Simba wa madale.Simba mnyama au simba ya haji manara
Au simba wa morogoroSimba wa madale.
Anaitikia wito wa kuhamia Dodoma na yeye,nashangaa watu hawataki wakati wanyama wanakubali wito huoha ha ha simba tenaaa.. mji mkuu anafata nini?
Mh!Baada ya Tembo watatu kuvamia UDOM kuwasalimia wanafunzi mwezi wa 7 hatimaye leo jioni SIMBA aonekana UDOM
University of Dodoma
TAARIFA YA HATARI
28th Dec. 2017.
14:21.Pm
Wizara ya Ulinzi, Makazi, Cafeteria, Afya na Mazingira College of Humanities and social Sciences Inapenda kutoa taarifa ya hatari na tahadhali kwa wanafunzi wote Kuwa Kuna Taarifa zilizotufikia hivi punde Za Kuonekana Kwa SIMBA katika college yetu Maeneo ya bonde Linalo tenganisha Bweni za humanities na Jengo la Wizara ya Mambo Ya Ndani. Maarufu kama Kuelekea ujasi mwisho wa barabara ya Reli.
Hivyo nasi Tunaomba Wanafunzi wote Tusionekane Eneo hilo kuanzia sasa mpaka pale tutakapo pata taarifa za usala na utulivu. Wanafunzi waliozoea kwenda ujasi na Wengine waliozoea kukaa kwenye kichaka nyuma ya block 3, 6 na 7 Msiende huko.
Ukipata taarifa hii mfahamishe na mwenzako.
Imetolewa na Juma Amadi.
Waziri wa Ulinzi, Makazi, Cafe na Mazingira.
Subiri kuna siku utasikia ameoneka Papa au nyangumi apo Dodoma. Ukiona ivyo, watu wa Dodoma wajipange kisaikolojia kuwa watoto wa uswahilini wanaingia Dodoma. Amani waliokuwa wameizoea itaisha na kitakachofatia nadhani mnawaelewa watoto wa uswahili walivyo na mambo ya KiswahiliWatu wanaamia dodoma na mambo yao yasiyo eleweka eleweka ..soon utasikia kiboko kaonekana
Wanyama nao wanahamia Dodoma kuunga mkono juhudi za Mhe Rais wetu kama wanavyofanya wabunge njaa wa upinzani.Watu wanaamia dodoma na mambo yao yasiyo eleweka eleweka ..soon utasikia kiboko kaonekana
Mkuu takwimu zako za uwakika usije pimwa mkojo [emoji23][emoji23][emoji23]Wanyama nao wanahamia Dodoma kuunga mkono juhudi za Mhe Rais wetu kama wanavyofanya wabunge njaa wa upinzani.
Mkuu mimi sina mkojo ninakamasi pekeeMkuu takwimu zako za uwakika usije pimwa mkojo [emoji23][emoji23][emoji23]
hahaaa nchi yetu ya Amani mbona TLs kapigwa bomba..eboo kumbe simba tu
nchi yetu si ya amani jamani
sasa mbona wanakuwa na khofu ivyo simba hana nouma kabisa
Nadhani hao ni Simba Mbojo toka Singida!Au simba wa morogoro
Huyu wakutengeneza huyuu sidhani kama hii picha ni sahihihebu tuondolee photoshop hapa.