Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,445
- 2,154
Mimi nafikiri changudoa au dada poa ndio ambao hawatakiwi kujishaua au kujificha ficha kutokana na nature ya kazi na tabia zao. Lakini mwanamke yeyote mwenye staha zake, amekukubali, bado inapendeza zaidi, akusumbuesumbue kidogo, afichefiche, n.k.
Isitoshe, katika kuondoa mkono unapomshika, anajaribu kupitisha muda, na kuuandaa mwili taratibu kukabiliana na shughuli itakayofuata. Hii ina maana akiondoa mkono baada ya kushika kwenye sehemu A, jaribu kushika sehemu B. Au acha kwanza, nenda kwenye friji, lete kinywaji, kunywa nae, piga maneno mawili matatu, halafu gusa tena.
Huu ni mtazamo wangu tu. Mie sio mtaalam kwenye hili jukwaa.
Isitoshe, katika kuondoa mkono unapomshika, anajaribu kupitisha muda, na kuuandaa mwili taratibu kukabiliana na shughuli itakayofuata. Hii ina maana akiondoa mkono baada ya kushika kwenye sehemu A, jaribu kushika sehemu B. Au acha kwanza, nenda kwenye friji, lete kinywaji, kunywa nae, piga maneno mawili matatu, halafu gusa tena.
Huu ni mtazamo wangu tu. Mie sio mtaalam kwenye hili jukwaa.