Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Unakumbuka mimi nilivyopigwa madongoooKabisa.
Unakumbuka mimi nilivyopigwa madongoooKabisa.
Nawe uko kabaya kumbe?Heheehhe umenikumbusha nilivyochambwaaa jamaniiii,nipo kabayaaa mimiii hata kuniangalia huweziii

Hivi yule mshikaji aliishia wapi?Unakumbuka mimi nilivyopigwa madongooo
Hehehehe atakuwepo tuHivi yule mshikaji aliishia wapi?
Halafu alikuitaje vile?
Heheheh tuungane wabayaaa basiNawe uko kabaya kumbe?![]()
![]()
![]()
Maana hata mimi ni mbaya...nina lisura libaya kweli![]()
![]()
![]()
![]()
Weeee tukitisha watu je?Heheheh tuungane wabayaaa basi

Hahaha kwa kosa la kututisha watu na kufanya uchocheziiiWeeee tukitisha watu je?
Wasije wakatusemea kwa anko Magu na Da Samia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli unganeni mtoe bonge moja la mbeguHeheheh tuungane wabayaaa basi
Alaf utashangaa tunazaa mtoto mzuriii balaaaKweli unganeni mtoe bonge moja la mbegu
Ndo inavokuaga halafu....Alaf utashangaa tunazaa mtoto mzuriii balaaa
Mweeeh! Shikamoo kiinglish.
Sasa hapa wanawake wamefanya nini tena?
mbavu zangu.
Njoo tugusanishe pua unisaidie haya mafua hebuSura yangu mbaya kama sokwe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Njoo tugusanishe pua unisaidie haya mafua hebu
Sijui bana....Nani kakuambukiza wewe?
Upofu?Wanasemaga.."mapenzi ni upofu"
Chongo utaaita kengeza...
Kiuhalisia ukimpenda mtu kwa dhati na ukakolea haswa huwezi kuona kasoro yeyote kwake...
Hata ukishuhudia 'baya'lolote kwake akili yako itakuambia kuwa ni zuri.
Do not underestimate "the power"of love.
Sijui bana....
Afu yanapenda kunionea sana
Inawezekana hujawahi kupenda,huwa tu unatamani basi,unagonga unaondoka.Upofu?
Macho hayadanganyi hata siku moja kama mpenzi wako ni mbaya utamuona tu mbaya siku zote sema unafiki ndiyo unakuta umechukua nafasi kubwa.
Pia mara nyingi hutokea kwa wale watu ambao sehemu kubwa ya maamuzi yao hutumia moyo na siyo ubongo.
Unakuta wanasingizia hivyo (mapenzi ni upofu) ili kuridhisha tu moyo wake.
Hakika huo ni udhaifu mkubwa sana ukiona umeanza kutumia huo msemo kuwa mapenzi ni upofu.
Kutamani ndiyo mpango mzima.Inawezekana hujawahi kupenda,huwa tu unatamani basi,unagonga unaondoka.