Magufuli anataja tu mshahara bila kuweka allowances kibao hasa akiwa nje ya Dar anazopata!Mshahara si kitu bali net pay yake inajumuisha marupurupu makubwa yanayofanya mshahara wake uwe mnono!
Huyu net pay haipungui 30M
hivi net ya 30 m hata kama anapata kwangu nikidogo sana.Kwa sababu ceo tu wa ka ngo anakula hizo kwa mwezi. Ukweli ni kwamba mapato ya Rais hata kama ni 30 M kwa mwezi basi ni hatari kwa usalama wa nchi kwani ni rahisi kuhongwa billions of money na akasaini mikataba ya ovyo