Kichaa Msafi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,090
- 2,141
mbona naiona expansion joint hapa
mbona naiona expansion joint hapa
Huyu wakutengeneza huyuu sidhani kama hii picha ni sahihi
....na Mtwara leo thimba wameonekana....ila wamo ktk basi jekundu.....eboo kumbe simba tu
nchi yetu si ya amani jamani
sasa mbona wanakuwa na khofu ivyo simba hana nouma kabisa
Nitumie huku 0623474096Video kabisa zipo,ila sasa kuiweka hapa ndio issue mpaka ipitie youtube kwanza
Weka namba nikutumie WhatsApp
But this is photoshop
huwa wanatania warembo.... kule hall 7 walikuwa wanaiba mikate kupitia madirishani, wanapiga chabo warembo yaani full burudaniMbona UDSM Kuna Ngedere [emoji13] [emoji13]
Hizo ni njia za mababu zao wanyama huwa wanakumbuka hivyo kuweni makini tu na mzoeeBaada ya Tembo watatu kuvamia UDOM kuwasalimia wanafunzi mwezi wa 7 hatimaye leo jioni SIMBA aonekana UDOM
University of Dodoma
TAARIFA YA HATARI
28th Dec. 2017.
14:21.Pm
Wizara ya Ulinzi, Makazi, Cafeteria, Afya na Mazingira College of Humanities and social Sciences Inapenda kutoa taarifa ya hatari na tahadhali kwa wanafunzi wote Kuwa Kuna Taarifa zilizotufikia hivi punde Za Kuonekana Kwa SIMBA katika college yetu Maeneo ya bonde Linalo tenganisha Bweni za humanities na Jengo la Wizara ya Mambo Ya Ndani. Maarufu kama Kuelekea ujasi mwisho wa barabara ya Reli.
Hivyo nasi Tunaomba Wanafunzi wote Tusionekane Eneo hilo kuanzia sasa mpaka pale tutakapo pata taarifa za usala na utulivu. Wanafunzi waliozoea kwenda ujasi na Wengine waliozoea kukaa kwenye kichaka nyuma ya block 3, 6 na 7 Msiende huko.
Ukipata taarifa hii mfahamishe na mwenzako.
Imetolewa na Juma Amadi.
Waziri wa Ulinzi, Makazi, Cafe na Mazingira.
Hii picha fake imefanyiwa manipulation
Mambo gan sasa?? ?????Watu wanaamia dodoma na mambo yao yasiyo eleweka eleweka ..soon utasikia kiboko kaonekana
Na issue kamili utakapofanikiwa kuiweka ni kukamatwa na kuhojiwaVideo kabisa zipo,ila sasa kuiweka hapa ndio issue mpaka ipitie youtube kwanza
Weka namba nikutumie WhatsApp
Ndio shida ya kuingilia makazi asilia ya wanyama
Sio kama walikua na mechi huko? Mbona hata yanga washaonekana mitaa hiyoeboo kumbe simba tu
nchi yetu si ya amani jamani
sasa mbona wanakuwa na khofu ivyo simba hana nouma kabisa