X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Mkandara, Future-Tanzania,....
NB:
..bila Mkapa kupitisha sheria ya magaidi sina uhakika kama Kikwete angekaribishwa White House na Baraka Obama kula ma-apple. pia sidhani kama Joji Bush angetembelea Tanzania na kugawa vyandarua.
Duh...! Hii kali... yaani kwa ajili ya ma-apple na vyandarua tu... au..!?