Na hakuna anaye waomba Wasaliti na Vibendera kuasiadia au kuhuzunika pale ndeze za Tanzania zinapo kamatwa
Wacha ujinga
Hiyo ni teila bado dawa itawaingia
Hii ni mamlaka iliyo wekwa na Mungu
Nyie mashetani hamta weza kamwe
Nilisema katika uzi flani kuwa Kupinga mapingamizi ya serikali sio kwamba Tundu Lisu ameshinda kesi...Mhimu ni kuwa jaji amelinda ulaji wake ,sasa tusubiri rufaa iamue,,ukweli ni kuwa CCM HAITAKI TENA TUNDU LISU AWE MBUNGE INATAKA AFE AU APOTEZE UBUNGE ILI KINGA YAKE IPUNGUE WASHUGULIKE NAE ..LEO SPIKA KASEMA VILE KWA MAELEKEZO ALIYOPEWA SABABU HAUWEZEKANI MTU UMFUKUZE UBUNGE NA BADO UFUATILIE HUKUMU YAKE ILIVYOTOKA UPANDE WAKE NA UFURAHIE .
Mnufaika wa kodi zetu hana hassaraHuyu mwizi wa dola millioni kumi na mbili takribani bilioni 30, kupitia matibabu feki Anasemaje?
Hakuna kitu kama hicho. Labda hapo ufipa ndio kuna taratibu hizo.Elewa ni jukumu la mgonjwa kutoa taarifa ya maendeleo yake.
HekimaDon’t be frustrated by people’s criticisms and comments. If they’re constructive, you can learn from them. Otherwise, treat them as just noise. Don’t let it affect you and the good work that you do. Remember, your job is to please the Almighty. Don’t give others any attention!
Go lissu Goo
Kumsifia mbowe haisafishi kilichofanywa....mbona yeye pia ana kiburi na jeuri kwanini pia hakuktafuta lissu na kumpa pole?Spika wa bunge mh Ndugai amesema aliyekuwa mbunge wa Singida mashariki ni mtu jeuri na mwenye kiburi tofauti na Kiongozi wa upinzani bungeni mh Mbowe ambaye amemsifia kuwa ni mtiifu.
Source Channel tv wakisoma gazeti Tanzanite
Lisu, ana uwezo mzuri wa kujenga hoja, Tatizo la Lisu, ana kiburi kikavu ii inampelekea kutokuona mapungufu yake kama binadamu na kuwaona anaotofautiana nao kimtazamo hawana akili kumzidi.Jambo ili litampa shida kwa muda mrefu mbaka atakapo jitambua.Don’t be frustrated by people’s criticisms and comments. If they’re constructive, you can learn from them. Otherwise, treat them as just noise. Don’t let it affect you and the good work that you do. Remember, your job is to please the Almighty. Don’t give others any attention!
Go lissu Goo
Umeshapanic!Asitake kuwagawa alafu mbona anateseka wakati wameshatimiza azima yao ya kumvua ubunge?1
Wazung