Mzimu wa jamaa bado umeshika hatamu.Naona kamatakamata ya wapinzani imeanza,soon wasiojulikana watatoka likizo ngoja turejee toka Rwanda kwanzaBora aende kuepuka misukosuko isiyo ya lazima. Hi nchi Bado haijatulia kivile!
Lazima wawekezaji wakimbie kutokana serikali kuitangazia dunia kwamba kuna magaidi nchini na matukio ya kubambikia watu kesi.
Hata kama ni wewe huwezi kuweka mtaji wako sehemu ambapo hujui kesho mamlaka zitakupa kesi gani au zitaharibuje biashara zako
Sasa wewe ulitaka ghaidi Mbowe aendeleze ugaidi bila kutiwa nguvuni? Kila lenye mwanzo Lina mwisho,ugaidi nchini upo na Mbowe Ni kweli kuwa Ni gaidiLazima wawekezaji wakimbie kutokana serikali kuitangazia dunia kwamba kuna magaidi nchini na matukio ya kubambikia watu kesi.
Hata kama ni wewe huwezi kuweka mtaji wako sehemu ambapo hujui kesho mamlaka zitakupa kesi gani au zitaharibuje biashara zako
DRC ni tofauti na huku... Wanaoharibu usalama DRC ndio haohao wanaochota rasilimali za nchi ile wakishirikiana na baadhi ya watu serikaliniTaratibu...wakimbie sababu gani? DRC Congo ingesuswa kabisa.
Vita vya panzi furaha ya kunguru
Uonevu unazidi kushika kasi.Mfanyabiashara Yusuf Manji amerejea ughaibuni baada ya kukaa nchini kwa takribani mwezi mmoja huku akikumbana na misukosuko baada ya kukamatwa na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Taarifa zilizolifikia Mwananchi na kuthibitishwa na watu wa karibu wa Mwenyekiti na mfadhili huyo wa zamani wa klabu ya Yanga, zinaeleza kuwa aliondoka nchini mwanzoni mwa mwezi uliopita Julai akielekea Afrika Kusini aliko mpaka sasa na kwamba kuna uwezekano ikamchukua muda zaidi kurejea tena nchini.
Wenzako tunatamani hiyo mizimu ya mwendazake irudi hata 100000Kwa yanayoendelea ni ngumu Sana kutoka mzimu wa mwendazake ndio umeshikilia darubuni ushahidi ni kwa yanayotendeka.
Yule Bwana nadhani amerudi kwa staili ya kimzimu hivi kwa jinsi mambo yanavyoenda.
Wanasema mwili ndo ufa roho uendelea kuishi.
Shindwa pepo la Mekoooooo Tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, liendelee kumtafuna huko kuzimu shindwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa meko , Raksghabarabarashararraraaararararaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa , shindwa MeKO
Aaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.Wenzako tunatamani hiyo mizimu ya mwendazake irudi hata 100000
Ile ilikuwa machine ya kazi na maendeleo
Wezi ndiyo waliokimbia na kuamisha biashara wewe ukumsikia mama alipo sema wawekezaji wanataka kuondoka baada ya kifo cha magufuli hii ina maana magufuli alivutia wawekezaji wa kweli sio matapeli singasingaAaah Kwa uchumi upi au makusanyo yepi hali Wawekezaji na matajiri walihamishia kodi zao nchi jirani,hadi leo tumecollaps wameishia kuwapora wananchi masikini kupitia dabo tozo za dhuluma,means ziwa limekauka.
Aliyepewa kapewa popote unaishi, ujanja ni kuishi mileleManji sasa anaishi kama digidigi kweli maisha haya we acha tu,eti muhindi akakimbizwa mchakamchaka na msukuuma tena mchato
Msitu mpya nyani wale waleMfanyabiashara Yusuf Manji amerejea ughaibuni baada ya kukaa nchini kwa takribani mwezi mmoja huku akikumbana na misukosuko baada ya kukamatwa na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Taarifa zilizolifikia Mwananchi na kuthibitishwa na watu wa karibu wa Mwenyekiti na mfadhili huyo wa zamani wa klabu ya Yanga, zinaeleza kuwa aliondoka nchini mwanzoni mwa mwezi uliopita Julai akielekea Afrika Kusini aliko mpaka sasa na kwamba kuna uwezekano ikamchukua muda zaidi kurejea tena nchini.
Soma zaidi hapa: Yusuf Manji mikononi mwa Takukuru
Jumapili Agosti 1, 2021 Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Salum Hamduni aliiambia tovuti ya Mwananchi kuwa uchunguzi dhidi ya Manji unaendelea na yupo nje kwa dhamana, lakini anaruhusiwa kusafiri.
"Unajua bado tunaendelea na uchunguzi wetu kuhusu Manji na kama unavyojua yupo nje kwa dhamana ambayo haimbani kusafiri, " alisema Hamduni na alipoulizwa kama Manji yupo nchi ama la na kama alitoa taarifa za kusafiri alisema, "Sina uhakika kama amesafiri ama la."
Manji, aliyeondoka nchini mwaka 2018, alirejea nchini Juni Mosi na baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) alishikiliwa na maofisa wa Takukuru kwa mahojiano.
Mfanyabiashara huyo aliyeshikiliwa kwa siku nne na Takukuru ikielezwa kuwa ana tuhuma tatu, ikiwemo ya kuisababishia Serikali hasara kwa kukwepa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika biashara yake na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), baada ya kuachiwa kwa dhamana moja ya shughuli alizoshiriki ni mkutano mkuu wa klabu ya Yanga na ndio tukio pekee aliloonekana hadharani na kuzungumza.
Tuhuma nyingine zinazomkabili ni udanganyifu wakati wa ununuzi wa hisa za kampuni ya Tigo ambayo tayari imeuzwa kwa kampuni nyingine ya Madagascar na udanganyifu katika mapato ya klabu ya Yanga.
Licha ya tuhuma hizo, Manji aliamua kurejea nchini, jambo ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa, biashara na utawala bora walisema halingewezekana bila mwelekeo wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi sambamba na kuishukia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akiitaka kurekebisha mfumo wake wa ukusanyaji kodi ikiwa ni pamoja na kuzifungua akaunti za wafanyabiashara.
Watu wake wa karibu walilieleza gazeti hili kwamba alirejea nchini kutokana na kutokuwa na wasiwasi na mambo yanavyokwenda na jana wakalieleza Mwananchi kuwa ameondoka kwa sababu kuna vitu anaona havijakaa sawa.
Akizungumza na Mwananchi siku ya Jumapili kwa sharti la kutotajwa jina gazetini, mmoja wa watu wa karibu wa mfanyabiashara huyo alisema; "Aliondoka Julai mwanzoni yupo Afrika Kusini kwa sasa."
"Mambo ya hapa (Tanzania) hayawezi kuna vitu vinaendelea ameona aondoke kidogo ila mwanawe bado tupo nchini."
Alieleza kuwa akiwa Afrika Kusini, Manji anaendelea na biashara zake akisisitiza kuwa anaweza kurejea nchini ila si kwa sasa.
Alisema lini acha uongoWezi ndiyo waliokimbia na kuamisha biashara wewe ukumsikia mama alipo sema wawekezaji wanataka kuondoka baada ya kifo cha magufuli hii ina maana magufuli alivutia wawekezaji wa kweli sio matapeli singasinga