Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
- Thread starter
- #21
Hivi ukiwa kwenye kiti cha uprezidaa huwa namna ya kufikiri inabadilika?
Mbona JK kabla hajaingia Ikulu alionyesha kuyajua sana matatizo yetu wananchi mpaka tukamwamini na kumwingiza ikulu!!
What happened to our brother now? Is it the problem of the system or the person himself?
Mbona JK kabla hajaingia Ikulu alionyesha kuyajua sana matatizo yetu wananchi mpaka tukamwamini na kumwingiza ikulu!!
What happened to our brother now? Is it the problem of the system or the person himself?