Hulijui Kanisa katoliki wewe. Kule wamenyooka mzee..Ni mstari mmoja Toka vatikano Hadi kitongojini kwako.Unachotakiwa kujua ni kuwa kila jimbo katoliki lina mamlaka yake kamili yawezekana yapo majimbo yakawa na mtazamo tofauti.
Hulijui Kanisa katoliki wewe. Kule wamenyooka mzee..Ni mstari mmoja Toka vatikano Hadi kitongojini kwako.Unachotakiwa kujua ni kuwa kila jimbo katoliki lina mamlaka yake kamili yawezekana yapo majimbo yakawa na mtazamo tofauti.
Mbona wa Ngara aliweka lockdown waumin wake uliona kuna wakumzuia,Hulijui Kanisa katoliki wewe. Kule wamenyooka mzee..Ni mstari mmoja Toka vatikano Hadi kitongojini kwako.
Washaanza kutishwa,ila hakuna mtu hapa tanzania ana ubavu dhidi ya wakatoliki wataufyata mkiaTunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala (za Kisiasa) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa jana au watakaoendelea kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani (ulimwenguni) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya (Namuonya) huyo (huyu) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
BAKWATA inasimamia nini kwa waislamu wa Tanzania? It's just a bunch among the governmental institution. Hawawezi kutoa neno lolote tofauti na msimamo wa boss waoHaya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Yan achukue tahadhari waumini wake wasidhurike halafu azuiwe!!! Embu awaambie waumini wake wasivae barakoa uone watakachomfanyia..nyie mnafikiri kila mtu na kila Taasisi ni wa kuwafanyia huo ubabe wenu? Au mnafikiri Kanisa katoliki Ni hao wasanii kina gwajima na kakobe?!!!Mbona wa Ngara aliweka lockdown waumin wake uliona kuna wakumzuia,
siyajui mambo hayoKwan Yale mafuta ya "upako" unapewaga for free?
Huhisi kuwa Unabishana na Mental hivi?siyajui mambo hayo