Baada ya Mandela kukutna na Nyerere.(PICHA MPYA)

Umeonaaa eee?! Kwa mantiki hiyo hakuna mwenye haki hata mmoja wa kuhukumu isipokuwa Mwenyezi Mungu peke yake..

Hukumu zote zimewekwa wazi, ukidhulumu utafanywa hivi, ukitenda mema utafanywa hivi. Tunazisoma hukumu na adhabu zinazongoja wenye kudhulumu huko.

Si wote tuliojaaliwa uwezo wa kuhukumu hapa duniani, wako waliojaaliwa uwezo huo duniani, na wao ndio watahukumiwa kwanza huko kwenye hukumu ya mwisho ikiwa hukuhukumiwa duniani. Hapakwepeki huko.

Yeye alipewa uwezo wa kuhukumu hapa duniani, badala yake akadhulumu. Hapo sasa.
 
Hahahahaa kweli wewe ni Call Rejected or System Error
Hujui kuwa msalaba ni kifaa cha kuwatundikia wenye dhambi? hata kwenye Qur'an kimetajwa, kuna hukumu zimeandikwa mule za watu kusulubiwa.
 
Qur'an imeshasema wazi kwa wenye kudhulumu aka madhaalim:


Qur'an 40:18. Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa na rafiki, wala mwombezi wa kuitikiwa.

Kwenye Bibilia kuna haya maandiko

Mathayo 7:1-5
1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.
3 Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
4 Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?
5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.

Zion Daughter nisaidie kuongeza maandiko mengine!
 
Kwenye Bibilia kuna haya maandiko

Mathayo 7:1-5
1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.
3 Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
4 Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?
5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.

Zion Daughter nisaidie kuongeza maandiko mengine!

Kumbuka hayo unayoyasema ndio hayo nnayasema mimi, tunatofautiana lugha tu. Nyerere alikuhumu na kudhulumu.

Yote hayo ni makosa kutokana na biblia uliyoinukuu.
 
Kumbuka hayo unayoyasema ndio hayo nnayasema mimi, tunatofautiana lugha tu. Nyerere alikuhumu na kudhulumu.

Yote hayo ni makosa kutokana na biblia uliyoinukuu.

Tunapotofautiana mimi na wewe sio Nyerere yuko wapi peponi au jehanam la hasha, ni hapo wewe unapomhukumu.
Sikujua kwamba kuna baadhi ya watu wamepewa uwezo wa ku hukumu hadi nilipoona kwenye moja ya comment zako.

Nilikua nadhani kuna watu wanaosaidia watu kuwaelekeza kuishi maisha katika ile njia inayompendeza Mungu, ila kwamba kuna wanaohukumu sikujua.

Naomba niishie hapa!
 
Tunapotofautiana mimi na wewe sio Nyerere yuko wapi peponi au jehanam la hasha, ni hapo wewe unapomhukumu.
Sikujua kwamba kuna baadhi ya watu wamepewa uwezo wa ku hukumu hadi nilipoona kwenye moja ya comment zako.

Nilikua nadhani kuna watu wanaosaidia watu kuwaelekeza kuishi maisha katika ile njia inayompendeza Mungu, ila kwamba kuna wanaohukumu sikujua.

Naomba niishie hapa!

Mimi simhukumu mtu ningekuwa nna uwezo ningemhukumu kabla hajafa kwa dhulma alizofanya. Rejea posts zangu na rejea post ya bandiko la biblia hususan nukuu niliyoiwekea nyekundu. Iko wazi kabisa, kuwa kama yeye alivyohukumu basi na yeye atahukumiwa. Si unajuwa wapi atahukumiwa?

Pole sana kama hujuwi duniani kuna watu wanahukumu watu, mbona ni wengi tu, kuna Marais na Wafalme madikteta kama alivyokuwa Nyerere, walikuwa wanahukumu na wanatunga mpaka sheria za kuhukumu.

Kuna Mahakimu na majaji, wote hao kazi yao ni kuhukumu.
 
Huyo anakula marungu saa hizi huko anaweza hata kucheka?

Hukumu zote zimewekwa wazi, ukidhulumu utafanywa hivi, ukitenda mema utafanywa hivi. Tunazisoma hukumu na adhabu zinazongoja wenye kudhulumu huko.

Si wote tuliojaaliwa uwezo wa kuhukumu hapa duniani, wako waliojaaliwa uwezo huo duniani, na wao ndio watahukumiwa kwanza huko kwenye hukumu ya mwisho ikiwa hukuhukumiwa duniani. Hapakwepeki huko.

Yeye alipewa uwezo wa kuhukumu hapa duniani, badala yake akadhulumu. Hapo sasa.

Mimi si mhukumu mtu ningekuwa na uwezo ningmhukumu kabla hajafa kwa dhulma alizofanya. Rejea posts zangu na rejea post ya bandiko la biblia hususan nukuu niliyoiwekea nyekundu. Iko wazi kabisa, kuwa kama yeye alivyohukumu basi na yeye atahukumiwa. Si unajuwa wapi atahukumiwa?

Kwa mtazamo wako, kuhukumu ni kitu gani?
 
Mimi simhukumu mtu ningekuwa nna uwezo ningemhukumu kabla hajafa kwa dhulma alizofanya. Rejea posts zangu na rejea post ya bandiko la biblia hususan nukuu niliyoiwekea nyekundu. Iko wazi kabisa, kuwa kama yeye alivyohukumu basi na yeye atahukumiwa. Si unajuwa wapi atahukumiwa?

Pole sana kama hujuwi duniani kuna watu wanahukumu watu, mbona ni wengi tu, kuna Marais na Wafalme madikteta kama alivyokuwa Nyerere, walikuwa wanahukumu na wanatunga mpaka sheria za kuhukumu.

Kuna Mahakimu na majaji, wote hao kazi yao ni kuhukumu.

Enhe, Faizafoxy tuorodheshee nasi hizo dhulma zilizofanywa na Nyerere?
Hivi ni Mungu yupi unayemwabudu anayekujaza chuki, majungu, fitna, uongo na uzandiki? Ni kweli kwamba hakuna hata jema moja lililofanywa na Nyerere?
 
mazingira mtu aliyekulia.. mafundisho aliyopata haswa ya utotoni ndio yanamtengneza mtu.. Kuna watu wanaweza kuwa na akili nyingi sana na uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo.. Ila kuna sehemu chache sana zilizotokana na athari nilizozitaja zikampoteza ufahamu wake..
 
Enhe, Faizafoxy tuorodheshee nasi hizo dhulma zilizofanywa na Nyerere?
Hivi ni Mungu yupi unayemwabudu anayekujaza chuki, majungu, fitna, uongo na uzandiki? Ni kweli kwamba hakuna hata jema moja lililofanywa na Nyerere?

1) Alidhulumu watu majumba yao kwa kuwanyang'anya na kuita "kutaifisha".

Twende moja moja.
 
Hujui kuwa msalaba ni kifaa cha kuwatundikia wenye dhambi? hata kwenye Qur'an kimetajwa, kuna hukumu zimeandikwa mule za watu kusulubiwa.

KILA MTU NA IMANI YAKE, MIMI NAAMINI KATIKA KRISTO YESU KUPITIA MSALABA ALITUKOMBOA. HAKUWA NA DHAMBI ILA ALITUNDIKWA MSALABANI. ALIPOKUWA MSALABANI KUNA JAMBAZI MMOJA ALITUBU NA NDANI YA DAKIKA MOJA ALISAMEHEWA DHAMBI ZAKE. HATA HUYO NYERERE ALIKUWA MKIRISTO ANAE AMINI KRISTO YESU. KUMBUKA CHINI YA JUA HAKUNA MKAMILIFU, HATA KUHUKUMU NI DHAMBI. WEWE NI NANA HATA UMHUKUMU Mwalimu Nyerere? Hakuna binadamu aliye zaliwa na mwanamke asiye na dhambi ila Yesu Kristo peke yake. Kupitia kwake yeyote aaminiye na kumkiri ataokolewa. Hata wewe unafahamu. Mwisho acha kuhukumu kwani nawe utahukumiwa vikali na samehe saba mara sabini kwa siku.
 
KILA MTU NA IMANI YAKE, MIMI NAAMINI KATIKA KRISTO YESU KUPITIA MSALABA ALITUKOMBOA. HAKUWA NA DHAMBI ILA ALITUNDIKWA MSALABANI. ALIPOKUWA MSALABANI KUNA JAMBAZI MMOJA ALITUBU NA NDANI YA DAKIKA MOJA ALISAMEHEWA DHAMBI ZAKE. HATA HUYO NYERERE ALIKUWA MKIRISTO ANAE AMINI KRISTO YESU. KUMBUKA CHINI YA JUA HAKUNA MKAMILIFU, HATA KUHUKUMU NI DHAMBI. WEWE NI NANA HATA UMHUKUMU Mwalimu Nyerere? Hakuna binadamu aliye zaliwa na mwanamke asiye na dhambi ila Yesu Kristo peke yake. Kupitia kwake yeyote aaminiye na kumkiri ataokolewa. Hata wewe unafahamu. Mwisho acha kuhukumu kwani nawe utahukumiwa vikali na samehe saba mara sabini kwa siku.

Ningekuwa na uwezo wa kumhukumu ningemsulubu hapa-hapa duniani. Ni bahati nzuri au mbaya Mwenyeezi Mungu hakunipa uwezo huo. Pata darsa dogo hapa uone ulivyo mfinyu wa imani:

<address>Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuwawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.- Kumbukumbu 24.16
<address>Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe; haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.</address>Ezekieli 18.19-20

Kinyume na mafunzo ya Kanisa linalojiita kwa jina lake, ya kwamba watoto wote waliozaliwa wamezaliwa katika dhambi, mwenyewe Yesu Kristo anathibitisha kuwa watoto hawana dhambi. Tunaona hayo zaidi katika maneno haya yaliyotajwa katika Injili ya Mathayo:

<address>Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.
</address> Mathayo 18.2-3
</address>
 
Back
Top Bottom