Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,532
- 65,312
- Thread starter
- #201
Hawezi, yule mtoto wa kishua kabisa.Hahahaha,sidhani Irene atafikia level za kuchangiwa km wengine, ila akianzisha foundation ya kusaidia mabinti
Foundation sidhani, huyu ni mvivu hanaga muendelezo wa mambo yake. Kila anachoanzisha hakidumu hata miezi kinakufa.