tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,955
Unashiriki uchaguzi ambao unajua unasimamiwa na Tume FAKE na HARAMU ili iweje? 😳
Uchaguzi mkuu wa October 2020, mlishiriki mkiwa mnajua kuna tume feki au halali!?????
Unashiriki uchaguzi ambao unajua unasimamiwa na Tume FAKE na HARAMU ili iweje? 😳
kwani mkishiriki ccm, cuf, act wazalendo na nccr hamutoshi hadi iwepo chadema?Atashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo
Unadhani CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi mdogo utakaoitishwa kwenye jimbo hilo au hawatakiwi kushiriki?
Maoni yako ni yapi?
Hiyo shule yako ya kata itakuwa vigumu kunielewa but.....Tax payers money ni kitu gani??
Uchaguzi mkuu wa October 2020, mlishiriki mkiwa mnajua kuna tume feki au halali!?????
Tume ni ile ile hakuna haja ya kupoteza Muda na Watu kuuliwa au kukamatwaAtashasta Nditiye(R.I.P) aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe huko Mkoani Kigoma amefariki dunia leo
Unadhani CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi mdogo utakaoitishwa kwenye jimbo hilo au hawatakiwi kushiriki?
Maoni yako ni yapi?