Hilo jeshi la Polisi lilitakiwa litamke kwenye hiyo barua yake linatoa agizo hilo kwa mamlaka yapi ya kisheria na wanawaita kuwahoji kwa tuhuma zipi?
Nimekuongezea matusi mengine.Chadema tuliwaonya humu jamii forum
Tukatukanwa kila aina ya Matusi
Wacha bwanaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
InfluenzaJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Ukistajaabu ya Musa utayaona ya Firauni!Si alisema atawakamata kama anavyokamataga machangudoa, sasa imekuwa kuripoti tena?
Sent using Jamii Forums mobile app