Baada ya ripoti ya Makinika kutikisa, Executive Chairman wa Barrick atua Tanzania kutuliza mambo

Kumbe..mzalendo..alijua jamaa yupo njianii
ndiomaana akakazia swala la kukaa kitako Mezaniii..!!!
Mwizii karibu..nchinii..tukutane mezanii

Kwenye corporate governance we have the following stages in conflict resolution. I.e.
Communication
Mediation
Arbitration
Litigation
Kill the deal
Termination.
So sitting around the table with your counterpart is inevitable.
 
Ahsante sana barafu tunataka Dunia ielewe tumedhamilia kuivusha Tanzania kuonekana kisima cha kubeba na kuondoka....


Ninatumia Mr. chaiman amewasiliana na Tundu Bovu kwa kupata data zaidi.....

Tuna wadau Trillion kama 400 hivi watulipe wakishatulipa tuwafutilie mbali............

Wazalendo wenye damu za moto kama mie upasw kupita bure kwenye Uzi huu......

wale makuhadi wa wazungu wenye damu baridi waache wakiropokwa na kuponda.........
Hyo ndio damu yao na kamwe hawatadumu..........

Katika kila sala yangu namuombea magufuli Mwenyezi amlinde..........

Tanzania Juuu Juuu Juuu Zaidiiiiiiiii
 
Exactly umefikiria Vizuri sana nahisi hata Mtu wa Kwanza Kukutana naye Airport ni Tundu Lissu!
Nadhani huu ndio udhaifu mkubwa wa kifikratulionao. We don't accept challenges that's why we said ndioo. Kosa la lisu hajathibitisha kuwa ashawahi omba kusikilizwa na raisi akakataa ndio maana anapiga makelele mtaani. Jambo la msibgi si la kupuuza ni kufanyia kazi. We have a lot to help our president lakini sio hizi propaganda
 
Tukicheza vizuri na politics za mabepari hawatugusi...tukibugi nchi zao zitaungana na haya makampuni kutufanya kama Zimbabwe...

Ila kama wana harakati wa Canada wameshaanza kazi itakuwa ngumu serikali ya Canada kutufanyia kitu mbaya...


Umegonga mule mule.Natamani Mwl.Nyerere angekuwepo leo.Mwl.angekuwa hai sasa huu ndio ungekuwa wakati wake.Hii ingekuwa fursa kwake.Angekuwa hai angefunga safari aende UN,IMF,World Bank na taasisi zote za Kimataifa kwenda kusaidia kuwagonga tena hawa jamaa kwenye "korodani".

Nyerere angekuwahi leo angeenda "kuwabomokea" hawa mabepari huko huko huku akiwa ana Clips za Video zinazoonyesha jinsi mabepari wanavyosababisha kaputula na sketi za watoto wetu kutoboka makalioni kwa kukalia mawe mashuleni.

Angekuwepo Nyerere angeenda "kuwatiririkia" huko huko hao mabedui huku akiwa na Clips za Video zinazoonyesha wamama wajijifungulia njiani kwenye bodaboda sababu ya ukosefu wa Ambulance.Mwalimu angebeba Clips za Wagonjwa ndugu zetu wakionekana jinsi wanavyoaga dunia kwa Cancer kwa maumivu makali sana pale hospitali ya Ocean Road.Angewaonyesha jinsi bodaboda zinavyotenengezwa huko kwao zinavyozalisha makaburi ya vijana wenzetu kila kukicha kwa sababu ya kukosa vifaa tiba.Mabepari yangeona jinsi watanzania wa vijijini wanavyokunywa maji-maziwa yaliyositirika katika matope.

Kwa hiyo Mwalimu Nyerere angewaambia haya yote munayoyaona yasingekuwa kwa kiasi hiki kama si ninyi kutuibia rasulimali zetu.

Sasa Leo nani anaweza kufanya hivyo huko majuu? Nani ? Ataenda Mzee Butiku? Aende Salimu A.Salimu? Tumtume JK au BEN? " Tumkodi" Mgabe?
 
Tukicheza vizuri na politics za mabepari hawatugusi...tukibugi nchi zao zitaungana na haya makampuni kutufanya kama Zimbabwe...

Ila kama wana harakati wa Canada wameshaanza kazi itakuwa ngumu serikali ya Canada kutufanyia kitu mbaya...

Usiogope tuna watu wengi wa kufanya nao biashara. Kuna China ambaye anamkopesha hata Marekani, Russia India etc
 
Usiogope tuna watu wengi wa kufanya nao biashara. Kuna China ambaye anamkopesha hata Marekani, Russia India etc
Zim hawaoni China?
Anyways mimi siogopi...ila nafikiria mbinu za kupambana badala ya kubweteka...
Hata South Sudan wana biashara na China lakini kwa sasa wako salama?
Mcina mwenyewe hayuko tayari kugombana na hawa jamaa...kwa interest ya nani kwa mfano?
 
nikiwa Toronto Canada,hapo nilikuwa nyumbani kwa Mzee mmoja aliyeishi Mwadui miaka ya 1970's kabla ya kuondoka na kurudi huku.​
Mkuu Barafu,
Basi wa Barrick anakaribishwa kwa mikono miwili, kwenye meza ya mazungumzo.

(Off the topic kumbe unaishi Toronto? . Then hapo uko na shemeji, sisi watu wa kanda ile ukiishi popote tuu zaidi ya mwaka lazima unaacha nyumba. Kama mnawasiliana na Mkuu Mkandara mwambie akuonyeshe shemeji yako.
Ningekuwa mzungu ningekuja sana huko maana wenzetu wanaweza, lakini sisi ngozi nyeusi, mambo ya long distance na kusubiri mwaka hadi mwaka, hatuwezi!).

Bosi wa Barrick akimaliza tutamfungashia tujizawadi twa kisamvu na sansa.

Paskali
 
IMG_-4ltcl7.jpg
Screenshot_20170613-151309.png

Ndo mjue kuwa hakuna nia ya dhati ya KUTETEA HIZI RASILIMALI
 
Kama MACK ZUCKERBERG na BILL GATES wao Wali DROPOUT pale HAVARD UNIVERSITY..
ANDREW CHENGE yeye alikaza mpaka aka GRADUATE pale ..
Mnategemea WABONGO mtaenda nae sawa.?
 
Hapo anamaanisha hakubaliani na ushauri wa UPINZANI
nimeelewa ila ame sound vibaya...
kama vile nilinde nikulinde...
Ndio nauliza kwa manufaa ya nani? ya umma au ya viongozi wastaafu na vyama vyao...
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom