Baada ya kupigiwa simu jana, nina maswali 3 kwa wapinzani wa UKAWA ndani ya CHADEMA na CUF

kwani wewe ni nani hapa mjini mkuu?

Mkuu labda nikupm ili uwmulize yeye ya Kuwa Mikael P Aweda ni nani hadi utaka kukutana naye Ubungo Plaza. Yeye ndo anajibu zuri kuliko mimi nilyeitwa. Utanionea tu kwa kutaka niiibu maswali yake.
 
Hati ya muungano tunaiandika ndani ya mioyo ya watanzania kwa vitendo siyo kwenye makaratasi. Sheria zinaandikwa na kuvunjwa kila siku au hujui?
Umesahau kananu ya BMK iliyoandaliwa kwa mabilioni ya kodi za watanzania SITTA akaivunja tu wiki ya kwanza kwa kumtanguliza warioba kwa maslahi ya ccm? Ile kanuni iliandikwa ikasainiwa ikavujwa

we nae msukule ndo unatetea upumbavu
 
kweli kwa makubaliano ya mdomo yanatosha kwenye vitu vya msingi kama hivi tena kwenye vyama ambavyo haviaminiani na vyote vinasera tofauti.tuchukue ndivyo mbona misimamo ya vyama vyao kabla ya kuungana kuhusu muungano ilikua tofauti kunawanaotaka serekali 3 kunawanotaka zanzibar huru pamoja na muungano wa mkataba Je msimamo wa UKAWA baada ya kukubaliana kwa mdomo ni upi?
Ok hoja ya kusimamisha Mgombea mmoja wa urahisi pia ni makubaliano ya mdomo?
kwani unguja na pemba wanaaminiana? Tuonyesheni maandishi yoxote ynayowaunganisha unguja na pemba
 
Kwa hiyo kwa fikra yako mkiandikiana ndiyo kukubaliana! Mkuu Makaratasi si kitu wala si chochote hakuna kinachoweza kushinda dhamira,Imani na matumaini ya kufikia Malengo.Kwa hiyo angalia picha kubwa ya hivi Vyama utagundua kwa nini waungane sasa!
kwa taarifa yako;

Muungano wa Mkataba = Serikali Tatu
Zanzibar Huru = Serikali Tatu .


Vipi kuhusu serikali mbili za mkataba haziwezekani?
Je wale waliokua wanadai Hati ya Muungano waliku hawajui kuhusu dhamira?
Pesa bila daftari hupotea bila habari na Ambaye hajui anapokwenda kamwe hawezi kupotea.
Hongereni kwa makubaliano ya Midomo japo sifahamu kipimo cha Dhamira.
 
Mkuu labda nikupm ili uwmulize yeye ya Kuwa Mikael P Aweda ni nani hadi utaka kukutana naye Ubungo Plaza. Yeye ndo anajibu zuri kuliko mimi nilyeitwa. Utanionea tu kwa kutaka niiibu maswali yake.

wewe ndio umepewa kazi ya kutetea ukawa mitandaoni? Naona unatapatapa sana
 
Hahahaha, weka source basi mbona unakimbia mapema, hizo mbinu za divide and rule zimepitwa na wakati, jadilini rasimu iliyoletwa na tume ya Warioba ili ukawa isiwepo, otherwise nyie na magazeti yenu uchwara mnajitekenya na kucheka.

Waambie hao intarahamwe kwamba Prof..Lipumba yuko Mbeya,, ni UKAWA kwa kuenda mbele. Hapana rangi mtaacha kuiona mwaka huu.
 
Wadau,
Jana nilipigiwa simu na mtu ambaye ninamfahamu kidogo kama mwanachadema kwani tuliwahi kuonana mara moja tukaongea naye kwa muda mrefu maeneo ya ukonga Dsm. Jana alinipigia simu na kunipongeza kwa makala yangu JF na facebook. Baada ya pongezi nyingi kuliko kawaida akanisihi kuwa sisi wazalendo wa kweli ndani ya Chadema tukae kwa umakini na tujadili kwa undani hatima ya chadema yetu ndani ya ukawa.

Baada ya kuongea naye kwa muda mrefu kwenye simu akiwa na umakini wa hali ya juu sana na akionekana kama mtu mwenye kuipenda sana chadema kuliko viongozi wa juu wa chadema, alinisihi nikutane naye kwenye hoteli Ubungo Plaza kwa chakula cha mchana ili tujadili hatima ya Chama chetu. Nilimkatalia.

Hata hivyo, nina maswali matatu kwa wapinzani wa UKAWA ndani ya chadema na CUF.
Mosi, Ni kwa nini wanaopinga ukawa kwa nguvu ni watu wenye matatizo ndani ya vyama vyao kama Yona aliyekanwa uongozi halali wa chadema Temeke kuwa siyo mwenyekiti?? Fuatilia wapinzani wote wa ukawa JF, Utaliona hilo.

Pili, kwa nini taarifa zao au propaganda zao zinatoka zaidi kwenye magazeti yanyomilikiwa na ccm moja kwa moja au makada wa ccm ? Na kwa nini mara nyingi huwa wanaficha vyanzo vya habari zao? (Juliana shonza mwanaccm aliyeasi chadema, ndo ameleta taarifa hapa JF ya mjumbe wa Baraza kuu cuf kujiuzulu)

Tatu, gharama ya kunikaribisha kwenye chakula cha mchana ubungo Plaza kujadili mambo haya inatoka kwa nani na kwa maslahi ya nani?? Au mhusika anagaenda gani zaidi?? Mtu huyu kwa kumwangalia tu kwa macho ya kawaida, siyo mtu wa kunikaribisha chakula cha mchana ubungo Plaza. Na kwa nini ubungo Plaza, mbona mara ya kwanza tulipoonana tulikaa masaa mawili na tukaishia kunywa maji na soda tu tena kwenye mgahawa wa kawaida.
NB; Kilichonishtua zaidi ni pale nilipomshauri kuwa awasilishe hofu yake kwa viongozi wa juu lakini hakutaka hilo, badala yake aonnane na mimi ili tujadili hatima ya chadema yetu sisi wazalendo wa chadema.

Ni maswali ninayojiuliza, wahenga wanasema hakuna swali la kijinga ila kuna jibu la kijinga.

Baada ya kumsikiliza ushauri wa akili yake niliuchanganya na akili yangu, nikajiambia mwenyewe, sidanganyiki.

Nawasilisha.
Hongera kamanda kwa kufikiri kabla ya kuamua......Mungu ni mwema sana anayewahurmia watu wake wanyonge tutie bidii kuwasemea wanyonge wa nchi hii Mungu yupo upande wetu
 
Ni lini cuf wameacha kuwa ccm B?
ni lini nccr mageuzi wameacha kuwa tawi la CCM?
haya majina mabaya mabaya ya kuwachafua wenzenu mchana kisha jioni mnawaita marafiki haamaaanshi uroho wa madaraka wa chadema?

kamuulize Nape Nauye kwa nini anakupa buku saba?
 
Ni lini cuf wameacha kuwa ccm B?
ni lini nccr mageuzi wameacha kuwa tawi la CCM?
haya majina mabaya mabaya ya kuwachafua wenzenu mchana kisha jioni mnawaita marafiki haamaaanshi uroho wa madaraka wa chadema?

Hii kweli UKAWA imewashika magamba pabaya!! Toka lini huyu mtu wa buku 7 Ifweero akawaita CUF kuwa ccm B? Hapo hapo akawata NCCR kuwa ni tawi la CCM? Hii ni ajabu nakweli kuwa sasa magamba yanavuliwa mchana kweupe!!!
 
Back
Top Bottom