Baada ya TEMBO kutembelea UDOM,sasa SIMBA aonekana UDOM Leo

Baada ya TEMBO kutembelea UDOM,sasa SIMBA aonekana UDOM Leo

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,292
Reaction score
6,693
Baada ya Tembo watatu kuvamia UDOM kuwasalimia wanafunzi mwezi wa 7 hatimaye leo jioni SIMBA aonekana UDOM

University of Dodoma

TAARIFA YA HATARI

28th Dec. 2017.
14:21.Pm

Wizara ya Ulinzi, Makazi, Cafeteria, Afya na Mazingira College of Humanities and social Sciences Inapenda kutoa taarifa ya hatari na tahadhali kwa wanafunzi wote Kuwa Kuna Taarifa zilizotufikia hivi punde Za Kuonekana Kwa SIMBA katika college yetu Maeneo ya bonde Linalo tenganisha Bweni za humanities na Jengo la Wizara ya Mambo Ya Ndani. Maarufu kama Kuelekea ujasi mwisho wa barabara ya Reli.

Hivyo nasi Tunaomba Wanafunzi wote Tusionekane Eneo hilo kuanzia sasa mpaka pale tutakapo pata taarifa za usala na utulivu. Wanafunzi waliozoea kwenda ujasi na Wengine waliozoea kukaa kwenye kichaka nyuma ya block 3, 6 na 7 Msiende huko.

Ukipata taarifa hii mfahamishe na mwenzako.

Imetolewa na Juma Amadi.
Waziri wa Ulinzi, Makazi, Cafe na Mazingira.
 
Isije ikawa kama ile taarifa ya ng'ombe wa blue 🙄
 
Video kabisa zipo,ila sasa kuiweka hapa ndio issue mpaka ipitie youtube kwanza

Weka namba nikutumie WhatsApp
[emoji23] [emoji23] we mutu nitumie namba yangu unayo mimi ni mwanako wa forex
 
8e46f63762141835c517ef4cb4b2b50b.jpg
 
Huyu simba bichwa kubwa akili nukta, sasa amelala hapo ameona binadamu ni swala? BTW nimehamia chimwaga, atawala nyie mi hanipati. Na ole wenu mseme wapo wawili, nahc mnapafahamu pale kwenye ile nyumb ya zenge na nondo.
 
Back
Top Bottom