Kama sura yako inavotia kinyaaChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
Kama sura yako inavotia kinyaa
Inatakiwa wapinzani wote wasishiriki,Hakuna haja nahisi ateuliwe tu mwengine ilikupunguza garama
Oct. 28, 2020 mlikua na imani na tume?Unashiriki vipi uchaguzi na tume ambayo huna imani nayo.......kushiriki ni kujiingiza katika kapu la unafiki........
Nb;
Unafiki ni moja ya kigezo cha kuwa mwanasiasa hapa nchini.....
Pumbafu. Jpm si anaibaga Kura nani anayempenda dictator yuleChadema imeshapoteza ushawishi kwa wananchi,
Hakuna mwenye hamu nayo.
Kwani Chadema ndo wenye haki pekee ya kushiriki? Waacheni chauma washiriki nyumbu saccos hoi kwa Sasa.Atashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo....
But this has been the case since 1995.Unashiriki uchaguzi ambao unajua unasimamiwa na Tume FAKE na HARAMU ili iweje? 😳