Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 480
- 571
Huyu padre kitima ni mtata sana.siyo mara ya kwanza kuitunishia misuli serikali.
Alimsumbua sana kikwete ktk wakati wake.
Na huyu ndio aliiponza sana saut.kipindi akiwa muhadhiri pale..
TCU ikawanyima wanafunzi.walipelekewa namba ndogo mno ya first year.
mpaka baadh ya matawi ya saut yakajifuta.
kanisa likae na huyo padre kwa umakini sana ikiwezekana afungwe breki.
Alimsumbua sana kikwete ktk wakati wake.
Na huyu ndio aliiponza sana saut.kipindi akiwa muhadhiri pale..
TCU ikawanyima wanafunzi.walipelekewa namba ndogo mno ya first year.
mpaka baadh ya matawi ya saut yakajifuta.
kanisa likae na huyo padre kwa umakini sana ikiwezekana afungwe breki.