Baada ya miaka 14 hatimaye Fid Q ameamua kumjibu Rado (usiulize) diss track

Baada ya miaka 14 hatimaye Fid Q ameamua kumjibu Rado (usiulize) diss track

beatboi

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
680
Reaction score
1,593
Hili bifu limemtafuna Fid Q kwa muda mrefu na wimbo wa usiulize ndio diss track namba moja Tanzania ukimlenga moja kwa moja Fid Q

Je kuchelewa kujibu kwa Fid ni uoga au alikosa muda? amekosea timing au ndio wakati wake?
upande wangu nasubiri comeback kutoka kwa rado

images (14).jpeg
 
Washikaji wengine wanafiki kama kamasi ndani pua/ukibanja hawakupi nafasi ya kupumua.
Japo kubanda ni moja artist nawo wakubali muda wote ila USIULIZE RADO alitulia sana Verse,chorus balaa la Baucha kwenye beat daaah ule mkito unaweza toka na paa la nyumba!
 
Washikaji wengine wanafiki kama kamasi ndani pua/ukibanja hawakupi nafasi ya kupumua.
Japo kubanda ni moja artist nawo wakubali muda wote ila USIULIZE RADO alitulia sana Verse,chorus balaa la Baucha kwenye beat daaah ule mkito unaweza toka na paa la nyumba!
jamaa alishamuandalia mwingine endapo fid angejibu ile
 
Back
Top Bottom