Welcome to my world...
Ila kucheza solo nayo ni ishu... unafikia mda wasema liwalo na liwe.. ama?
Bado sijapata!na sidhani kama nitapata!
Maybe when you loose the hope of finding someone then the miracle happens...coz the hope for me is gone!Sijayapenda hayo maneno matatu ya mwisho, yani siajayapenda kabisa!
Maybe when you loose the hope of finding someone then the miracle happens...coz the hope for me is gone!
Mi nimetenda watu,
So I dont deserve to be loved back
^^
Mimi ni mmoja wa waliokwisha umizwa vibaya,thanks JF,I have got someone to heel my broken heart,sikuwa na imani kama inge workout lakini to be honest am happy like never before.Kila mtu kaumizwa kwa njia tofauti lakini lazima maisha yaende tu.. ipo siku uta smile tena na machozi yatafutika
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ok I`ll try inshallah....Relax superdia and when u're relaxed someone will surely come across
hata dereva mzuri ni yule aliyeanzia kuendesha gari bovu,huwezi kujua gari nzuri kama bovu au baya hulijuiKimsingi unapopata janga huwa linakuachia somo tosha la kujifunza kwalo
Kadhalika katika mapenzi unapo-break na mtu..hata kama wewe ndio ulikuwa mkosaji kuna kitu unakipata
Hivyo unapoingia kwenye mahusiano mapya walau unakuwa na experience kidogo na mambo hayo
Angalizo: Unaweza teseka hata mara4 kabla ya kupata wa kukufuta machozi
Maisha ya mapenzi ni kama 'trial and error'
sijawahi tendwa..don't know what to say....
Ha ha ha! Hii ina uhusiano na kutotaka kujihusianisha na wenye mafanikio, yaani wale matawi ya juu?
Ok I`ll try inshallah....