Baada ya kazi...... burudiko


Can we have a tost tomorrow evening 1900 hours East African time if you don't bother..... you may come with Halle Berry wa bongo or alone.

Thanks msuli ake mtu.😉

Kasie.🙂
 
Reactions: BAK
Sio kajitahidi.... kafanya mambo.

Najua jamaa anataka vitu in return. kfanya mambo mazuri ningekugonga mimi lazima tungesubiri traffic apime. Halafu ningekuwa tayari kwa matengenezo!
Yaeezekana unalipa ndio maana mshikaji katanguliza salamu.
All the best!
 
Hahahahaaaa nimejaribu kupunguza ukali wa maneno ili watoto wasisikie mambo ya kikubwa. Ila weye mkubwa mwenzangu umenielewa basi ujue kuna jambo lilitokea na lilikuwa vizuri tuu na likaisha salama.

Kasie.
Papuchi ulimpa. Mkiambiwa mnajiuza mnabisha ila ulijiuza prepaid. Hongera
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kasinde bwana?
Happy birthday dear.
 
Reactions: BAK
heri ya siku ya kuzaliwa.

ila jihadhari na kifuatacho.......box bag!

lots of guys splash cash out after they realise that their days are numbered.
 
Sijui nikueleweshe vipi!
Ah...Karibu anyway.

Asantii ...hehehehee Kasie amekuelewa sana, baasi tuu amejiskia kukuchosha akili. Pole usijali amekutania tuu.

Kasie.
 
im waiting for feedback...............................kwich kwich

Okeee feedback has already board the plane not yet departure.... once depart and when arrive you'll be notified 🙂

Kasie.
 
heri ya siku ya kuzaliwa.

ila jihadhari na kifuatacho.......box bag!

lots of guys splash cash out after they realise that their days are numbered.

Thanks for the alert!!

Kasie.
 
ni kweli jamani,na mimi ndio fundi niliyekwenda kulichukua lile gari lililogongwa na boss deo.sikujua kuwa jana ni bday yako.happy belated birthday by the way.
 
Kasie ..unapatikana wapi na mie nikugonge nikupe new ride ...ila jamaa kafaidi kuliko wewe ..kala kashiba .maongezi ...mengineyo na gari kachukua ..ulichopata wewe ni new number plate
 
Kasie ..unapatikana wapi na mie nikugonge nikupe new ride ...ila jamaa kafaidi kuliko wewe ..kala kashiba .maongezi ...mengineyo na gari kachukua ..ulichopata wewe ni new number plate

Hahahaa aliyetoa cheni feki ya dhahabu, kapokea hela feki.... na aliyepokea hela feki katoa cheni feki ya dharau. .. Ngoma droo by: Profesa J
 
ni kweli jamani,na mimi ndio fundi niliyekwenda kulichukua lile gari lililogongwa na boss deo.sikujua kuwa jana ni bday yako.happy belated birthday by the way.

Hahahahaha... fundi mchundooooo hehehehe ntakusemea kwa bosi wako looh
Thanks for late birthday wishes
 
Endelea kuniacha huko huko lakini nilitaka kujua zaidi

Hehehehee mengine hufunikwa na kikombe wasijue wote na watu wazima wakipita na kuona kikombe kimefunikwa basi huelewa hiyo weka mbali na watoto ila watu wazima washaelewa kilichofunikwa kwa kuona tuu bila kuelezewa.

Sasa weye unataka kubaki ukubwani huku huelewi ya ukubwani. ..... ngoja waje wakubwa wenzangu wakupe tuition kidogo heheh
 
Reactions: irk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…