Baada ya kumkataa mtoto eti sasa tuonane

Baada ya kumkataa mtoto eti sasa tuonane

Ish...walimwengu ndo watamjua baba wa mtoto kuliko mimi niliyebeba mimba? Ye akinibeba namwambia mwanangu ilikuwaga one night stand kigoma huko...baba yako simjui hata jina

inawezekana unaongea hvyo kwasababu hujaona. Lkn sisi tuliyoona tunajua
 
Onana nae msikie anataka nin?

Ila uende na bouncers, akileta upimbi, wa MTANDIKE kisawasawa.. Mpuuzi huyo.
 
Ngoja nikushauri shostito,chemsha maji kama ya ugali weka kwenye chupa ya chai ambayo haipoozi kama haipo kanunue,mwambie muonane nyumbani kwako ile anakuomba mtoto amuone chukua chupa yako mimina maji kwenye bakuli atafikiri chakula cha mtoto mmwagie usoni na biashara itakuwa imeisha.
 
Onana nae msikie anataka nin?

Ila uende na bouncers, akileta upimbi, wa MTANDIKE kisawasawa.. Mpuuzi huyo.

data nimeamini upo kwenye ndoa

aisee umetoa ushauri mzuri sana
wanaume wengine wanajua kuvaa suruali tu
 
Last edited by a moderator:
Even if you want to go back to him don't it easy for him. If you make it easy he will never respect you for anything, make him feel you importance in his life OK!
 
Ngoja nikushauri shostito,chemsha maji kama ya ugali weka kwenye chupa ya chai ambayo haipoozi kama haipo kanunue,mwambie muonane nyumbani kwako ile anakuomba mtoto amuone chukua chupa yako mimina maji kwenye bakuli atafikiri chakula cha mtoto mmwagie usoni na biashara itakuwa imeisha.

Mmachame moja.duh
 
Kamsikilize labda ana maana la kukwambia, ila kama anaongea pumba mpotezee mwambie huna muda wa mambo ya kipumbavu. Kama hutajali mkishaonana rudi hapa utupe update ya yaliyojiri.

 
Last edited by a moderator:
wanaume wengi san uoga wa maisha unawasumbia japo tamaa mbele mauti nyuma. msililize tu maana inawezekana amaejifikiria na kuona ameacha gold nyuma akikimbilia mawe
 
Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipo mtafuta na mengine mengi mengi.. kanitafuta ananiambia tuonane akirudi kwa sasa yupo safari.Naomba mnipe mawazo je akirudi nimskilize anasemaje au niachane naye

He is not a human being...Achana nae.. Run.. Run... Run away from him.. Wengi tumelelewa na single parents na tuko poa....
 
Piga chini huyo mwambie mimba si yako nilipitiwa.Nachukia sana wanaume wanaokataa watoto wao.
 
Yote hayo usingeliyapata kama ungelifunga ndoa na kupata mtoto/watoto ndoani...

Kwa kawaida sisi wanadamu tunapoasi (tunapotenda dhambi) huwa tunafungulia mlango wa mambo mengine mabaya kuambatana nasi...

Na matokeo ya uasi wowote huwa ni adhabu, wewe mleta mada umeadhibiwa kwa jamaa kuukana mzigo wake bila shaka naye jamaa kuna adhabu kaipata huko alipokuwa...

Huu ni wakati wa kurekebisha kosa nambari moja ambalo nyote mlishirikiana kufanya...

Unapokataa mwanao asimjue babaye maana yake unajilazimu kushiriki kosa nambari mbili ambalo jamaa yako alilianzisha nalo ni mtoto wenu kuishi katika hali ya kukataliwa...

Ni wewe mwenye ufunguo wa ama mwanao aishi akimtambua mtu anayemuita baba au lah...

Siku zote kurudia kosa si kosa bali ni kuimarisha zaidi kosa...
 
Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipo mtafuta na mengine mengi mengi nisiwachoshe kwa kuwasimulia.Muda wa miezi kadhaa sasa umepita toka katoto kazaliwe na yeye akatae nimesha zoea maisha yangu napambana kumlea mwanangu peke yangu as a single mom na msaada pia kutoka kwa ndugu.Sasa baba wa mtoto kanitafuta ananiambia tuonane akirudi kwa sasa yupo safari.Naomba mnipe mawazo je akirudi nimskilize anasemaje au niachane naye kama alivyo nitendea yeye kipindi chote cha ujauzito mbaka nilivyojifungua.Nakumbuka wakati namwambia mtoto tayari alicho nijibu ni i don't want it and I have nothing to do with it

utakapoenda kuonana nae usiende peke yako uwe na mzee mmoja mwenye heshima zake kiwe kama kikao kidogo muwekeni mtu kati alipe faini zote za usumbufu na mengine ndo yafuate
 
Huyu bwana alinipa mimba na aka mkataa mtoto wake.Amenikatia sana simu kila nilipo mtafuta na mengine mengi mengi nisiwachoshe kwa kuwasimulia.Muda wa miezi kadhaa sasa umepita toka katoto kazaliwe na yeye akatae nimesha zoea maisha yangu napambana kumlea mwanangu peke yangu as a single mom na msaada pia kutoka kwa ndugu.Sasa baba wa mtoto kanitafuta ananiambia tuonane akirudi kwa sasa yupo safari.Naomba mnipe mawazo je akirudi nimskilize anasemaje au niachane naye kama alivyo nitendea yeye kipindi chote cha ujauzito mbaka nilivyojifungua.Nakumbuka wakati namwambia mtoto tayari alicho nijibu ni i don't want it and I have nothing to do with it

Unafikili kuna siku hutamtafuta?na hata ukiweza kukaa kimya juu yake unafikili hutamwambia mtoto baba yake ni nani na mtoto hatakuja kumtafuta?I think mtu huyo alihamaki tu ulipomwambia una mimba kitu ambacho labda hakujiandaa nacho...changanya akili
 
data nimeamini upo kwenye ndoa

aisee umetoa ushauri mzuri sana
wanaume wengine wanajua kuvaa suruali tu

Ninawachukia sana wanaume wanao telekeza watoto dunia ya leo..

Makosa waliofanya wazazi wetu hatupaswi yarejea.

Malezi ya single parent kwa dunia hii ni kazi ngumu sana.
 
Last edited by a moderator:
Ninawachukia sana wanaume wanao telekeza watoto dunia ya leo..

Makosa waliofanya wazazi wetu hatupaswi yarejea.

Malezi ya single parent kwa dunia hii ni kazi ngumu sana.

Hakuna mwanaume anayetelekeza mtoto bila sababu ya maudhi au mashaka ya kubambikiwa kutoka kwa Mwanamke,tunawajua sana wanawake wa sasa wakoje,hatukatai wako waume wenye shida lakini kwa % kubwa husababishwa na wanawake wenyewe
 
Back
Top Bottom