Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

Mngekuwa basi wapole, wastaarabu, wafuata sheria, watetea haki za binadamu, wafuata ushauri, sio kwa huo ubabe wenu wa kishamba, misifa kujikweza, kujifanya kila kitu mnajua, watesaji, na wauwaji, mkafie mbali
 
Mngekuwa basi wapole, wastaarabu, wafuata sheria, watetea haki za binadamu, wafuata ushauri, sio kwa huo ubabe wenu wa kishamba, misifa kujikweza, kujifanya kila kitu mnajua, watesaji, na wauwaji, mkafie mbali
Sijui jina halisi la watu wenye hulka ya maneno kama ya kwako.!
Lakini nadhani huwa wana asili ya kuwa na chuki binafsi au hasira za kuathiriwa ama kuingiliwa kwa maslahi yao.
na mitandao ya kijamii ndio mahali pekee wanapoweza kutoa hasira zao kwa kujificha nyuma ya kibodi.!

Mbaya ya watu wa aina hii anaweza hata kuwa mkeo au sekretari wako!
 
Paskali wewe ni mwandishi mzuri unayeandika taarifa ambazo ni researched na uandishi wako ni wa mpangilio. Ila, sasa naona unaanza kupotoka. Si lazima uandike kila wazo linalokuja kwenye kichwa chako. Utajiharibia sasa hivi. Kumbuka ni kazi ngumu sana kujijenga na kufikia level ambayo umefika, lakini ni kazi rahisi sana ambayo haichukui muda wa mwezi kuharibu sifa yako nzuri na kusahaulika kabisa. Ukishaharibu kazi ya kurudisha heshima yako itakuwa ngumu na almost impossible
 
Paskali ni wewe unayeongea haya au nani? Wana Dar sasa hivi wanaongozwa na darasa la saba unataka Nchi nzima iongozwe na Mtu wa aina hii tena. Huyo mwache ifike 2020 baba yake akitoka tu madarakani atakiona cha moto kwa makosa aliyofanya
Uongozi ni kipawa toka kwa mungu...uongozi sio madarasa.
 
2025 Ni zamu ya akina Cassim...Abdalah...Hassan...Juma....Nadhani hii inaeleweka jamani ko labda apikike hadi 2035. na 2025 itabidi awe sehemu ya Majaliwa ili kuzielewa Wizara zilivo na changamoto zake...ila huu ndio ukweli Tanzania inahtaji kiongozi wa kufanya sio wa kujaribu tena.
 
huyu jamaa topic zake huwa za kipumbav siku zote, utu uzima wake wote hanaga point hadi anatia huruma, anakera kuliko chochote.
 
Badala ya kujib hoja unakimbilia kujb vihoja
 
Wasukuma ni 15%-16% ya Watanzania hivyo unavyosema wengi ni lazima ueleze ni 15%-16% tu. Vilevile ukweli ni kwamba utamaduni ni issue angalia Magufuli alivyo mzito kuelewa ukilinganisha na Nyerere au hata Kikwete pamoja na PHD bado ana ushamba hivyo wakati mwingine unaweza kuwa na viongozi lakini wanafikiria kizamani bado.
 
Of all people? Macounder, seriously?
Basi nchi haina watu wenye akili timamu huyo jamaa akiwa mheshimiwa raisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…