MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,656
- 48,433
Jana Netanyahu aliongea na Putin kuhusu hali ya Gaza na akawa mkali kwa Putin kwa namna anavyotetereka kwenye hili suala.
Leo naibu waziri wa masuala ya kigeni wa Urusi ameongea na wakuu wa HAMAS na kutoa amri waachie mateka ili Israel isitishe mapigo.
Sasa sijui Waarabu watamlilia nani maana Urusi ndio ilikua kimbilio lao na ndio hivyo imewatema.
Suluhu la huu ugomvi ni kutemana na Wayahudi, hamtaweza kuwafuta kwenye uso wa dunia, msichokijua ni kuwa hao Wayahudi wapo kwenye ngazi za juu huko Urusi, Marekani, Canada na mataifa mengine makubwa, mtakufa sana kila mkijaribu kuwafuta.
Acheni maagizo ya dini ya kutaka mfute Wayahudi, hayo yaliagizwa na mtu ambaye hakua na elimu ya kisasa ya utandawazi, kuna mengi yamebadilika.
===================================
Russian Deputy Foreign Minister Mikhail Bogdanov held phone talks with Hamas representatives, and demanded the immediate release of hostages, Russian media reported on Monday.
Leo naibu waziri wa masuala ya kigeni wa Urusi ameongea na wakuu wa HAMAS na kutoa amri waachie mateka ili Israel isitishe mapigo.
Sasa sijui Waarabu watamlilia nani maana Urusi ndio ilikua kimbilio lao na ndio hivyo imewatema.
Suluhu la huu ugomvi ni kutemana na Wayahudi, hamtaweza kuwafuta kwenye uso wa dunia, msichokijua ni kuwa hao Wayahudi wapo kwenye ngazi za juu huko Urusi, Marekani, Canada na mataifa mengine makubwa, mtakufa sana kila mkijaribu kuwafuta.
Acheni maagizo ya dini ya kutaka mfute Wayahudi, hayo yaliagizwa na mtu ambaye hakua na elimu ya kisasa ya utandawazi, kuna mengi yamebadilika.
===================================
Russian Deputy Foreign Minister Mikhail Bogdanov held phone talks with Hamas representatives, and demanded the immediate release of hostages, Russian media reported on Monday.
Russian deputy FM demands hostage release in phone talks with Hamas
Russian Deputy Foreign Minister Mikhail Bogdanov held phone talks with Hamas representatives, and demanded the immediate release of hostages, Russian media reported on Monday.
news.cgtn.com