Nachukia kwa kweli hili suala anaponyooshewa kidole Lisu ,niko pamoha na rais kwa hatua ya sasa sio kwa waliyoyafanya yeye na chama chake kwa hiyo Lisu na wenzake wanahakibya kupiga kelele !Vile vile Lisu hakuna hata sehemu moja alijiunga na acacia au barrick bali alikuwa katika kuonya nini kinaweza kutokea kama hatutofanya mihemko ndi mihemko kwani tumeshapona IPTL na Samaki?Exactly umefikiria Vizuri sana nahisi hata Mtu wa Kwanza Kukutana naye Airport ni Tundu Lissu!
Nyie ndo mnakosea kwa kuwatenga weledi kama akina tundu lisu katika vita muhimu kama hizi. Raisi alitakiwa awaite weledi kama hao akae nao meza moja kuona namna ya kushinda pamoja hii ni mama Tanzania tutakufa na kuwaachia watoto wakitusoma kama sie tunavyowasoma akina chifu mangungo. Hebu punguza ubinafsiAje tuu na pia nikupongeze kabla hujatumia Sigara yako ama Kinywaji chako Unakua na Mawazo Mazuri Sana Big up!
Edit Heading weka "" Apokelewa na Mwenyeji wake Tundu Lissu'''
Mkuu, nahisi kama vile umenifungua macho vile!Mwambie Dr Slaa wakati sisi tunapiga mwizi huku nyumbani na yeye atuwakilishe vema huko Canada haaa...hahaaaa........!
kwani wakihusika ndio nini...kuna public interest yoyote kwa mawaziri wakuu kutokushtakiwa...?
Du siasa ni kazi...
mkuu ina maana we huoni kama huo ni usiku??!!Huu ulikuwa ni usiku?
Baadaye...
Ataweza kutema yai? Au ndo ya mambo ya yes, yes, yes, yes!!Kumbe..mzalendo..alijua jamaa yupo njianii
ndiomaana akakazia swala la kukaa kitako Mezaniii..!!!
Mwizii karibu..nchinii..tukutane mezanii
Ni hapo sasa?Nilijua angekuja wa kutoka Acacia....???
Tushikamane jamani. CCM wamekosea sawa. Ebu tuwekeni hasira pembeni kwanza. Tumalize hili likiisha turudi kwenye vyama vyetumi namuunga mkono lákin pia nawashangaa wabunge wa C.C.M nao wanamuunga mkono!!!!wakati wao ndo waliopitisha Sera na sheria za madini kwa kura ya NDIOOOOO
Pale Kafulila aliposema kuna haja ya kupitia upya sheria hizoo,wabunge wa C.C.M walizomea!
Hata rais wetu? We si rais wako? Halafu mbona hakumtaja Lissu. Lissu ni wa kawaida sanaWiki ya pili hii Lumumba mnajadili Tundu Lisu mpaka Rais wenu amemtaja utafikiri yeye ndio anayesaini mikataba.
Hakika Tundu Lisu anawahumiza sana vichwa wengine, na nyie somesheni mitoto yenu ijue sheria.
SWALA LA MSINGI ILOakija na atumie lugha yetu....hawawezi kutuibia na wakaja kutuforce tutumie lugha yao kunegotiate.
Nyie watu mnataka muambiwe vipi. Rais mwenyewe anajua bunge lilichemsha ndiyo maana kaagiza mikataba irudishwe ijadiliwe upyaunaposema alishirikiana na wachache kutuibia una maana gani?wakati wabunge wengi wa ccm ndio waliipitisha hii mikataba kwa ndiooo!!!!!!!! ?
Mla rushwaWiki ya pili hii Lumumba mnajadili Tundu Lisu mpaka Rais wenu amemtaja utafikiri yeye ndio anayesaini mikataba.
Hakika Tundu Lisu anawahumiza sana vichwa wengine, na nyie somesheni mitoto yenu ijue sheria.