Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,292
- 6,693
Baada ya Tembo watatu kuvamia UDOM kuwasalimia wanafunzi mwezi wa 7 hatimaye leo jioni SIMBA aonekana UDOM
University of Dodoma
TAARIFA YA HATARI
28th Dec. 2017.
14:21.Pm
Wizara ya Ulinzi, Makazi, Cafeteria, Afya na Mazingira College of Humanities and social Sciences Inapenda kutoa taarifa ya hatari na tahadhali kwa wanafunzi wote Kuwa Kuna Taarifa zilizotufikia hivi punde Za Kuonekana Kwa SIMBA katika college yetu Maeneo ya bonde Linalo tenganisha Bweni za humanities na Jengo la Wizara ya Mambo Ya Ndani. Maarufu kama Kuelekea ujasi mwisho wa barabara ya Reli.
Hivyo nasi Tunaomba Wanafunzi wote Tusionekane Eneo hilo kuanzia sasa mpaka pale tutakapo pata taarifa za usala na utulivu. Wanafunzi waliozoea kwenda ujasi na Wengine waliozoea kukaa kwenye kichaka nyuma ya block 3, 6 na 7 Msiende huko.
Ukipata taarifa hii mfahamishe na mwenzako.
Imetolewa na Juma Amadi.
Waziri wa Ulinzi, Makazi, Cafe na Mazingira.
University of Dodoma
TAARIFA YA HATARI
28th Dec. 2017.
14:21.Pm
Wizara ya Ulinzi, Makazi, Cafeteria, Afya na Mazingira College of Humanities and social Sciences Inapenda kutoa taarifa ya hatari na tahadhali kwa wanafunzi wote Kuwa Kuna Taarifa zilizotufikia hivi punde Za Kuonekana Kwa SIMBA katika college yetu Maeneo ya bonde Linalo tenganisha Bweni za humanities na Jengo la Wizara ya Mambo Ya Ndani. Maarufu kama Kuelekea ujasi mwisho wa barabara ya Reli.
Hivyo nasi Tunaomba Wanafunzi wote Tusionekane Eneo hilo kuanzia sasa mpaka pale tutakapo pata taarifa za usala na utulivu. Wanafunzi waliozoea kwenda ujasi na Wengine waliozoea kukaa kwenye kichaka nyuma ya block 3, 6 na 7 Msiende huko.
Ukipata taarifa hii mfahamishe na mwenzako.
Imetolewa na Juma Amadi.
Waziri wa Ulinzi, Makazi, Cafe na Mazingira.