Baada ya kubinywa huko Guantanamo Ghailani sasa kujibu mashitaka

Jamani hawa Wazanzibar ni soo kwa milipuko,
Mnafahamu kuwa mtaalamu wa mabomu wa marekani ni prof. mmoja kutoka Zanzibar?
Mnafahamu kuwa Mr. Bilali ni mtaalamu wa milipuko?

Kumwita Dr. Bilali ambaye ni mwanafizikia ya nyuklia (nuclear physicist) kwamba ni mtaalamu wa milipuko ni kumshusha zaidi ya kumuita "Mr." mtu mwenye doctorate ya nuclear physics.

Huyu ndiye Neil deGrasse Tyson/ Prof. Hawkings wetu bongo, wewe unamuita "mtaalamu wa milipuko"?
 
Nuclear physicist anafanya nini kwenye politics, halafu utakuta wenye Phd ya Nuclear Physics bongo wanahesabika kama sio yeye peke yake. Arudi darasani tu, nchi inamhitaji sana huko kuliko bungeni!
 
Junius unaposema huyu sio mtanzania ni mzanzibari hueleweki. Labda hujasoma vizuri Sheria ya Uraia ya Zanzibar (The Zanzibari Act, 1985) inayosema kuwa sifa mojawapo ya kuwa Mzanzibari ni kwanza awe Mtanzania. Pia Katiba ya Zanzibar, 1984 inasema kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano. Hujawasikia pia viongozi wa Zanzibar wanavyoapa wakati wanashika madaraka? Hata kama hupendi jina Tanzania haimaanishi kwamba hizo fact sio za kweli! Be realist pls!
Unanitendea haki kweli?
Hebu isome vizuri hiyo post,nani kasema maneno hayo, halafu rudi unitake radhi tafadhali, nakuheshimu kijana.
 
Nuclear physicist anafanya nini kwenye politics, halafu utakuta wenye Phd ya Nuclear Physics bongo wanahesabika kama sio yeye peke yake. Arudi darasani tu, nchi inamhitaji sana huko kuliko bungeni!

As a matter of fact arudi Maryland/DC (CIA?) alikokuwa akawe Abdus Salam wetu, pengine tunaweza kupata visibility na vi scholarship vya physics.hata darasani akifundisha nuclear physics itakuwa waste of time and energy, akifundisha vitu vingine itakuwa waste of talent.

Nuclear Physicist nchi haina hata mtambo wa kufua umeme wa kueleweka, sembuse wa nuclear, ni kichekesho tu.

Yaani bongo mtu aliye na PhD ya nuclear physics na mwingine mwenye PhD ya American Civil War History naona wote kama sawa tu.Tena afadhali hata huyu wa Civil War History anaweza kujibana jeshini kujitia ujuaji.
 
Junius unaposema huyu sio mtanzania ni mzanzibari hueleweki. Labda hujasoma vizuri Sheria ya Uraia ya Zanzibar (The Zanzibari Act, 1985) inayosema kuwa sifa mojawapo ya kuwa Mzanzibari ni kwanza awe Mtanzania. Pia Katiba ya Zanzibar, 1984 inasema kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano. Hujawasikia pia viongozi wa Zanzibar wanavyoapa wakati wanashika madaraka? Hata kama hupendi jina Tanzania haimaanishi kwamba hizo fact sio za kweli! Be realist pls!

Sie Junius aliyesema mambo hayo bali Joka Kuu.


 
Hivi itakuwaje kama mbongo ukienda kuomba kumuona huyu jamaa?

I know I know, obviously unajiingiza kwenye radar zao, lakini vipi kama unasema mimi mbongo nataka kwenda kuonana na mbongo mwenzangu anipe story yake, apate mtu wa kuongea naye kiswahili na kila mtu ana deserve company, na hajahukumiwa bado kwa hiyo inawezekana si mhalifu.

Mchizi anasema anatuhumiwa kununua gari wakati yeye si mtu wa magari kabisa, gari hata kuendesha hajui.
 
Jaji katika kesi ya kwanza kabisa ya kiraia dhidi mfungwa kutoka gereza la Guantanamo, ametoa uamuzi kuwa shahidi mkuu kutoka serikali ya Marekani hatotoa ushahidi.

Hatua hiyo ni pigo kwa waendesha mashitaka.

Mshukiwa huyo Ahmed Khalfan Ghailani anakanusha kusaidia kundi la Al Qaeda kufanikisha mauaji ya watu 224 mwaka 1998 katika balozi za Marekani zilizoko Afrika Mashariki.

Jaji huyo ametoa uamuzi kuwa shahidi huyo wa serikali hatotoa ushahidi, kwa sababu Bw. Ghailani alimtaja shahidi huyo wakati akiwa "chini ya vitisho".

Mwandishi wa BBC anasema hatua hiyo inazidi kuongeza ugumu katika mipango ya kutaka kuwashitaki washukiwa na Guantanamo katika mahakama za kiraia.

Utawala wa Rais Obama una matumaini ya kuendesha kesi hizo kwa washukiwa kadhaa, hasa wenye 'majina makubwa', akiwemo Khalid Sheikh Mohammed anayetuhumiwa kupanga mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani.

Vitisho
Jaji Lewis Kaplan wa New York ameahirisha kesi ya Bw. Ghailani iliyokuwa ianze kusikilizwa Jumatano.Kesi hiyo sasa iko katika hatua ya kutafuta wazee wa mahakama itakayofanyika Oktoba 12.

Katika uamuzi wake, jaji huyo wa New York amesema shahidi huyo wa serikali aliyependekezwa, alitajwa katika "taarifa alizotoa Ghailani kwa CIA wakati akiwa katika vitisho.

Mtu huyo, Hussein Abebe, alitarajiwa kutoa ushahidi kuwa alimuuzia Ghailani milipuko ya TNT, ambayo ilitumika katika mlipuko wa bomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, mwezi Agosti mwaka 1998.

Uamuzi huo, iwapo hautabatilishwa, ni kikwazo kwa kesi ya serikali ya Marekani dhidi ya Ahmed Khalfan Ghailani, na pia hatua hiyo kutatiza zaidi sera ya utawala wa Obama wa kuwashitaki washukiwa wa Guantanamo katika mahakama za kiraia.

Shahidi mkubwa

Hussein Abebe alitarajiwa kutoa ushahidi. Bila ya shahidi huyo kutoa ushahidi wake, serikali itapata tabu kuwasilisha ushahidi wake mbele ya wazee wa mahakama. Hatua hiyo inawapa waendesha mashitaka tatizo kubwa -- iwapo ushahidi uliopatikana katika magereza ya CIA au gereza la Guantanamo hauwezi kutumika katika mahakama ya kiraia, je kuna uwezekano wa kukuta mshukiwa na hatia?.

Mwendesha mashitaka mmoja wa Marekani amemuelezea Bw. Abebe kama shahidi "mkubwa" kwa serikali, na wanafikiria kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa jaji.

Bw. Ghailani, ambaye inaaminika umri wake ni kati ya miaka thelathini na arobaini , alikuwa amevaa sweta la rangi ya kijivu, suruali nyeusi na tai, wakati alipofikishwa mahakamani, siku ya Jumatano.

Kifungo cha maisha
Bw. Ghailani anatuhumiwa kununua gari la milipuko iliyotumika katika shambulio nchini Tanzania, na pia kutuhumiwa kuwa mjumbe wa Osama Bin Laden. Anakanusha mashitaka hayo.

Bw. Ghailani aliyekamatwa nchini Pakistan mwaka 2004, alipelekwa kisiri katika kituo kimoja cha CIA kabla ya kupelekwa Guantanamo mwaka 2006.

Bw. Ghailani anakabiliwa na kifungo cha maisha jela, iwapo atakutwa na hatia.
chanzo: BBC Swahili
 
101006183327_ghailanifora.jpg
Ahmed Ghailani


Waendesha mashataka walisema, aliyekuwa mfungwa wa Guantanamo anayehusishwa na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania alikuwa ni mmoja wa kundi la al-Qaeda aliyedhamiria kuwaua Wamarekani.
Kwenye taarifa za ufunguzi katika kesi ya Ahmed Khalfan Ghailani, waendesha mashtaka walisema alinunua lori na matenki ya gesi yaliyotumika kwenye shambulio la Dar es Salaam la mwaka 1998.
Mshtakiwa amekana kuisaidia al-Qaeda na kuua watu 224 katika milipuko miwili ya mabomu.
Bw Ghailani ni mfungwa wa kwanza wa Guantanamo Bay kukabiliana na kesi ya kiraia.
Mwendesha mashtaka Nicholas Lewin alisema, " Mshtakiwa aliyafanya yote hayo -kwasababu alikusudia kutimiza lengo la al-Qaeda, kuua Wamarekani."
Bw Lewin aliiambia jopo la mahakama watasikia ushahidi kutoka kwa aliyekuwa "mtoa taarifa" wa al-Qaeda, ambaye amekiri makosa.
Alisema baadhi ya watu walionusurika kwenye milipuko hiyo watatoa ushahidi.
090609234312_sp_guantanamo_ap_226x170b.jpg
Ahmed Ghailani akiwa mahakamani


Bw Lewin alisema baada ya Bw Ghailani kwenda Pakistan, "hakudhania kuwa ipo siku atakabiliana na mashahidi wote hao- hapa katika mahakama hii ya Marekani".
Wakili wa utetezi Steve Zissou amemwelezea Ghailani kama mtu "aliyelaghaiwa" kwa ajili ya al-Qaeda na alikuwa akitumwa na marafiki ambao yeye alidhani ni wafanyabiashara , na si magaidi.
Bw Zissou alisema, tofauti na wengine wanaohusishwa na milipuko hiyo ya mabomu, Bw Ghailani hakwenda katika makambi ya mafunzo na hakutiwa kasumba yeyote.
Wakili alisema, " Si mfuasi wa al-Qaeda na wala hakuwa na malengo sawa na kundi hilo."
Uongozi wa Obama una matumaini ya kusikiliza kesi kama hizo za kiraia kwa wafungwa wengine muhimu wa Guantanamo.
Inaweza pia kumhusisha anayedaiwa kuwa mwandaaji mkuu wa mabomu ya Septemba 11, Khalid Sheikh Mohammed.
Lakini waandishi wanasema kesi imeanza kuwa na utata baada ya uamuzi wa jaji Lewis Kaplan alioutoa wiki iliyopita wa kuukataa ushahidi kutoka upande wa mwendesha mashtaka katika kesi ya Ghailani.
Shahidi huyo, Hussein Abebe, alitarajiwa kutoa ushahidi kuwa aliuza milipuko ya TNT iliyotumika kwenye milipuko ya mabomu ya ubalozi wa Marekani kwenye mji wa Dar es Salaam, Tanzania kwa Bw Ghailani Agosti, 1998.
Lakini wiki iliyopita jaji huyo alitoa uamuzi kuwa shahidi huyo hawezi kutoa ushahidi kwani alitajwa na Bw Ghailani huku akiwa "anapewa vitisho."


chanzo: BBC Swahili - Habari - Kesi ya Ghailani yasikilizwa Marekani
 
Bikra hichi kweli ni kitu cha kushangilia? Unakosea sana kumfananisha "Fupi" na Hasheem Thabeet.....Kumuita Thabeet Hero kunaleta maana lakini sio huyu Ahmed.

Simuhukumu Ghailani hapa kwa sababu najua kesi yake imejengwa kwenye mazingira ya Utatanishi...Mimi binafsi kama Mwawado wala siamini kama kweli Ghailani alikuwa Dereva wa Osama (Mpaka leo hajui kuendesha gari..labda wawe wamemfundisha huko Gitmo),nimesoma na kuangalia mazingira yote ya kushikwa kwa Ghailani inanipa wasiwasi kama ni kweli anahusika na Al-qaeda. Ahmed (ana majina karibu ya 30) alikuwa mjeuri alipokamatwa huko Pakistani na hakuweza kujieleza vizuri (Hajui kiingereza sawa sawa) hivyo vyote pamoja na kuwa na passport zaidi ya mbili ndivyo vilivyochangia kumuhusisha na Mabomu ya Tanzania/Kenya kwani aliondoka Nairobi siku moja kabla ya milipuko ile!!

Mimi Binafsi nachukulia kuwa Ahmed ilikuwa bahati yake mbaya tu..kwani hapo Karachi kuna watanzania wengi tu,na wengi wana passport zaidi ya moja na majina Kibao..sasa hao wote tuwaite Alqaeda?

Nathibitisha hapa kwamba kama serikali yetu (Tanzania) ingesimama imara na kuwa upande wa Ahmed,huyu jamaa hakuwa na case ya kujibu...imekwishatokea hivyo kwa Raia mmoja wa Uk ambaye ana asili ya Pakistan,alikamatwa Queta na kupelekwa Guantanamo lakini wazazi/Ndugu zake walipiga kelele mpaka wakaonana na Tony Blair na matokeo yake ndugu yao akaachiwa..

Tafuta muda uangalie/soma suala zima la Ghailani utabaini Walakini katika kushikwa kwake...Hata hivyo usinichukulie kwamba namtetea Ahmed,nilikuwa nataka kukufahamisha tu ..nini ninafahamu kuhusu Jamaa huyo!

Angalia hii documentary kwenye link



Gitmo - A documentary on Guantanamo Bay Cuba.#
 
Asema,

"sikujua nini walikuwa wanafanza lakini niliwasaidia"

-Kwa mujibu wa kumbukumbu za mahojiano za Pentagon

View attachment 1377
Ahmed Halfan Ghailani

A Guantanamo detainee who allegedly helped plan the 1998 bombing of the U.S. Embassy in Tanzania that killed 11 people was charged Monday with war crimes that carry a possible death penalty.

Ahmed Kalfan Ghailani - who was held in secret CIA custody before being transferred in 2006 to the U.S. military prison in Cuba - also allegedly purchased and transported the explosives used in the attack and scouted the embassy with a suicide bomber.

Al Qaeda's twin suicide truck-bomb attacks on the U.S. Embassies in Tanzania and Kenya on Aug. 7, 1998, killed some 236 people, including 12 Americans, and injured more than 4,000. No Americans died in the attack in Dar Es Salaam, Tanzania.

U.S. Air Force Brig. Gen. Thomas Hartmann told a Washington news conference that Ghailani, a Tanzanian, faces charges that include murder, attacking civilians and terrorism. The attack on the embassy in Tanzania was not as devastating as the one in Kenya because an embassy water tanker apparently prevented the suicide bomber from penetrating the perimeter.

Ghailani, who was captured after a gunbattle in Gujrat in eastern Pakistan in July 2004, told a military panel at Guantanamo in March 2007 that he unwittingly delivered the explosives for the attack, didn't know about it beforehand and was sorry.

"It was without my knowledge what they were doing, but I helped them," he told the panel, according to a transcript released by the Pentagon. "So I apologize to the United States government for what I did. And I'm sorry for what happened to those families who lost, who lost their friends and their beloved ones."

It was without my knowledge what they were doing, but I helped them.

Ahmed Kalfan Ghailani
according to Pentagon transcriptA senior Pentagon legal official, Susan Crawford, must review and approve the filed charges before any legal proceedings can begin against Ghailani.

The U.S. has so far filed charges against 15 prisoners at Guantanamo and convicted one, Australian David Hicks, in a March 2007 plea bargain. Several detainees have appeared before the tribunal for arraignments or pretrial hearings. The first actual trials are expected to begin in late spring or early summer.

The U.S. now holds about 275 men at Guantanamo and military officials say they expect to file war crimes charges against about 80.

View attachment 1378
Ubalozi wa Marekani Tanzania baada ya kulipuliwa kwa mabomu mwaka 1998



Chanzo cha habari: World Media

semeni yote msemayo lakini huyu ni muuaji hodari, nasikia kule gerezani ame mu-incapacitate mmoja wa walinzi kwa kuponyeza mishipa ya fahamu na sasa haoni wala hasikii
 
tusitetee terorists hapa eti kwa kuwa ni mtz mwenzetu.huyu jamaa kuna article moja nilisoma nikipata nitaipost mahojiano yake yaani maswali na majibu on eby one na alikiri hawa watu kweli walimfuata kama wanafanya biashara,wakamwomba awasaidie kununua simu ya mkononoi na akainunua kwa jina lake,hata katika ununuzi wa gari walinunua kupitia jina lake na walikua naye karibu muda wote waliouku tz,na kuna siku wakamwomba waende kuzunguka maeneo ya dsm moja wapo ni maeneo jirani na ubalozi wa marekani wakaenda then wakmtuma arusha kununua huo mchanganyiko wa kutengeneza bomu na aliporudi ndio wakamwambia ni kwa ajili ya nini na wakamwambia aondoke aende mombasa the akapelekwa nchi ya jirani im not usre either somalia u ethiopia na akaka huko kwa muda mpaka alipopelekwa pakistan then kabul na alikubali alishakutana na osama na kushiriki mafunzo ya alqaeda sasa leo mnamteteaje humu na after that yeye akawa anafanya shughuli za kuwatafutia pasports btn kabul n pakistan mpaka akaja kukamatwa na aliomba msamaha kwa ubalozi wa marekani na familia husika na kwamba yeye hakujua mwanzo that was ok but why alikubali hadi kushiriki mafunzo na mengineyo?ni gaidi tu huyu na inaelekea hajasema ukweli wote,na bora tu afungiwe huko kuliko huku bongo asituletee mabalaa huku.na kwanini hivi hawa terrorists wanawatumia sana watu wanoijua dini ya kiislam vizuri?huwa najiuliza sipati jibu
:sad:
 
Back
Top Bottom