Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Mamlaka zipo za kufanya kazi hiyo sisi tutapiga kelele tu.

Kama aipa mbele ya Rais kuwa Mkuu wa Mkoa baada ya Rais kuthibitishiwa na wataalam wake kuwa anaweza kushika nafasi ya mkuu wa mkoa wa Dar mimi na wewe zaidi wataalam wa Ikulu tunao waamini

Na kama Rais wa awamu ya Nne alithibitishiwa na wataalam wake wa Ikulu tunaowaamini wakati anateuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni wewe na mimi ni nani wa kusema hayo.

Ina maana Mh Makonda ni zaidi ya Rais Magufuli au Rais mstaafu Kikwete mpaka aweze kujika kiasi hicho kwa wataalam wa Rais tunaowakubali mimi sidhani kama ni kweli katika hilo.


Mkuu:
Kwani haijawahi kutokea ktk. awamu hii mtu ana teuliwa halafu anatenguliwa. Sababu kubwa ni uteuzi umefanywa kimakosa.
 
Mmh uwaka bwana huwa mnachekesha sana sasa hata kama alipewa jina shida yenu ni ipi? Kipindi kile mliwataja kina mafisadi papa mlishindwa kwenda mahakamani? Nyie hata msiteseke sana mjue kabsa haipo sk sisi wananch tutawapa kura za kutawala nchi hii, kazi kuish kwa matukio hamna hoja za maana, wasomi weng mtaan saiz kama mna nia kila mbunge angekaa na vijana wasomi mtaani ili kuwapa hoja za maana ili waelewe mkipata kila mtaa wasomi walioko mtaan 30 baada ya miaka miwili jamii yote itawaelewa hadi vijijini lkn cha ajabu utasikia makonda ana majina yasio yake, mara kafeli, sasa hizo ni hoja za kumshawishi kijana msomi alieko mtaan hana ajira?????


Mungu anajua lini mtaongoja but sio leo wala kesho hadi mkijipanga saiz cdm inazidiwa umaarufu hadi na a . c...t
 
Eeh, habari ndio hiyo! NECTA waseme ukweli na kama alirisiti ijulikana alirisitia wapi na jina gani?

Matokeo ya mwaka aliomaliza na shule aliyosoma tunayo, tunaujua uwezo wake darasani.
 
Mamlaka zipo za kufanya kazi hiyo sisi tutapiga kelele tu.

Kama aipa mbele ya Rais kuwa Mkuu wa Mkoa baada ya Rais kuthibitishiwa na wataalam wake kuwa anaweza kushika nafasi ya mkuu wa mkoa wa Dar mimi na wewe zaidi wataalam wa Ikulu tunao waamini

Na kama Rais wa awamu ya Nne alithibitishiwa na wataalam wake wa Ikulu tunaowaamini wakati anateuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kinondoni wewe na mimi ni nani wa kusema hayo.

Ina maana Mh Makonda ni zaidi ya Rais Magufuli au Rais mstaafu Kikwete mpaka aweze kujika kiasi hicho kwa wataalam wa Rais tunaowakubali mimi sidhani kama ni kweli katika hilo.
Sawa sawa you have a point chief...

inatia mashaka na kama ni ukweli itakuwa world class scandal...
 
Paskal Mayala tupige vita madawa ya kulevya vijana wetu wanaangamia.Paul Makonda amepuliza tarumbeta kitu ambacho viongozi wengi kimewashinda.

Najua kila mmoja atatafuta taarifa za Makonda ili mradi tu ziwe ni za kumkatisha tamaa na hii ni tabia ambayo tumekuwa nayo sana watanzania pale anapojitokeza MTU kugusa maslahi yao.

Biashara hii INA mtandao mkubwa ndani na nje ya Serikali na wengi wakubwa hawajapenda pale Makonda alipolianzisha.

Kuhusu majina hilo ni personal Sina comment labda wenye taarifa.ila kwangu si la msingi sana maana hata Mimi najua kuna watu wengi tu wamesoma na majina ya watu wengine miaka ya nyuma ilikuwa kama kawaida toka primary.

La msingi kwangu mimi ni hii vita ya madawa ya kulevya lazima tupigame wote na tu support juhudi za Makonda na sio kuanza kuzizima kwa namna yoyote ile.
Makonda anacheti ambacho sio chake
 
Ni dhahiri ndugu Makonda katika utekelezaji wa majukumu yake kama Mwenyekiti wa ulinzi na usalama jijini Dar, kachoma kisu kwenye Mfupa.

Chadema bila kukaa chini na kutafakari jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo kwa kuondoa uchafu ndani ya chama,wameamua kukumbatia uchafu kwa kupambana na Makonda.

Ajizi nyumba ya njaa,Makonda ageuka ajenda Kuu ya upinzani mtaani,mahakamani na bungeni.Ni hatari kubwa sana kwa Chadema kumgeuza Makonda hoja Kuu ya kisiasa.
 
Halafu wawe Makini Siasa hazitabiriki wakimshambulia Makonda wawe wanaweka Akiba ya Maneno kwa kuwa bado hawajajua Nani atakuwa Mgombea wao wa Urais 2025 maana Tuhuma za Ufisadi za Makonda kujilimbikizia Mali ndizo pia walikuwa wanamtuhumu Mgombea wao wa Urais 2015
Hao watu wako katika giza nene sana!
 
Ni dhahiri ndugu Makonda katika utekelezaji wa majukumu yake kama Mwenyekiti wa ulinzi na usalama jijini Dar, kachoma kisu kwenye Mfupa.

Chadema bila kukaa chini na kutafakari jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo kwa kuondoa uchafu ndani ya chama,wameamua kukumbatia uchafu kwa kupambana na Makonda.

Ajizi nyumba ya njaa,Makonda ageuka ajenda Kuu ya upinzani mtaani,mahakamani na bungeni.Ni hatari kubwa sana kwa Chadema kumgeuza Makonda hoja Kuu ya kisiasa.
Hoja dhaifu tena sana .
 
Ni dhahiri ndugu Makonda katika utekelezaji wa majukumu yake kama Mwenyekiti wa ulinzi na usalama jijini Dar, kachoma kisu kwenye Mfupa.

Chadema bila kukaa chini na kutafakari jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo kwa kuondoa uchafu ndani ya chama,wameamua kukumbatia uchafu kwa kupambana na Makonda.

Ajizi nyumba ya njaa,Makonda ageuka ajenda Kuu ya upinzani mtaani,mahakamani na bungeni.Ni hatari kubwa sana kwa Chadema kumgeuza Makonda hoja Kuu ya kisiasa.
Mfunga viatu wa Riz naye achunguzwe ataje mali zake aseme alizipata vipi??
Tusiwe na duble std, maadili yanguse kila kiongozi, sio ubaguzi!!
 
Uzi ukiwa umeandikwa na ushabiki wa kichama hua unakua hauna hoja za msingi ni kujizungusha kuandika uongo, nukta. Na kungoja mashabiki wenzake waje kusapoti.
 
Ile hoja ya Sugu kumhusu #munguwaDar#. naona inaweza kuwa ina kaukweli... naona washirika wenzake wanajitokeza kwa wingi...

Kampeni ya Kingwangwala inaanza lini tushuhudie movie mpya??
 
Ni dhahiri ndugu Makonda katika utekelezaji wa majukumu yake kama Mwenyekiti wa ulinzi na usalama jijini Dar, kachoma kisu kwenye Mfupa.

Chadema bila kukaa chini na kutafakari jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo kwa kuondoa uchafu ndani ya chama,wameamua kukumbatia uchafu kwa kupambana na Makonda.

Ajizi nyumba ya njaa,Makonda ageuka ajenda Kuu ya upinzani mtaani,mahakamani na bungeni.Ni hatari kubwa sana kwa Chadema kumgeuza Makonda hoja Kuu ya kisiasa.
Uwe na busara, kijana kajichanganya sana. Na kachafua hali ya hewa saaana tu. Sasa alizidi kuchafua pale Pombe anamsifia wakati kaboronga. Kuna kitu kinaitwa huruma ya jamii.sasa hiyo inanguvu mno. Ukimwonea mtu tofauti na natural law huruma ya jamii ipo. Na ndio iliyotumika hata sasa kuipaza Chadema. Kiongozi inabidi awe karibu na busara,ila akiacha busara anakuwa lofa haijalishi wewe nani.
 
Back
Top Bottom