MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kama kuna shule binafsi zinaanza mosomo ya Pre-Form Five mwezi ujao wa pili hii maana yake, shule za serikali miaka yote zitakuwa zinaburuzwa na shule za watu binafsi kwa sababu zilizo wazi kabisa, serikali badilikeni, hii tofauti ya miezi mitano ni kubwa sana.