Baada ya kumkataa mtoto eti sasa tuonane

Baada ya kumkataa mtoto eti sasa tuonane

Mwambie akafie mbele huko tena mwambie mtoto si wako nlipitiwa tu kuhesabu tarehe nliyopata mimba
 
Tafuta uzi unasema, nguvu ya msamaha.

Kama kweli yeye ni Baba wa mtoto msikilize tu. Usifanye kitu chochote.

Muombe Mungu akupe hekima ya jinsi ya kufanya na nini cha kumjibu.

Ukifanya hivyo utakuwa umemsaidia sana mtoto lakini usipomsamehe utajiumiza wewe lakini pia mtoto.

Usilipe kisasi, kisasi ni juu ya Mungu. Ni ngumu lakini siku zote ukitaka kufanikiwa jifanye mjinga.
 
Mwambie akafie mbele huko tena mwambie mtoto si wako nlipitiwa tu kuhesabu tarehe nliyopata mimba
Ha ha ha aseme mtoto ni wa mzee juma,usikute kishakuwa jogoo la kuchora sasa ndo kakumbuka kuna mahali alidonate sperm!!!!
 
Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipo mtafuta na mengine mengi mengi nisiwachoshe kwa kuwasimulia.Muda wa miezi kadhaa sasa umepita toka katoto kazaliwe na yeye akatae nimesha zoea maisha yangu napambana kumlea mwanangu peke yangu as a single mom na msaada pia kutoka kwa ndugu.Sasa baba wa mtoto kanitafuta ananiambia tuonane akirudi kwa sasa yupo safari.Naomba mnipe mawazo je akirudi nimskilize anasemaje au niachane naye kama alivyo nitendea yeye kipindi chote cha ujauzito mbaka nilivyojifungua.Nakumbuka wakati namwambia mtoto tayari alicho nijibu ni i don't want it and I have nothing to do with it

Nenda kamsikilize na maadamu ulikuwa unalea mtoto na ndugu zako.Nashauri angalau ndugu yako mmoja awapo kutokana na jibu alilokujibu na maongezi yawe ni kuhusu mtoto.
 
Hawa wadada wewe unawaamini Sana eeeh!! Tafuta kuwafahamu vizuri, hadi jamaa kukataa huwezi jua. Kuna wadada ni hatari tena moto. Nimesikia kabisa mdada akisema " mimba sio yake lakini sins jinsi, hamna wa kunisaidia kulea". Hawa watu waone tu hivi.

Hahahaa haaaa
Eti mimba siyo yake ila aina jinsi! !
 
Calculate barget yote kutoka mimba hadi sasa then mpe alipe kwanza ndio mazungumzo yaanza, hapo utajua kama ana nia kweli au anataka kusafisha rungu lake sababu mtt amekua
 
Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipo mtafuta na mengine mengi mengi nisiwachoshe kwa kuwasimulia.Muda wa miezi kadhaa sasa umepita toka katoto kazaliwe na yeye akatae nimesha zoea maisha yangu napambana kumlea mwanangu peke yangu as a single mom na msaada pia kutoka kwa ndugu.Sasa baba wa mtoto kanitafuta ananiambia tuonane akirudi kwa sasa yupo safari.Naomba mnipe mawazo je akirudi nimskilize anasemaje au niachane naye kama alivyo nitendea yeye kipindi chote cha ujauzito mbaka nilivyojifungua.Nakumbuka wakati namwambia mtoto tayari alicho nijibu ni i don't want it and I have nothing to do with it

Hongera sana Kwa kua mama na pole Kwa yalio kukuta, lakini juu ya yote hayo wewe ndio ulie sikia uchungu wa maneno makali alokutolea na wewe ndio unae mjua tabia Yake mwenzio, huenda ameambiwa Mtoto Sio wake, huenda alikua na hofu ya kua baba labda hakua tayari au alikua na shock, sasa basi nenda bila kichanga kamsikilize lakini akili kichwani Sio kumvulia nguo tena....
 
Tatizo nyinyi wenzetu mnategesha sana pasipo makubaliano ya sasa tuzae. Lingine ni tabia ya kubambikiza mimba, sisi wanaume atupendi tuonekane maboya
 
Nadhani mud muafaka wa kuitikia wito , msikilize asemacho na utaamua kulingana na nini asemacho ila kuwa makini ,.. usiweke hasira mbele ukajikita unampa faida wakat wa mjadala. Usifanye maamuz papo kwa papo ...uombe muda ili upate muda wa kuongea na nafso yako
 
We msikilize atasemaje na usioneshe udhaifu kwake, muoneshe unajiamini na kwamba hata asipo kuwepo you can handle your baby alone!
Hio itasababisha akuone we si wakuchezewa,
La sivyo akaja afu ukaanza kujishushashusha mbele zake atakuona we boya tuu!
 
Bado natafakar sijapata la kujibu hebu aje Khantwe akupe jibu
 
Last edited by a moderator:
Mwambie akafie mbele huko tena mwambie mtoto si wako nlipitiwa tu kuhesabu tarehe nliyopata mimba

mmmmmh! Lakn damu ya mtu haipotei, atakataa sasa hvi na atalea mwenyew lakn mtoto akikua atakuja kumbana mamaake amuoneshe baba yake.
Hata kama yeye atakataa lakn walimwengu wapo.
 
mmmmmh! Lakn damu ya mtu haipotei, atakataa sasa hvi na atalea mwenyew lakn mtoto akikua atakuja kumbana mamaake amuoneshe baba yake.
Hata kama yeye atakataa lakn walimwengu wapo.

Ish...walimwengu ndo watamjua baba wa mtoto kuliko mimi niliyebeba mimba? Ye akinibeba namwambia mwanangu ilikuwaga one night stand kigoma huko...baba yako simjui hata jina
 
eti kubali wito kataa maneno mbona yeye uluvyomuita alikua haji
USIENDE NAKUAKIKISHIA HUYO MWANAMUE ATKUTESA SANA WEWE

hivi unataka mungu akufanyie nini ujue HIYO SIO SIZE YA VIATU VYAKO
hivi kwa nini umuabidu shetani alievalia ngozi ya ubinadamu????

hivi mpaka unapata nguvunya kuandika hapa
nenda akupe mimba nyingine alafu uje hapa kakupa ya pilii kakuacha

una mtreat mtu kama Mungu mtu.wakati yeye ana kutreat kama mbwa get up and move on
huo mlango umefunga stop looking it for soo long
angalia uliofunguliwa kwa ajili yako
 
Back
Top Bottom