Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

Hii wiki yote wataiona changu kwa hiki walichokifanya.

Watu wameenda kutoa mapovu kwenye post zilizopita wanatukana Vibaya mnoo.

Wanasubili post za Kesho labda nazo wafunge comments.

Nilishatenga pesa ya jezi, Bora nitume kijijini kwetu sitaki tena jezi
 
Back
Top Bottom