wa kuelekea ikulu. Hapo kilichotoka kwenye mwili wake ni lile tshert tu. Bado suruali ilikuwa mwilini mwake.

Ni mwendo wa kujikunja kama koboko aliyepigwa rungu la kichwa. Taratibu nikaanza kuishusha suruali huku nikishuka chini kwenye bustani changa ya ukoka. Mara ashike shuka aziache mara ashike kichwa changu yaani ilikuwa tafrani kweli kweli. Nikafanikisha kuishusha kabisa suruali ikabaki kifuniko cha asali ambacho kilikuwa kimelowa haswa na ute ute mwepesi mfano wa udelele wa mtoto.

Hapo nikasita na kurudi juu kisha nikaanza kuzipata French kiss pasina kipangamizi huku sasa nikiiachi mikono kazi ya kutambaa kwenye nyonga na maeneo ya ma**ko yake. Kiukweli halikuwa ajiwezi kabisa pale kitandani ni full milio iliyokuwa haifuatishi ala. Nikafanikisha kuiondoa chupi na hapo nikauona uchi wake live and direct. Ulikuwa wa kuvutia bhana (huwa na nashangaa wanaosema utabadiri mabucha nyama ni ile ile...huo ni uongo nyama utofautiana bhana!).

Sasa nikaweka kidole kupima oil kabla ya Athumani kichwa wazi ajaingia. Si nikapitisha kidole katikati ya yale mapaja na kuingiza ndani. Kisha nikakiketa nje nione oil ilikuwaje. Weh!...si nikakutana na damu nyepesi (tusi likaniponyoka fu**ck). Yule mtoto akashituka na kunitizama.

"Ina maana huko Period?". Nikauliza.

Akajibu huku akitetemeka.."Ilitakiwa kuanza jana ila sikuiona...labda ndio imeanza".

"Where We Dare To Talk Openly!". Nikajikuta Sasa nikikusudia kutukana. Iweje nilikose tunda na ilibaki siku mbili nirudi mjini Daslam kupiga Supp na wakati huo nauli ndio nilioifanyia ujinga ule.
We jamaa ni nyoko.... Ulisomea fasihi nn
 
Hivi ulishawahi kuwa na ile pisi ambayo mko deep in frendship. Heshima inayotoka chini ya uvungu wa moyo, bro and sis mara mambo ya twin. But kuna scenario inatokea unajikuta umekula tunda.

Inshu sio kula tunda but Kwa jinsi ulivyokuwa unamchukulia na lililotokea unajikuta huelewi ilikuwaje coz ni mtu ambaye huwezi kusema utaanza kumla sound au romance.

Story iko hivi; ile nimeingia Ifm hapo nimechagua kuwa mtiifu kwa mshua na bmkubwa huku nikiwa na ambition moja tu. Kupiga GPA ya 4 na point zake, msuli mbwa wala sihitaji kusikia habari ya viumbe wanaitwa wanawake...changu ni kitabu.

Kweli nilijitunza haswa kwa miezi miwili ya mwanzo ile kujitunza haswa. Mpaka pale nilipokutana na pisi ya world class . Tatizo ni kwamba wote tuliulizia habari za kila mmoja wetu kwa wrong people.

Yeye aliulizia kwa binti mmoja niliyekua na mazoea nae na yule binti akamjibu kwamba nina pisi. Mimi pia nikaulizia kwa rafiki yake wa kike na majibu yalikua kwamba ile pisi iko sponsored na tycoon mmoja hapa town. Ikabidi niwe mpole kisa cha kushikiwa bunduki ni kipi!. Urafiki wetu ukawa hivyo, urafiki niliouelezea huko nyuma.

Siku moja alinialika kwake hakuwa anakaa hostel na badala yake alichukua kaapartment cha one bedroom. Nimefika pale full kipupwe adha ya hali ya joto kali la jiji la Dar es Salaam ilikuwa imepelekwa likizo na kiyoyozi makini kilichokuwa kikisambaza hewa ya baridi nyepesi isiyokinaisha. Kuna watu hawalijui kabisa joto la jiji, story za hapa na pale zikashika kasi.

Mara si yakaja mambo ya coffee, mimi mswahili kahawa mpaka vijiweni ila kwa ile pisi ilikuwepo mashine ya kutengeneza kahawa. Kikombe kimoja chake kingine changu, story za hapa na pale huku tumeketi kwenye sofa ya 2people macho yako kwenye tv.

Si ikatokea, labda tuiite bahati mbaya ila mimi sijui niite vipi ila akawa amenitikisa na kahawa ile ikanimwagikia kwenye suruali.

Eneo nyeti palipo na makao makuu ya uzalishaji wa binadamu na kahawa ilikuwa bado ya moto. Unajua eneo lile na unyeti wake ila nikawa kama nimejikausha ukweli ni kuwa niliumia vibaya sana..basi tu sikuwa eneo rafiki kuonesha machungu yangu.

so kwa aibu ya kuogopa kujishika pale. Ikabidi niombe kuoneshwa toilet ili nikajopoze machungu kule. Nikiwa nimevua suruali na boxer huku vile viungo vya siri vikiwa wazi. Natafuta namna ya kukausha yale maji ili iliirudishe mwilini. Nae akaingia kwa hofu kutaka kujua kama nimeumia au lah!!

Kilichotokea hapo yaani hata sielewi lakini tulijikuta tumebanjuka na kila mmoja akaanza kutafakari baada ya tukio. Ila hatukurudia tena coz kila mmoja alimuogopa mwenzie na mie ni kitu ambacho sikukipenda so mpaka leo tunaheshimiana.
 
Hakuna kazi ngumu kama kuukubali ukweli!. Hapa nilikuwa nalia na maumivu baada ya kuwa nimepigwa kibuti na pisi ya kwenda ya UDBS. Sikujui mapenzi kama yanatesa hivi;

Niko zangu kigamboni nimetulia mageto sina hili wala lile maisha yangu yapo yapo tu kama bendera. Kalikuwa ka kipindi kagumu ambako kalinikumbusha kuwa hata masikini anaweza pata depression sio changamoto tu!. (Depression is real wazee).

Mara notification hiyo kwenye simu. (Nilikuwa bwege masela Kila txt ikiingia nilikuwa nikiwaza kuwa niyake pengine alitaka turudiane). Pale geto kulikuwa na nyumba ya maza haouse alafu sisi wapangaji tulikuwa na vyumba vyetu nyuma au huani. Room langu lilitizamana na maroom mawili alafu chumba kingine kiko mwisho, alafu kakibaraza fulani kako mtu kati.

Toka jioni kulikuwa na purukushani za hapa na pale kwenye kale ka kibaraza. Nisijue kuwa jioni ile kulikuwa kumedamshi vibaya mno pale barazani (hata mda sikuwa nao wa kutoka nje niko ndani natengeneza nuru tu ili nikikutana na mtoto akome kuniacha).

Nilijituliza tu huku nikisogeza mda uende nipitiwe na usingizi twende kusiko fahamika. Usingizi nao ukaamua kunikomesha ulikuja basi, utokee wapi na kelele zile za wastani za mziki kwenye compaund.

Oooh!, Saa sita hii hapa bado kelele zinaendelea nami kutoka nje ni swala ambalo nimelikataa kata kata kabisa!. Nikapanic iweje wafurahi wakati watu tukodepress. Nikatoka nje kwenye kale ka uwanja ndipo palipambwa na kuwa na kiparty fulani cha kizushi ile natoka pilau hili hapa. Makasiriko nayatoa wapi wakati sikuwa nimekula zaidi ya kumchangia bakhresa na mihogo.

Vile vyumba viwili vilivyokuwa vikikitazama changu kimoja wapo alikuwepo pisi moja ya CBE alichukua kozi gani mimi sijui. Sikua na time nao toka naamia. Kwanza ratiba yangu ilikuwa fixed kinoma, chuo to geto. Weekend Niko kwa mama la mama hostel mda wa kuwafahamu natoa wapi?.

Japo tulionana mara kadha wa kadha ila hatukua na mazoea, kuzoeana sana ni kualibiana Cv hivyo sikutaka mazoea. Ndie aliyenipatia hilo pilau. Huku wakati nameza tukawa tunapashana mawili matatu. Ndio nikajua kuwa kile kibazidei ni cha mtoto wa maza hausi. Wakati huo msema chochote (mc) alisema ni wakati wa kuyarudi mangoma.

Kampani ya pisi ile ikanisaidia kukaa poa, mda huo watu wanayarudi pale kwenye kacompaund utazani tuko next door. Pisi si ikaniomba tucheze bhana!, Kukataa ningeonekana nyoka wa kidisa hivyo nikakubali japo kucheza ndio sijui sasa!. Mara ya mwisho kucheza ilikuwa ni kwenye after school bush iliyoandaliwa na Top in Mwanza. Miaka hiyo hapo hata step za uchezaji sijui zaidi ya kutingisha kichwa.

Kazi yangu ikawa ni kukikamatilia kiuno na kuchezesha viungo vichache, vichache tu mwilini. Wakati sound linalia mara naona mienendo ya uchezaji inabadirika mtoto anasogea zaidi kwangu!.. Eeeeenh! Nikastuka si mtego huu. Mara tuko ile distance anything can happen, sijakaa kwa kutulia midomo iko zero nchi. Nifanye nini nisije kuaibika ikabidi nizifyonze... kwani dunia ni yetu bhana!.

Mishale ya ngoma saba ile pisi ikasema kuwa imechoka niisindikize kwake. Funny thing ni kuwa kwake palikuwa ni pale pale kwenye compaund..eti ni msindikize!. Machale kundesa nikawaza hii inataka kuliwa tu nami hapo nawaza mara mbili mbili. Nisije nikala nikaanza kupewa majukumu ya wazazi wakati mimi mwenyewe nalelewa. Potolea pote bhana kwani si one night stand alafu kesho nitasingizia zilikuwa pombe plus shetani, unalifahamu hili collabo.

Nikazama ndichi mpaka kwa bed pisi inamalizia kulock door. Si alisema nimsindikize huyu vipi anatia lock sasa. Nikatake advantage pale pale nikamvamia maromance kibao mixer matouch makali makali kisha nikajilia tunda langu barida. Asbuhi kama ndo naamia siku ile. Simjui mtu pale mikausho mikali plus nikamla bati la msouth.
 
Visa hivi sio vyenye mfuatano bali ni matukio yenye kujitegemea #02


SIKU MOJA NILIKUA NA SAFARI YA MWANZA TO DAR,SPONSA AKASEMA NILE MWEWESIKU HIO NILICHELEWA KIDGO KUFIKA AIRPORT.SO NILIFIKA NIKAFANYA CHECK IN HARAKA HARAKA TU NIKASONGA MBELE WAITING AREA.


KATIKA PIRIKA PIRIKA NIKASHANGAA WANANITANGAZA KWENYE SPEAKER ZAONILISHTUKA NIKAJUA WAMEKAMATA BANGI KWENYE BAG ZANGUNILIOGOPA SANA.
BASI NIKASOGEA PALE SEHEMU YA MWISHO YA UKAGUZI NIKAWAAMBIA MIMI NDO VICTOR,WAKANIAMBIA NIKAE PALE NISUBIRI KIDGONIMEKAA MARA IKATOKEA PISI MOJA YA MOTO SANA IKANIAMBIA WE NDO VICTOR?NIKAKUBALI HUKU NAOGOPAYULE DADA AKANIPA KITAMBULISHO AKASEMA I BELIEVE THIS IS YOURSKUMBE WAKATI NINA PROVE IDENTITY NIKAWA NIMEDONDOSHA ID YANGU YA CHUO.NIKAIPOKEA NIKAMWAMBIA ASANTE THEN NIKAPITA HIVI.

SASA WAKATI NAINGIA KWENYEMLANGO WA NYUMA ALIKUEPO TENA UYO DADA SHE WAS VERY FINE GIRL IN DEED (kama yule wa ifm alisababisha mwananguu @jid akataka kujirusha kwa ghorofa)NIKASEMA WACHA NIJIDAISHE SIJUI SEAT YANGU ILIKO ATLEAST NIPATE KUSEMA NAE KIDGO.AKANIELEKEZA NIKAENDA KUKAA BHANA.WAKAFANYA YALE MATANGAZO YAO THEN NIKAONA ANAENDA KUKAA KULE NYUMA.JUU MORNING FLIGHT HAZINA WATU WENGI MANY SEATS WERE EMPTY SO I ASKED IF I COULD SIT KULE NYUMA NA YEYE SHE AGREED.NIKASWITCH SEATS AND WE TOOK OFF

I enjoyed the journey for very few minutes (juu kukaa besides yeye na story za hapa na pale)
But Everything changed walivoamka na kuanzia kugawa snacks
Alienda kuanza kugawa kule mbelee akaonana na a rich dude imevimba pale first class after seeing him all I can say she never saw me the same again 🥹🥹basi kushuka dar akaniambia tu goodbye ya juu juu boychild nikahepa kichwa chini🥹


Fast forward kufika dar life likaendelea fresh tu
Mimi na mishe zangu hapa na pale Unyama
One day nikiwa class nikaona notifications kwa instagram,Kuna mteja anahitaji socks na Tshrts pamoja na sweta amsurprise boy wake so akasema nimchagulie vitu kali coz alkua anataka Boy wake afurahi so ikabidi nidoji kipindi ili kufata ela sababu chuo hakueleweki.Nikatoka zangu chapuu klass nikasogea kudeliver mali mitaa ya NIT pale.

Kufika NIT bhana yule manzi akasema hayupo chuo bado yupo Ghetto kwake anajiandaa kuja chuo so akanipa options nimsubiri pale chuo au nisogee ghetto kwakeThat day kulikua na kimvua flani hvii so nikaona hii ni fursa wacha nisogee ghetto kwake due to the cold weather maybe naeza kupewa chochote kitu sababu ya good customer carelengo kubwa ni Customer satisfaction ili awe More than a Customer(JAPO KUA MWANANGUU @haulay_97 na @kuzabussines wanasema mteja Hatongozwi)

Nikaanza safari ya kusogea mtaa wapili ambao alisema anakaa hapa lengo nikamsuprise tunimeeka earphones naskiliza BACK TO SLEEP
Nikiwa napigia picha vyenye ntamkuta huko gheto kwake na baridi lile.Ghafla simu ikaita akaanza kusema mbona sikuoni mm niko hapa chuo nimeshafika tayari so mnyama nikaona mission ishakua nzito nikaanza kurudi tena pale NIT getinikufika tu aisee nikaona hio toto imekaa poa sana na to act more professional nikapeana salamu pale then I gave her the goods akawa anazikagua huku analalamika vyenye her boyfriend hua hajui kutunza zawadi(mnyama kiroho kinaniuma kwa mbali pale basi tu najikaza tu nasema hizi ni nzuri atazipenda).So she paid me km 115k nikatia tia huruma za biashara pale akaniongeza 5k.kibunda kikawa mingi sananikamsindikiza mpk getini akaingia chuo.
Sasa wakati naanza safari ya kurudi

So wakati natoka pale getini kukawa km kuna mzozano kati ya Walinzi na mdada mmoja hvi because of her dress codes.Nikasema wacha nishangae mtanange kidgo wale walinzi wakawa wamtimua kabisa yule dada.She walked away sasa wakati anatoka alkua anatembea km hayuko mzima.Si ndgu yenu huruma zikaniingia nikaenda kumsemesha nilipomfikia tu nikamsalimia afu ghafla tu she said kwa kigugumizi“yaani wewe hadi huku unafika,umefata nn huku”.Nikaanza kuwaza huyu ananijua au ni wenge la maafande.
nikamuulza sorry kwani tunafahamiana?.Ndio akanikumbusha tulikutana Airport 🥹moyo ulifurahi sanaNikasema milima tu ndo haikutani

Kipindi tunaongea pale akaniambia anaskia kifua kinamuuma so ni request usafiri uje umpeleke kwao.Kipindi tunasubiri gari nikaona anakua anatetemeka sana so as humble born and well-raised MSUKUMA nikaona wacha nimpe Sweta yangu im-comfort,manzi akavaa sweta bhana meanwhile bolt imefika but mabibo sokonii kuna foleni so akaomba tusogee pale urafiki kituo cha mafuta.Nikashika mkono bibie tukaanzaa safari.Huko njiana naona pisi mwendo unakua mdgo mara akasimama nikamuuliza vipi akaniambia I feel bad basi nikasogea nikamshika vzr tukatembea mpka kwa bolt.Nikampandisha then nikamwambia safe trip take care kwa huruma kakaniangalia kakasema please help me nifike Home don’t go(nikatamani kuchekanikawa naona mpk hizi ni km drama au ameuzimia mziki).Nikawaza kauongo ka kumwambia nikakosa nikasema tu pweteeeeleaa pwete wacha niende na hii drama mpk mwisho

So tumeanza safari hivi ikabidi nimuulze jina akasema anaitwa SthandwaSami (nikasema uyu ananiona fala kunitajia maneno ya kizulu) basi nikamsifia it’s a beautiful name akasmile.Baada ya muda ghafla tu naona mtoto ananirembulia🥲nikamwambia vipi how do you feel?Akasema I feel like dying,oyaa nilishtuka kisengeNikamuuliza kwa nn unasama hvo Akajibu I can’t breathe properly mnyama nikajikua nacare kweli nikamwambia driver kwa ukali ebu zima ilo AC

Nikamuulza tena anajiskiaje akasema worstndipo nikasuggest kimasihara tu “maybe we should go to the hospital”.Akasema twende hospital moja inaitwa Ekenywa iko Magomeni ndo hua anatibiwa.So went to the hospital nikamlipa jamaa wa bolt afu 15.Nikapeleka manzi hospital kufika nikawaomba manesi pale wampe first aid because she can’t breathe and they took her.Mimi nikachukua pochi lake nikaenda reception pale kuanza process za matibabu

So kutoa ile Bima yake waka process wakaniambia we have to pay cash bima imesha expire nikarudishiwa bimaBhana Nilichogundua hii dunia hawa mademu wako na jina mbovu mbovu za tribal hukua ni pisi za motoo mnoo
Demu alkua mkali ila anajina bayaBasi nikalipa km 40k hv kwaajili ya vipimo na matibabu ya awali

Then nikarudi alikolazwa nikakuta anaendelea vzr.Nikamuaga nikaenda kumtaftia chakula nikamletea.So tukawa tunapiga story pale huku manesi wanakuja wanachange drip.Tukakaa mpk jioni then wakaleta hospital bill nikaisoma wanataka km 30k nikasema tu wacha nilipe basi tukaruhusiwa kuondoka.
Sijui alkua ameanza kunipenda au vipi akaniulza tunaelekea wapi? Nikawaza haraka haraka nikasema sahv nakupeleka wewe mpk kwako then niende kigamboni kwangu.


Basi tukabolt mpk mikocheni🥹🥹nikalipia usafiri mfukoni nikabaki na af nane tukufika huko I was surprised kiapartment tumeingia palkua ni one bedroom and sitting room pazuri mnoooo everything was so perfect kufika mgeni nikapewa juice tukakaa kwa couch pale and we talked alot na giza likaiingia so nikawa naaga nataka kuondoka manzi akasema nisubiri aagize msosi tule then niondoke

Akashuka chini akaenda kufata msosi meanwhile mimi Shetani akaanza kuniingiia taratibu yaani nikasema hapa sasa leo siondoki lazima niforce mazingira huyu awe manzi wangu mtoto si kanyooka afu ana salary pale Airtanzania nikaanza pia kuwazia ela zangu nilizotumia hio siku hata sijutii najisemea she’s worthy all my vimoney(meanwhile muda huo nilikua natumia pesa za mauzo ya @socks_clo and natakiwa niwasilishe pesa kwa Alley then mwisho wa mwezi kila mtu afe na chake)




akarudi na kipizza flani hv na vichicken wings plus soda. Tukala pale huku tunapiga story sana mpk nikaget very comfortable nikaanza zile jokes za hapa na pale out of nowhere she asked me Tufanye Truth or Dare ili aweze kunifahamu vzr zaidi(Nikakumbuka ndgu yangu luclay aliniambia ukiona mtu analeta truth or dare ujue anataka Sekshooo intaakhoozzi si kinginne)Nikaona huyu mbna anajifunga Own Goal kabisa hii mechi nashinda mimi Nikakubali kucheza

Tukaaanza huu mchezo mchafu kila ikifika zamu I choose truth ila uongo ninaoutoa hapo ni mzuri mpk unaonekana ni ukwelii na kusema kweli Kwenye hizi game niwape Siri ukitaka umsome akili ya mpinzani wako wewe always choose TRUTHalafu na ataona game ni
Boring then you choose to Dare

Nakumbuka kuna truth moja nilisema vyenye nimeumizwa na mapenzi na nimegive up love affairs(mwendo wa kutembelea gia za huruma kama kondeboy)basi pale akawa kama ananibembeleza sijui I should wait for the right time bla bla blla.
Sasa alivojichanganya ni kuniambia na yeye she’s in a complicated toxic relationship (nikaona sasa hapa nishindwe mimi tu Mungu anipe nn sasa).

Nikatupa verse zangu nikamwambia vyenye tokea siku ya kwanza Airport nilimfeel na leo tumeonana it’s obvious Mungu amemleta kwangu ili tupeane furaha coz wote tunateswa na mapenzisijamaliza hata kujitetea naona akaanza kama kujaa akanihug pale akanipa zile kisses za moto afu akasema Thank you for everything you have done today mnyama nikajibu it’s nothing (kumbe it’s something)Tukapeana Mabusu motomoto pale Mabusu motomoto pale Naona mtoto analainika tu afu anazidi kua wamoto kinoma mimi nikaona sasa ni mudaaa nitembeze rungu komredi kipepe (as y’all should know the rule WHEN AN APPLE IS GREEN ITS READY TO PLUCK,AND MOST IMPORTANTLY WHEN A GIRL IS ABOVE 18 SHE’s READY TO F*%k)


BASI NILIVOONA MANZI KALAINIKA AFU ANAKUA WAMOTO SI NIKAJARIBU KUPITISHA MKONO NIONE KAMA MWAMPOSA KAMWAGA MAFUTA THEN BADAE NIWE FISTON MAYELE NITETEME KWA MKAPAMARA PISI AKASHTUKA AKANIAMBIA ITS TOO EARLY AND HAJISIKII VIZURI ME BEING A GENTLEMAN SI NIKAACHA BHANA(WHEN GIRLS TELL YOU TO STOP IT MEANS CONTINUE)NILIVO BOYA NIKAENDA NA KUMLETEA DAWA ANYWE AKANYWA THEN NIKAMWAMBIA AKAOGE AJE TUPUMZIKE(HAPA NILIKUA NAWAZA NIJARIBU TENA KUFORCE KINGI KAMA MAYELE HAJATETEMA BASI GENERAL MOSES PHIRI ATAPIGA 🫡SALUTE TU KWA MKAPA)

BASI MANZI AKAINGIA BAFUNI KUOGA MNYAMA NIKAANZA KUIMAGINE KAMA NIMEFELI KWENYE KOCHI KULE KWENYE KITANDA NDO NTAFORCE MPAKA IWE
BASI MANZI AKATOKA KUOGA AKANIITA NA MM NIKAOGE.NIKAINGIA KILE CHUMBA NIKAKUTA YUPO NA ZILE SLEEPWEAR FLANI HIVI VERY SEXY NIKAJIKAZA NIKAINGIA BAFUNI KIUKWELI WAKATI NAOGA NIKAJIAPIA LEO BHANA MIMI LAZIMA NIMKULE,KIKONTAWA KISHUA AU KIMTAA HAIWEZEKANI AISEE



BASI MNYAMA NIKATOKA BAFUNI PALE NAJIFUTA FUTA NINI PALE CHUMBANI KWA MBALI NIKASIKIA SIMU YANGU INAITA NIKATOKA MBIOOOO MPKA SITTING ROOMS
NIMEFIKA SITTING ROOM SIELEWI KABISA NASHANGAA NAONA BOONGE LA KIJEBA YAANI KIPANDE CHA MTU
AKILI YANGU IKIWA INALOAD NISEME NINI GHAFLA YULE MANZI AKANIAMBIA SHIKA UONGEE NA Alley ANAKUPIGIA NIKAPOKEA SIMU NIKASOGEA PEMBENI
NIKASIKIA YULE DADA ANAMWAMBIA YULE JAMAA “BABY YULE NDO CUZZO WANGU NILIEKUA NAKWAMBIA ANAHANGAIKA NA ADA LEO AMEKUJA KUNITEMBELEA”


NILIVO RUDI PALE IKABIDI TU NIENDE NA FLOW YA UNDUGU NIKAWAZA HAPA NIKIENDA NJE YA SCRIPT NTAULIWA JUU KUMBE YULE DADA NI BIBI YA WENYEWE(nikikumbuka sauti sol walisema “BIBI YA WENYEWE IS A NO-GO ZONE” nikaishiwa nguvu)

BASI JAMAA LIKANISALIMIA PALE NA KUNIPA POLE NYINGI SANA HATA SIELEWI NI POLE ZA NINI NA MIMI NINASEMA TU ASANTE SHEM HUKU NAWAZA VINGI SANA
Then jamaa akaniaga anaenda kupimzika
yule dada nae akaingia chumbani akaniletea pillow na bedsheets nilale kwa Couch then akaniambia kwa nguvu kabisa Goodnight Cousin Sweet dreams

NA DAKIKA 15 NI MINGI SANA NILIANZA KUSIKIA MIGUNO MZEE ALKUA ANATEST STRENGTH YA KITANDA CHAKE HUKU BIBIE NAE ANAINGIZA BACK VOCAL KAMA RUBYI HEARD TERRIBLE VOICES MPKAKA NIKASHINDWA VUMILIA
NIKAONA ISIWE KESI WACHA NITEMBEE NIKASOGEA MLANGONI NAONA UPO LOCKED NILITAFUTA UFUNGUO NITOROKE HATA SIKUUOONA
NIKARUDI KUKAA TU KWENYE COUCH NASKIA VYENYE SHEMEJII WANGU WA GHAFLA ANAMKULA CUZO WANGU wa MCHONGO

USINGIZI HAUKUJA MPK ASUBUHI NIKAENDA KUKNOCK MLANGO WAOO NIKASOGEA MLANGONI PALE NIKAMUITA CUZZ0 NIKAMWAMBIA AJE AFUNGUE MLANGO NIWAHI CHUOGHAFLA MLANGONI AKATOKEA YULE MWAMBA NIKAMSALMIA SHKAMOO SHEMEJII NIKAMWAMBIA NATAKA NIMUAGE DADA NIENDE MAGUFULI HOSTEL NIKAJIANDAE NIPANDE CLASSJamaa akasema nitulie tunatoka wote watanisindikiza mpka HostelNikaona kama wananichelewesha tu ila fresh
YULE DEMU ALITOKA NA FUNGUO ZA GARI WAKASEMA TUONDOKE TUTAKUACHA NJIANI
TUKAONDOKA WAKAENDA KUNISHUSHA MAAGUFULI HOSTEL PALE Yule DEMU kwakua aliona kabisa nilivokua mnyonge akamwambia yule jamaa “baby do something for my cousin”Kila nikiskia neno cousin nammindi kinoma wakanipa 20K dollar 200$ wakasema weekend nirudi kuwatembelea and tutaongea vizuri wananisaidia vipi na mambo yangu ya chuoNIKACHUKUA PESA NIKASEMA ASANTE SHEM(huku kimoyo moyo namtukana mbwa yule amehack mchongo nikashindwa kutetema)NIKAPITA HIVI

nakumbuka nilienda CRDB kubadili zile dollar nikapewa laki 4 na vinoti kadhaa almost 500k nikasogea Ghetto kigambonisikumwambia Alley mkasa wowote
ila mjue tu hizo pesa tulienda kuzitumbua weekend ilofata kule kigamboni TUKANUSURIKA KUPIGWA NA WANAJESHI
Anyways And that’s how my AIRTANZANIA love became PRECISION AIR CRUSH
“bibi ya wenyewe is a no go zone”
SAUTI SOL-NAIROBI
Mwamba umeua kwa hii flow... una techniques kali sana za kutoa story
 
Kuna dogo nilimkuta maskani, nipo IFM dogo yupo Advance ananichukulia kama icon. Hivyo akawa mwanangu ule ushikaji ulichangiwa kwa kuwa dogo alikuwa na konekisheni za pisi za Advance wenzie. Magroup kama yote ukienda kwenye gallery yake sasa unakutana na picha za pisi kibao.

So urafiki wetu ulichangiwa pakubwa na uhitaji wangu wa hizo konekisheni za dogo ili nipate mahala pa kuponea kwa likizo hiyo ya miezi kadhaa.

Hapo niko Mwanza kwa likizo ndefu baada ya UE. Dogo alinikubali vibaya si anataka kuexperience life la chuo kutoka kwa mwanachuo. Dogo anasikia chuo ni raha mno asijue Kuna coz -work, Kuna ma test na ma sup na mambo mengine kibao. Sikutaka kumtisha si unajua kuwa ukitaka kumtumia mtu basi mwambie kile anachotaka kusikia.

Basi dogo nikawa na mpanga kuwa kweli chuo ni bata hasa hasa Dsm. Yaani kidimbwi, tips, samaki samaki Kila weekend. Ma manzi wanajirahisi vibaya mno yaani ukikosa wa kulala nae ni wewe tu. Dogo full kuwonder tu yaani alilitamani haswa life lile asijue ya kuwa tulishindia mihogo na wakati mwingine tulichukua sheria mkononi. Namna dogo alivyokuwa akiyachukulia maisha ya chuo ni tofauti kabisa na uhalisia wenyewe... Sijui ni nani alikuwa akipandikiza sumu hizi kwa dogo.

Baada ya wiki kadhaa za kuwa maskani mara mama la mama akawa haokoti simu zangu. Ukipiga yuko bize na akipokea basi atakwambia upige baadae. Yeye nilimuacha dar co ndio kwao. Nikaona sio kesi wacha nimuache afurahie penzi na beby wake wa kitambo. Sasa nitampata nani wa kuliziba pengo lake kwa mda huo. Hapo ndipo dogo akajichukulia point tatu muhimu.

Kumueleza dogo, naye ni kama alitaka kujipatia umaarufu kwangu si akanipa namba zaidi ya sita bwana. Huku nikipata na detail za mmoja baada ya mwingine. Katika wote nikavutiwa na mmoja aliyeniambia kuwa ni mweupe mithiri ya wazungu si unajua wasukuma madhaifu yetu, weupe!.

Basi nikaomba detail zaidi!, Bwiru girl ndipo alipokuwa akisomea huku kwao kukiwa ni Buswelu. Hapo tayari 07 niko nazo kibindoni. Zoezi la kumtafuta likaanza, piga simu zaidi ya mara mbili haziokotwi huku dogo yeye akija akampigia wanabonga tu fresh!.

Mpango wa fasta ukasukwa na kukamilika, nikathibitisha text iliyojieleza vyema kama mimi Ni mmoja ya watu wanao recruit vijana walio high school wanatoka scholarship za vyuo vya ndani na nje ya nchi. We..we responding ya ile txt ilivyokuwa hata sikudhani.

Ni kama ilifungua green light kwa mtoto yule yaani nilitafutwa mpaka ikawa kero Sasa. Kila akitoka class ilikuwa ni txt au call kabisa. Siku moja niko maskani nasubiri idhaa ya mchana ya DW ghafla call inaingia namba ngeni. Kupokea si mtoto huyu hapa anasema niende kumcheki wako Wananchi hospital wamemsindikiza rafiki yao.

Tayari nilikuwa na taswira zangu kumuhusu plus maelezo ya dogo (yalikuwa maelezo coz hakuwa na picha yake). Hivyo nikataka kumushuhudia live and direct. Chap kwa fasta nikasonga na haice mpaka stend ya Bwiru hapo bado ujenzi wa soko jipya aujaanza hivyo stendi ilikuwa hapo kabla ya kuhamishwa kupelekwa makoroboi.

Kufika kweli nikamkuta, pengine dogo alikuwa ajakidhi vigezo vya sifa alizokuwa akimumwagia. Licha ya kushindia maharage ambayo hayakupendeza ila mtoto alikuwa wa moto balaa. Nasema alikuwa balaa haswa, white mpaka nywere ziliukosa weusi wake imajini!. Nikachekecha pale nikaomba nimtoe kwa ajili ya lunch.

Akagoma kwenda mwenyewe bali waje na shoga yake, nikaona barida hakuna kilichoharibika mkuki ulikuwepo. Kiepe soda plus mishikaki Kila mmoja huku zikisindikizwa na story za hapa na pale. Uongo mwingi uku ukichagizwa na ukweli kiasi. Mambo hayo machache ni kama yalichochea, pengine nilimwaga petrol kwenye moto kwa madai ya kuuzima.

Wacha call ziongezeke kwa kasi kama internet ya Elon Musk. Ikawa too much Sasa na nikaanza kuboreka huku nikiyachukia mapenzi na watoto wa shule. Ila kwa kuwa langu lilikuwa ni kupata huduma ya mwili Basi ikanibidi kumchalazia. Ikawa kama kushikisha chuma kwenye sumaku. Eti akadai ata yeye alinipenda ile siku aliyoniona hivyo akawa anaogopa kunichalazia ataonekana mtoto asiye na maadili.

Nikamwambia asiwe na wasi wasi hata mimi nilimuhitaji hivyo ukurasa rasmi wa mapenzi ukafunguliwa. Kwa kuwa mda hakuwa wa kutosha basi nikaomba mchezo ila kitaalamu. Sikutaka afahamu ya kuwa nilitaka tunda hivyo nikapitia mlango wa nyuma, nikataka kuonana nae.

Sijui alipataje ruhusa ila alikuwa na sare zake katikati ya jiji. Nikampeleka yale maduka ya Tanganyika bado hapajabomolewa hapo, cost ya tshert na suruali ikaghalimu kama thalathini na ushee kisha chap nika book chumba Shinyanga gest (kama kawaida yangu yaani swala la kulipia gest lilikuwa kabla ya tukio).

Hii ndio ilikuwa gest yenye bei rahisi mjini hapa, baada ya hapo nikawaza ni technical gani nitaitumia kumuingiza box. Nikamdanganya ya kuwa tutafute sehemu ya kukaa ili kukwepa macho ya watu. Si akajaa pasipo kuelewa kuwa anapeleka machinjioni. Kufika kule kama kawaida za wanafunzi sitaki nataka, sitaki nataka. Ila hakufahamu nilijiandaa kwa kiasi gani juu ya hilo.

Hakujua tu kwani nilianza na kiss za shingo hiyo ni baada ya French kiss kushindikana. Sogea mpaka kwenye matiti yake madogo yaliyoanza kumea. Shuka mpaka kwenye kitovu, chini chini kwenye mstari ule wa kuelekea ikulu. Hapo kilichotoka kwenye mwili wake ni lile tshert tu. Bado suruali ilikuwa mwilini mwake.

Ni mwendo wa kujikunja kama koboko aliyepigwa rungu la kichwa. Taratibu nikaanza kuishusha suruali huku nikishuka chini kwenye bustani changa ya ukoka. Mara ashike shuka aziache mara ashike kichwa changu yaani ilikuwa tafrani kweli kweli. Nikafanikisha kuishusha kabisa suruali ikabaki kifuniko cha asali ambacho kilikuwa kimelowa haswa na ute ute mwepesi mfano wa udelele wa mtoto.

Hapo nikasita na kurudi juu kisha nikaanza kuzipata French kiss pasina kipangamizi huku sasa nikiiachi mikono kazi ya kutambaa kwenye nyonga na maeneo ya ma**ko yake. Kiukweli halikuwa ajiwezi kabisa pale kitandani ni full milio iliyokuwa haifuatishi ala. Nikafanikisha kuiondoa chupi na hapo nikauona uchi wake live and direct. Ulikuwa wa kuvutia bhana (huwa na nashangaa wanaosema utabadiri mabucha nyama ni ile ile...huo ni uongo nyama utofautiana bhana!).

Sasa nikaweka kidole kupima oil kabla ya Athumani kichwa wazi ajaingia. Si nikapitisha kidole katikati ya yale mapaja na kuingiza ndani. Kisha nikakiketa nje nione oil ilikuwaje. Weh!...si nikakutana na damu nyepesi (tusi likaniponyoka fu**ck). Yule mtoto akashituka na kunitizama.

"Ina maana huko Period?". Nikauliza.

Akajibu huku akitetemeka.."Ilitakiwa kuanza jana ila sikuiona...labda ndio imeanza".

"Where We Dare To Talk Openly!". Nikajikuta Sasa nikikusudia kutukana. Iweje nilikose tunda na ilibaki siku mbili nirudi mjini Daslam kupiga Supp na wakati huo nauli ndio nilioifanyia ujinga ule.
Hehehehe
 
Visa hivi sio vyenye mfuatano bali ni matukio yenye kujitegemea #02


SIKU MOJA NILIKUA NA SAFARI YA MWANZA TO DAR,SPONSA AKASEMA NILE MWEWESIKU HIO NILICHELEWA KIDGO KUFIKA AIRPORT.SO NILIFIKA NIKAFANYA CHECK IN HARAKA HARAKA TU NIKASONGA MBELE WAITING AREA.


KATIKA PIRIKA PIRIKA NIKASHANGAA WANANITANGAZA KWENYE SPEAKER ZAONILISHTUKA NIKAJUA WAMEKAMATA BANGI KWENYE BAG ZANGUNILIOGOPA SANA.
BASI NIKASOGEA PALE SEHEMU YA MWISHO YA UKAGUZI NIKAWAAMBIA MIMI NDO VICTOR,WAKANIAMBIA NIKAE PALE NISUBIRI KIDGONIMEKAA MARA IKATOKEA PISI MOJA YA MOTO SANA IKANIAMBIA WE NDO VICTOR?NIKAKUBALI HUKU NAOGOPAYULE DADA AKANIPA KITAMBULISHO AKASEMA I BELIEVE THIS IS YOURSKUMBE WAKATI NINA PROVE IDENTITY NIKAWA NIMEDONDOSHA ID YANGU YA CHUO.NIKAIPOKEA NIKAMWAMBIA ASANTE THEN NIKAPITA HIVI.

SASA WAKATI NAINGIA KWENYEMLANGO WA NYUMA ALIKUEPO TENA UYO DADA SHE WAS VERY FINE GIRL IN DEED (kama yule wa ifm alisababisha mwananguu @jid akataka kujirusha kwa ghorofa)NIKASEMA WACHA NIJIDAISHE SIJUI SEAT YANGU ILIKO ATLEAST NIPATE KUSEMA NAE KIDGO.AKANIELEKEZA NIKAENDA KUKAA BHANA.WAKAFANYA YALE MATANGAZO YAO THEN NIKAONA ANAENDA KUKAA KULE NYUMA.JUU MORNING FLIGHT HAZINA WATU WENGI MANY SEATS WERE EMPTY SO I ASKED IF I COULD SIT KULE NYUMA NA YEYE SHE AGREED.NIKASWITCH SEATS AND WE TOOK OFF

I enjoyed the journey for very few minutes (juu kukaa besides yeye na story za hapa na pale)
But Everything changed walivoamka na kuanzia kugawa snacks
Alienda kuanza kugawa kule mbelee akaonana na a rich dude imevimba pale first class after seeing him all I can say she never saw me the same again 🥹🥹basi kushuka dar akaniambia tu goodbye ya juu juu boychild nikahepa kichwa chini🥹


Fast forward kufika dar life likaendelea fresh tu
Mimi na mishe zangu hapa na pale Unyama
One day nikiwa class nikaona notifications kwa instagram,Kuna mteja anahitaji socks na Tshrts pamoja na sweta amsurprise boy wake so akasema nimchagulie vitu kali coz alkua anataka Boy wake afurahi so ikabidi nidoji kipindi ili kufata ela sababu chuo hakueleweki.Nikatoka zangu chapuu klass nikasogea kudeliver mali mitaa ya NIT pale.

Kufika NIT bhana yule manzi akasema hayupo chuo bado yupo Ghetto kwake anajiandaa kuja chuo so akanipa options nimsubiri pale chuo au nisogee ghetto kwakeThat day kulikua na kimvua flani hvii so nikaona hii ni fursa wacha nisogee ghetto kwake due to the cold weather maybe naeza kupewa chochote kitu sababu ya good customer carelengo kubwa ni Customer satisfaction ili awe More than a Customer(JAPO KUA MWANANGUU @haulay_97 na @kuzabussines wanasema mteja Hatongozwi)

Nikaanza safari ya kusogea mtaa wapili ambao alisema anakaa hapa lengo nikamsuprise tunimeeka earphones naskiliza BACK TO SLEEP
Nikiwa napigia picha vyenye ntamkuta huko gheto kwake na baridi lile.Ghafla simu ikaita akaanza kusema mbona sikuoni mm niko hapa chuo nimeshafika tayari so mnyama nikaona mission ishakua nzito nikaanza kurudi tena pale NIT getinikufika tu aisee nikaona hio toto imekaa poa sana na to act more professional nikapeana salamu pale then I gave her the goods akawa anazikagua huku analalamika vyenye her boyfriend hua hajui kutunza zawadi(mnyama kiroho kinaniuma kwa mbali pale basi tu najikaza tu nasema hizi ni nzuri atazipenda).So she paid me km 115k nikatia tia huruma za biashara pale akaniongeza 5k.kibunda kikawa mingi sananikamsindikiza mpk getini akaingia chuo.
Sasa wakati naanza safari ya kurudi

So wakati natoka pale getini kukawa km kuna mzozano kati ya Walinzi na mdada mmoja hvi because of her dress codes.Nikasema wacha nishangae mtanange kidgo wale walinzi wakawa wamtimua kabisa yule dada.She walked away sasa wakati anatoka alkua anatembea km hayuko mzima.Si ndgu yenu huruma zikaniingia nikaenda kumsemesha nilipomfikia tu nikamsalimia afu ghafla tu she said kwa kigugumizi“yaani wewe hadi huku unafika,umefata nn huku”.Nikaanza kuwaza huyu ananijua au ni wenge la maafande.
nikamuulza sorry kwani tunafahamiana?.Ndio akanikumbusha tulikutana Airport 🥹moyo ulifurahi sanaNikasema milima tu ndo haikutani

Kipindi tunaongea pale akaniambia anaskia kifua kinamuuma so ni request usafiri uje umpeleke kwao.Kipindi tunasubiri gari nikaona anakua anatetemeka sana so as humble born and well-raised MSUKUMA nikaona wacha nimpe Sweta yangu im-comfort,manzi akavaa sweta bhana meanwhile bolt imefika but mabibo sokonii kuna foleni so akaomba tusogee pale urafiki kituo cha mafuta.Nikashika mkono bibie tukaanzaa safari.Huko njiana naona pisi mwendo unakua mdgo mara akasimama nikamuuliza vipi akaniambia I feel bad basi nikasogea nikamshika vzr tukatembea mpka kwa bolt.Nikampandisha then nikamwambia safe trip take care kwa huruma kakaniangalia kakasema please help me nifike Home don’t go(nikatamani kuchekanikawa naona mpk hizi ni km drama au ameuzimia mziki).Nikawaza kauongo ka kumwambia nikakosa nikasema tu pweteeeeleaa pwete wacha niende na hii drama mpk mwisho

So tumeanza safari hivi ikabidi nimuulze jina akasema anaitwa SthandwaSami (nikasema uyu ananiona fala kunitajia maneno ya kizulu) basi nikamsifia it’s a beautiful name akasmile.Baada ya muda ghafla tu naona mtoto ananirembulia🥲nikamwambia vipi how do you feel?Akasema I feel like dying,oyaa nilishtuka kisengeNikamuuliza kwa nn unasama hvo Akajibu I can’t breathe properly mnyama nikajikua nacare kweli nikamwambia driver kwa ukali ebu zima ilo AC

Nikamuulza tena anajiskiaje akasema worstndipo nikasuggest kimasihara tu “maybe we should go to the hospital”.Akasema twende hospital moja inaitwa Ekenywa iko Magomeni ndo hua anatibiwa.So went to the hospital nikamlipa jamaa wa bolt afu 15.Nikapeleka manzi hospital kufika nikawaomba manesi pale wampe first aid because she can’t breathe and they took her.Mimi nikachukua pochi lake nikaenda reception pale kuanza process za matibabu

So kutoa ile Bima yake waka process wakaniambia we have to pay cash bima imesha expire nikarudishiwa bimaBhana Nilichogundua hii dunia hawa mademu wako na jina mbovu mbovu za tribal hukua ni pisi za motoo mnoo
Demu alkua mkali ila anajina bayaBasi nikalipa km 40k hv kwaajili ya vipimo na matibabu ya awali

Then nikarudi alikolazwa nikakuta anaendelea vzr.Nikamuaga nikaenda kumtaftia chakula nikamletea.So tukawa tunapiga story pale huku manesi wanakuja wanachange drip.Tukakaa mpk jioni then wakaleta hospital bill nikaisoma wanataka km 30k nikasema tu wacha nilipe basi tukaruhusiwa kuondoka.
Sijui alkua ameanza kunipenda au vipi akaniulza tunaelekea wapi? Nikawaza haraka haraka nikasema sahv nakupeleka wewe mpk kwako then niende kigamboni kwangu.


Basi tukabolt mpk mikocheni🥹🥹nikalipia usafiri mfukoni nikabaki na af nane tukufika huko I was surprised kiapartment tumeingia palkua ni one bedroom and sitting room pazuri mnoooo everything was so perfect kufika mgeni nikapewa juice tukakaa kwa couch pale and we talked alot na giza likaiingia so nikawa naaga nataka kuondoka manzi akasema nisubiri aagize msosi tule then niondoke

Akashuka chini akaenda kufata msosi meanwhile mimi Shetani akaanza kuniingiia taratibu yaani nikasema hapa sasa leo siondoki lazima niforce mazingira huyu awe manzi wangu mtoto si kanyooka afu ana salary pale Airtanzania nikaanza pia kuwazia ela zangu nilizotumia hio siku hata sijutii najisemea she’s worthy all my vimoney(meanwhile muda huo nilikua natumia pesa za mauzo ya @socks_clo and natakiwa niwasilishe pesa kwa Alley then mwisho wa mwezi kila mtu afe na chake)




akarudi na kipizza flani hv na vichicken wings plus soda. Tukala pale huku tunapiga story sana mpk nikaget very comfortable nikaanza zile jokes za hapa na pale out of nowhere she asked me Tufanye Truth or Dare ili aweze kunifahamu vzr zaidi(Nikakumbuka ndgu yangu luclay aliniambia ukiona mtu analeta truth or dare ujue anataka Sekshooo intaakhoozzi si kinginne)Nikaona huyu mbna anajifunga Own Goal kabisa hii mechi nashinda mimi Nikakubali kucheza

Tukaaanza huu mchezo mchafu kila ikifika zamu I choose truth ila uongo ninaoutoa hapo ni mzuri mpk unaonekana ni ukwelii na kusema kweli Kwenye hizi game niwape Siri ukitaka umsome akili ya mpinzani wako wewe always choose TRUTHalafu na ataona game ni
Boring then you choose to Dare

Nakumbuka kuna truth moja nilisema vyenye nimeumizwa na mapenzi na nimegive up love affairs(mwendo wa kutembelea gia za huruma kama kondeboy)basi pale akawa kama ananibembeleza sijui I should wait for the right time bla bla blla.
Sasa alivojichanganya ni kuniambia na yeye she’s in a complicated toxic relationship (nikaona sasa hapa nishindwe mimi tu Mungu anipe nn sasa).

Nikatupa verse zangu nikamwambia vyenye tokea siku ya kwanza Airport nilimfeel na leo tumeonana it’s obvious Mungu amemleta kwangu ili tupeane furaha coz wote tunateswa na mapenzisijamaliza hata kujitetea naona akaanza kama kujaa akanihug pale akanipa zile kisses za moto afu akasema Thank you for everything you have done today mnyama nikajibu it’s nothing (kumbe it’s something)Tukapeana Mabusu motomoto pale Mabusu motomoto pale Naona mtoto analainika tu afu anazidi kua wamoto kinoma mimi nikaona sasa ni mudaaa nitembeze rungu komredi kipepe (as y’all should know the rule WHEN AN APPLE IS GREEN ITS READY TO PLUCK,AND MOST IMPORTANTLY WHEN A GIRL IS ABOVE 18 SHE’s READY TO F*%k)


BASI NILIVOONA MANZI KALAINIKA AFU ANAKUA WAMOTO SI NIKAJARIBU KUPITISHA MKONO NIONE KAMA MWAMPOSA KAMWAGA MAFUTA THEN BADAE NIWE FISTON MAYELE NITETEME KWA MKAPAMARA PISI AKASHTUKA AKANIAMBIA ITS TOO EARLY AND HAJISIKII VIZURI ME BEING A GENTLEMAN SI NIKAACHA BHANA(WHEN GIRLS TELL YOU TO STOP IT MEANS CONTINUE)NILIVO BOYA NIKAENDA NA KUMLETEA DAWA ANYWE AKANYWA THEN NIKAMWAMBIA AKAOGE AJE TUPUMZIKE(HAPA NILIKUA NAWAZA NIJARIBU TENA KUFORCE KINGI KAMA MAYELE HAJATETEMA BASI GENERAL MOSES PHIRI ATAPIGA 🫡SALUTE TU KWA MKAPA)

BASI MANZI AKAINGIA BAFUNI KUOGA MNYAMA NIKAANZA KUIMAGINE KAMA NIMEFELI KWENYE KOCHI KULE KWENYE KITANDA NDO NTAFORCE MPAKA IWE
BASI MANZI AKATOKA KUOGA AKANIITA NA MM NIKAOGE.NIKAINGIA KILE CHUMBA NIKAKUTA YUPO NA ZILE SLEEPWEAR FLANI HIVI VERY SEXY NIKAJIKAZA NIKAINGIA BAFUNI KIUKWELI WAKATI NAOGA NIKAJIAPIA LEO BHANA MIMI LAZIMA NIMKULE,KIKONTAWA KISHUA AU KIMTAA HAIWEZEKANI AISEE



BASI MNYAMA NIKATOKA BAFUNI PALE NAJIFUTA FUTA NINI PALE CHUMBANI KWA MBALI NIKASIKIA SIMU YANGU INAITA NIKATOKA MBIOOOO MPKA SITTING ROOMS
NIMEFIKA SITTING ROOM SIELEWI KABISA NASHANGAA NAONA BOONGE LA KIJEBA YAANI KIPANDE CHA MTU
AKILI YANGU IKIWA INALOAD NISEME NINI GHAFLA YULE MANZI AKANIAMBIA SHIKA UONGEE NA Alley ANAKUPIGIA NIKAPOKEA SIMU NIKASOGEA PEMBENI
NIKASIKIA YULE DADA ANAMWAMBIA YULE JAMAA “BABY YULE NDO CUZZO WANGU NILIEKUA NAKWAMBIA ANAHANGAIKA NA ADA LEO AMEKUJA KUNITEMBELEA”


NILIVO RUDI PALE IKABIDI TU NIENDE NA FLOW YA UNDUGU NIKAWAZA HAPA NIKIENDA NJE YA SCRIPT NTAULIWA JUU KUMBE YULE DADA NI BIBI YA WENYEWE(nikikumbuka sauti sol walisema “BIBI YA WENYEWE IS A NO-GO ZONE” nikaishiwa nguvu)

BASI JAMAA LIKANISALIMIA PALE NA KUNIPA POLE NYINGI SANA HATA SIELEWI NI POLE ZA NINI NA MIMI NINASEMA TU ASANTE SHEM HUKU NAWAZA VINGI SANA
Then jamaa akaniaga anaenda kupimzika
yule dada nae akaingia chumbani akaniletea pillow na bedsheets nilale kwa Couch then akaniambia kwa nguvu kabisa Goodnight Cousin Sweet dreams

NA DAKIKA 15 NI MINGI SANA NILIANZA KUSIKIA MIGUNO MZEE ALKUA ANATEST STRENGTH YA KITANDA CHAKE HUKU BIBIE NAE ANAINGIZA BACK VOCAL KAMA RUBYI HEARD TERRIBLE VOICES MPKAKA NIKASHINDWA VUMILIA
NIKAONA ISIWE KESI WACHA NITEMBEE NIKASOGEA MLANGONI NAONA UPO LOCKED NILITAFUTA UFUNGUO NITOROKE HATA SIKUUOONA
NIKARUDI KUKAA TU KWENYE COUCH NASKIA VYENYE SHEMEJII WANGU WA GHAFLA ANAMKULA CUZO WANGU wa MCHONGO

USINGIZI HAUKUJA MPK ASUBUHI NIKAENDA KUKNOCK MLANGO WAOO NIKASOGEA MLANGONI PALE NIKAMUITA CUZZ0 NIKAMWAMBIA AJE AFUNGUE MLANGO NIWAHI CHUOGHAFLA MLANGONI AKATOKEA YULE MWAMBA NIKAMSALMIA SHKAMOO SHEMEJII NIKAMWAMBIA NATAKA NIMUAGE DADA NIENDE MAGUFULI HOSTEL NIKAJIANDAE NIPANDE CLASSJamaa akasema nitulie tunatoka wote watanisindikiza mpka HostelNikaona kama wananichelewesha tu ila fresh
YULE DEMU ALITOKA NA FUNGUO ZA GARI WAKASEMA TUONDOKE TUTAKUACHA NJIANI
TUKAONDOKA WAKAENDA KUNISHUSHA MAAGUFULI HOSTEL PALE Yule DEMU kwakua aliona kabisa nilivokua mnyonge akamwambia yule jamaa “baby do something for my cousin”Kila nikiskia neno cousin nammindi kinoma wakanipa 20K dollar 200$ wakasema weekend nirudi kuwatembelea and tutaongea vizuri wananisaidia vipi na mambo yangu ya chuoNIKACHUKUA PESA NIKASEMA ASANTE SHEM(huku kimoyo moyo namtukana mbwa yule amehack mchongo nikashindwa kutetema)NIKAPITA HIVI

nakumbuka nilienda CRDB kubadili zile dollar nikapewa laki 4 na vinoti kadhaa almost 500k nikasogea Ghetto kigambonisikumwambia Alley mkasa wowote
ila mjue tu hizo pesa tulienda kuzitumbua weekend ilofata kule kigamboni TUKANUSURIKA KUPIGWA NA WANAJESHI
Anyways And that’s how my AIRTANZANIA love became PRECISION AIR CRUSH
“bibi ya wenyewe is a no go zone”
SAUTI SOL-NAIROBI
ila sio mbaya, angalau ulirudisha hela zako na faida juu...
 
Back
Top Bottom