Wanawake bwana wao huwa wanaambiana vistory vya kweli wao kwa wao. Hata mwanaume ukimkuna vizuri lazima akawasimulie wanawake wenzake. Hawa wenzetu hawawezi kutunza siri hasa kama kuna kitu kimempendeza wanapenda kushare na wenzao.
Ni single mama mmoja alikuwa na watoto wawili baada ya kukaa kwa muda mrefu takribani miaka 7 huku akiwa hana mume wala mtu wa kumchombeza akaamua kutema nyongo.
Amepata Bwana na kumuoa kwa ndoa huku huyo Bwana akijitolea kuwalea na watoto wake.
Basi huyu sister akasema kwa kipindi chote alichokaa ktk hali ya upweke alikuwa anatamani kutongoza wanaume lakini akashindwa.
Anasema kuna kipindi alitamani hata mwanaume ambake.
Kama wewe ni mwanaume unakataa ndoa ukala vitu kama hivi utakua ni mjinga sana.
NB: Kama hutaki kuoa basi olewa.
Ni single mama mmoja alikuwa na watoto wawili baada ya kukaa kwa muda mrefu takribani miaka 7 huku akiwa hana mume wala mtu wa kumchombeza akaamua kutema nyongo.
Amepata Bwana na kumuoa kwa ndoa huku huyo Bwana akijitolea kuwalea na watoto wake.
Basi huyu sister akasema kwa kipindi chote alichokaa ktk hali ya upweke alikuwa anatamani kutongoza wanaume lakini akashindwa.
Anasema kuna kipindi alitamani hata mwanaume ambake.
Kama wewe ni mwanaume unakataa ndoa ukala vitu kama hivi utakua ni mjinga sana.
NB: Kama hutaki kuoa basi olewa.