newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,386
- 583
Jamaa anataka apime DNA ya mtoto,akishajua ndio atakupa support ,dunia ya sasa dna muhimu sana hata kwa walio ktk ndoa, lazima uone viashiria vyote,binadamu by nature hawako genuine.
2. ukikataa kuonana naye inakula kwako utasota na mtoto akishakuwa anaenda kwa daddy wake every weekend, so wewe unasota jamaa atakula good time bila kuwajibika na malezi
2. ukikataa kuonana naye inakula kwako utasota na mtoto akishakuwa anaenda kwa daddy wake every weekend, so wewe unasota jamaa atakula good time bila kuwajibika na malezi