Baada ya mapenzi

Baada ya mapenzi

MKUU "HUWEZI KUONA MSITU UKIWA NDANI YA MSITU,UTAONA MITI TU,TOKA NJE YA MSITU NDO UTAONA MSITU,
My take:Baada ya kutengana jibu!!.
 
Inategemea ntu na ntu.
Mie kuna ntu nilimwacha lakini siachi kumsifia jamaa ni handsome kweli na yuko vizuri kwa game lakini kitu kidogo tu tulishindwana na ni rafiki yangu bado tunajadili Mambo kadhaa ya maisha ingawa kila mmoja alisha move on
Kama umeolewa tayari kaa nae mbali kidogo
 
Nadhani mapenzi a unafiki go hand in hand.
 
..mapenzi ya kibongo ni ya kinafiki sana....wenzetu wazungu kamwe hawana haya....mkimwagana kila mtu na lake...hamna kusemana...lakini huku afrika kwenye unafiki ndio maana unakuta hata wanaojiita wapenzi wanauana na magonjwa...kwa kila mtu kutoka nje kwa siri hadi kuja kuuana....unafiki tu....ni wachache saana wenye mapenzi ya dhati...ambao hata kwa namna moja ama nyingine wakiachana bado wanabaki friends...
 
Hayo ni mambo ya wasichana na wavulana, sidhani kama mtu mwelewa anaweza kusema hadharani mapungufu ya mwenzie
 
Heheehhe umenikumbusha nilivyochambwaaa jamaniiii,nipo kabayaaa mimiii hata kuniangalia huweziii
 
Back
Top Bottom