Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Baadhi ya viongozi wa dini nikama wamechanganyikiwa na hawajui waguse wapi, hii ni kwasababu ya kujiingiza kwenye maslahi badala ya kumtumikia Muumba madhara ya kuchanganya maji na mafuta kwenye chombo kimoja na mwisho kuishia kutengana
Kwa taarifa yao ni kuwa
-Muumba hawaelewi
-Serikali haiwaelewi
-Wananchi hawaelewi
Unafiki kwa Muumba ndio unawatafuna
Unafiki kwa Serikali ndio unawamaliza kwasababu hawakuisaidia kabla ya kupatwa na matatizo ya kugombanishwa na Wananchi wake
Unafiki kwa Wananchi unawamaliza kwasababu hawakuwasaidia kabla ya kupatwa na matatizo ya kugombana na Serikali yao
Wamejitokeza baada ya matatizo kuikumba Serikali na Wananchi wake
Sababu ya kuwa wanafiki wanahofia wakizungumza habari za Muumba zitawatafuna kwa kuwasuta na kuwalaani na hasa maandiko yake
Sababu ya kuwa wanafiki ni kwasababu wanahofia waki ikera Serikali itawafutia vibali vya kula
Sababu ya kuwa Wanafiki ni kwasababu wanahofia wakikera Wananchi watakosa sadaka wanazotumia kuwekeza na kujenga
Kama kweli ni viongozi wa Dini, walipaswa waisaidie Serikali mapema ili isiingie kwenye matatizo na Wananchi wake
Lakini pia wangewasaidia Wananchi mapema ili wasikosane na Serikali yao
Baadhi ya viongozi wa Dini wameacha kufanya kazi waliyotumwa na kujiingiza kwenye maslahi pamoja na Siasa za vuguvugu
Wanamiliki miradi mingi ikiwemo Ardhi, Taasisi, Shule, Bank, miradi ambayo imetokana na nguvu za Serikali na Wananchi wake
Imenunuliwa, kujengwa na kuendeshwa Sadaka
Wanakuja na siasa za vuguvugu na habari za Shetani
Wanachi na Serikali wanataka kupewa support kwenye nyakati za matatizo na hasa fedha kwaajili ya kusaidia Wahanga na sio umbea wa Shetani
Nikama hawana chakula cha kulisha Taifa nje na habari za Shetani, hadithi za BC zitasaidia vipi Taifa
Umbea wa Shetani utasaidia vipi Taifa, namna ya kusaidia Taifa ni kuchangia mifuko ya maafa, watoe fungu la fedha wanazoficha bank wasaidie Wahanga
Serikali na baadhi ya Wananchi ndiyo wanahangaika kumaliza majanga ya kila aina lakini wao hawajigusi huku wakijiita Viongozi wa Dini
Na hii ndiyo sababu
Muumba hawaelewi
Serikali haiwaelewi
Wananchi hawaelewi
Kwa taarifa yao ni kuwa
-Muumba hawaelewi
-Serikali haiwaelewi
-Wananchi hawaelewi
Unafiki kwa Muumba ndio unawatafuna
Unafiki kwa Serikali ndio unawamaliza kwasababu hawakuisaidia kabla ya kupatwa na matatizo ya kugombanishwa na Wananchi wake
Unafiki kwa Wananchi unawamaliza kwasababu hawakuwasaidia kabla ya kupatwa na matatizo ya kugombana na Serikali yao
Wamejitokeza baada ya matatizo kuikumba Serikali na Wananchi wake
Sababu ya kuwa wanafiki wanahofia wakizungumza habari za Muumba zitawatafuna kwa kuwasuta na kuwalaani na hasa maandiko yake
Sababu ya kuwa wanafiki ni kwasababu wanahofia waki ikera Serikali itawafutia vibali vya kula
Sababu ya kuwa Wanafiki ni kwasababu wanahofia wakikera Wananchi watakosa sadaka wanazotumia kuwekeza na kujenga
Kama kweli ni viongozi wa Dini, walipaswa waisaidie Serikali mapema ili isiingie kwenye matatizo na Wananchi wake
Lakini pia wangewasaidia Wananchi mapema ili wasikosane na Serikali yao
Baadhi ya viongozi wa Dini wameacha kufanya kazi waliyotumwa na kujiingiza kwenye maslahi pamoja na Siasa za vuguvugu
Wanamiliki miradi mingi ikiwemo Ardhi, Taasisi, Shule, Bank, miradi ambayo imetokana na nguvu za Serikali na Wananchi wake
Imenunuliwa, kujengwa na kuendeshwa Sadaka
Wanakuja na siasa za vuguvugu na habari za Shetani
Wanachi na Serikali wanataka kupewa support kwenye nyakati za matatizo na hasa fedha kwaajili ya kusaidia Wahanga na sio umbea wa Shetani
Nikama hawana chakula cha kulisha Taifa nje na habari za Shetani, hadithi za BC zitasaidia vipi Taifa
Umbea wa Shetani utasaidia vipi Taifa, namna ya kusaidia Taifa ni kuchangia mifuko ya maafa, watoe fungu la fedha wanazoficha bank wasaidie Wahanga
Serikali na baadhi ya Wananchi ndiyo wanahangaika kumaliza majanga ya kila aina lakini wao hawajigusi huku wakijiita Viongozi wa Dini
Na hii ndiyo sababu
Muumba hawaelewi
Serikali haiwaelewi
Wananchi hawaelewi