Mkuu Massawee, nilitegemea mtu anasoma kwanza bandiko, akiishaelewa maudhui ndipo anachangia!, sasa wewe ndugu yangu Massawee, jee ulisoma mwanzo wa bandiko langu?. Jee unaelewa nini hapa?.Sasa wewe paskali mwandishi wa habari za uchunguzi wewe binafs ni uchunguzi gani umeufanya kubainaisha hilo??
Maana naona ume attach habari zilizo fanyiwa uchunguzi na watu wengine
Leta kile ulichokifanya wewe...
Nili tegemea uje na habari kuwa umeenda tabora na umemuhoji huyo paul
Nikajua utakuja na habari kuwa umekutana na wanafunzi na waalimu walio mfundisha paul..
Badala yake unaleta story za mange kimambi..
Na kukubali sana ila hapa umechemka inatakiwa uonyeshe utofauti kati yako na hao waandishi uchwara
Dr.Kigwangalla alipotuhumiwa humu, kuna mtu yoyote alifanya uchunguzi akaja na uthibitisho?!. Mbona ni Kigwangalla mwenyewe alikuja kukanusha! .Wanabodi,
Declaration of interest. Mimi Paskali Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kufanya investigative story kuhusu jambo looted, ila nimeamua kujikita kwenye kuandika developmental news only zenye maslahi kwa taifa, hivyo hii hoja kwenye uzi huu haina maslahi yoyote kwa taifa hivyo siifanyii uchunguzi, ila ina maslahi kwa usafi wa mtu, truthfulness na the audacity kunyooshea watu vidole kumbe...
Uwongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, hugeuka ukweli.
Paskali.
Kama haijakanushwa, maana yake yaweza kuwa kweli sanaaaa...........
Entre the dragon. Lakini nawe mi nani?Jina lake ni DAUDI BASHITE 100% na uhakika atoke apinge ntaomba chuo na sehem zote nilizosema wanivue elimu zangu kama atakanusha
Majina yake sisi hayatusaidii kitu ila makonda nikiongozi bora mtetezi wa wanyonge anatufaa full stop
Upo sahihi wewe unaweza kukubali watu wakuseme uongo..Paskal Mayala tupige vita madawa ya kulevya vijana wetu wanaangamia.Paul Makonda amepuliza tarumbeta kitu ambacho viongozi wengi kimewashinda.
Najua kila mmoja atatafuta taarifa za Makonda ili mradi tu ziwe ni za kumkatisha tamaa na hii ni tabia ambayo tumekuwa nayo sana watanzania pale anapojitokeza MTU kugusa maslahi yao.
Biashara hii INA mtandao mkubwa ndani na nje ya Serikali na wengi wakubwa hawajapenda pale Makonda alipolianzisha.
Kuhusu majina hilo ni personal Sina comment labda wenye taarifa.ila kwangu si la msingi sana maana hata Mimi najua kuna watu wengi tu wamesoma na majina ya watu wengine miaka ya nyuma ilikuwa kama kawaida toka primary.
La msingi kwangu mimi ni hii vita ya madawa ya kulevya lazima tupigame wote na tu support juhudi za Makonda na sio kuanza kuzizima kwa namna yoyote ile.
Amen mtumishi wa Mungu... hapo ulipo malizia pamegusa hisia zangh..Hakuna vita ya madawa bali kuna vita ya kudhibiti soko, hii ni vita ya magenge ya wauza dawa za kulevya kumalizana huku dola ikitumika bila kujijuwa.
Kuna wahusika siku wakitajwa tu hata wasipokamatwa ndio tutaamini ni kweli kuna hiyo vita dhidi ya dawa za kulevya na rehab zote zifungwe, unapojenga gereji maana yake unaingiza magari na yatahitaji matengenezo.
Mnaimport rizzla halafu mnajifanya mnapiga vits bangi, huu ni unafiki.
NANA GANI? Hebu rahisisha hii kazi basi kaka ili tufanye mengine.Jina lake ni DAUDI BASHITE 100% na uhakika atoke apinge ntaomba chuo na sehem zote nilizosema wanivue elimu zangu kama atakanusha
Hapa kazi ni rahisi sana. Hicho cheti cha form four kingewekwa hadharani iangaliwe index namba
Naam pale MUCCOBS idara ya usajili wa wanafunzi wanakipata fastaWakuu:
Hicho cheti cha Form IV kinapatikana MUCCOBS haya jamani pakueni nondo.
Mamlaka zipo za kufanya kazi hiyo sisi tutapiga kelele tu.Upo sahihi wewe unaweza kukubali watu wakuseme uongo..
Jibu unalo katika nafsi yako vyovyote utakavyonijibu ni sawa!