mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Kutokana na nguvu za shetani lakini shetani hajawahi kumshinda Mungu. Mambo hugeukaChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
Kutokana na nguvu za shetani lakini shetani hajawahi kumshinda Mungu. Mambo hugeukaChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
Wakati ule hakuna aliyedhani kuwa Magufuli, Mahera, na wakurugenzi walikuwa ni wenye roho ya ibilisi kwa kiwango kilichoshuhudiwa.oct. 28, 2020 mlikua na imani na tume?
Atashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo
Unadhani CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi mdogo utakaoitishwa kwenye jimbo hilo au hawatakiwi kushiriki?
Maoni yako ni yapi?
Idiot,periodChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
MaCCM hovyo sana, mnawaza vyeo tu, mshamsahau mdhulmati mwenzenu hata Mazishi bado. Kweli nyie mmeumbiwa motoni milele..Atashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo
Unadhani CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi mdogo utakaoitishwa kwenye jimbo hilo au hawatakiwi kushiriki?
Maoni yako ni yapi?
Wewe jamaa wa Longido sijui ni mmasai wa aina ganiChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
Wanachagua wananchi au usalama wa taifa kama uchaguzi mkuu walivyofanya!!Atashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo....
Mbowe ndiye mwenye kauli ya mwisho!Chadema haitashiriki huo utopolo
OvaKamuulize Halima Mdee a.k.a Delila wa Tanzania aliyepeleka majina ya Covid 19 tume ya uchaguzi na yakapokelewa . CCM watashiriki wakiongozwa na Zitto na Lipumba .
Acha uongoMbowe ndiye mwenye kauli ya mwisho!
Yaani,muandishi huna hata uchungu na kusindikiza wafiwa walioondokewa na mpendwa wao unawaza chadema tu?
Kuwa na utu kidogo,angalau ingepita hata wiki ndo ungeleta bandiko,utafikiri ulikua unamuombea afe?
Huo sio utanzania,utu kwanza,nafasi hizo zipo tu,so long Jim Reeves aliwahi kuimba,(this world is not our home,we are Justin pass through)
Mbowe ndiye mwenye kauli ya mwisho!
Wacha uchawiAtashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo
Unadhani CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi mdogo utakaoitishwa kwenye jimbo hilo au hawatakiwi kushiriki?
Maoni yako ni yapi?