fazaa JF-Expert Member May 20, 2009 2,984 1,030 Jan 17, 2012 #41 Yeye si umemtolea hapa JF, na wapili atakuwa si mbali na hapa JF. Lazima mke wako atakuwa na wasi wasi...Mana kamchezo kakuolea hapa JF kanaweza kuendelea.
Yeye si umemtolea hapa JF, na wapili atakuwa si mbali na hapa JF. Lazima mke wako atakuwa na wasi wasi...Mana kamchezo kakuolea hapa JF kanaweza kuendelea.
Kbd JF-Expert Member Oct 9, 2009 1,260 447 Jan 17, 2012 #42 Dena Amsi said: Ha ha ha lazima dear siunajua tena chuna basi Click to expand... Poa mwana, lala unono dia.
Dena Amsi said: Ha ha ha lazima dear siunajua tena chuna basi Click to expand... Poa mwana, lala unono dia.
Kalunguine JF-Expert Member Jul 27, 2010 2,543 134 Jan 17, 2012 #43 Kumbe humu ndani ni sawa na kwa jirani. Basi hebu tujitahidi tuone kama itazaa matunda
M mtengwa JF-Expert Member Aug 20, 2011 1,600 847 Jan 17, 2012 #44 kisukari said: i'm so sorry if i'm wrong.ila sielewi kwa nini story yako nahisi kama ni ya uongo. Click to expand... na me nimehic ni ya kutungwa
kisukari said: i'm so sorry if i'm wrong.ila sielewi kwa nini story yako nahisi kama ni ya uongo. Click to expand... na me nimehic ni ya kutungwa