Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Hapo zamani wengi wetu tulifanya tena karibu wote tuliforge baadhi ya vyeti ili tuendelee na masomo sasa ni yupi awezae kulikubali suala la namna hii kama ni kweli alilitenda..?,hata wewe muuliza swali pia huenda uliforge pahala,JE LINGE BUMBULUKA KWAKO NA LABDA UPO KATIKA MAFASI YA ULAJI UNGEKUBALIANA NALO..???
WEWE "PASKALI"?
 
Wanabodi,
Uwongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, hugeuka ukweli.

Kuna tuhuma za wanafunzi waliokuwa vibonde darani wakafeli, kisha wakachukua majina ya vipanga wakaendelea na masomo na hatimaye kufanikiwa.

Tuhuma kama hii ilianzia kwa Mae. Dr. Hamisi Kigwangala akaikanusha. Jina la Said Nassor Bogoile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

Kisha ikaja kwa Mhe. Mwigulu Nchemba naye akaikanusha,

Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

sasa tuhuma kama hii imeibukia kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.


Mwigulu, Kigwangalla, Makonda jibuni tuhuma hizi nzito

Jee kuna ukweli wowote juu ya hili au ni wivu tuu na wazushi wanaomuonea kijicho kijana kuwa the 2i/c (two I .C) baada ya top, hivyo wanamzushia na kumzulia ili kutaka kumshusha? !.

Jee tuhuma hii iliwahi kukanushwa?. Tuhuma ikitolewa isipo kanushwa, hata kama ni kwa ku ignore tuu, inamaanisha ni silence which means yes!.

Hii kitu inaweza kuwa kweli?!.
Nauliza tuu! .

Paskali.
Paskal Mayala tupige vita madawa ya kulevya vijana wetu wanaangamia.Paul Makonda amepuliza tarumbeta kitu ambacho viongozi wengi kimewashinda.

Najua kila mmoja atatafuta taarifa za Makonda ili mradi tu ziwe ni za kumkatisha tamaa na hii ni tabia ambayo tumekuwa nayo sana watanzania pale anapojitokeza MTU kugusa maslahi yao.

Biashara hii INA mtandao mkubwa ndani na nje ya Serikali na wengi wakubwa hawajapenda pale Makonda alipolianzisha.

Kuhusu majina hilo ni personal Sina comment labda wenye taarifa.ila kwangu si la msingi sana maana hata Mimi najua kuna watu wengi tu wamesoma na majina ya watu wengine miaka ya nyuma ilikuwa kama kawaida toka primary.

La msingi kwangu mimi ni hii vita ya madawa ya kulevya lazima tupigame wote na tu support juhudi za Makonda na sio kuanza kuzizima kwa namna yoyote ile.
 
Paskal Mayala tupige vita madawa ya kulevya vijana wetu wanaangamia.Paul Makonda amepuliza tarumbeta kitu ambacho viongozi wengi kimewashinda.

Najua kila mmoja atatafuta taarifa za Makonda ili mradi tu ziwe ni za kumkatisha tamaa na hii ni tabia ambayo tumekuwa nayo sana watanzania pale anapojitokeza MTU kugusa maslahi yao.

Biashara hii INA mtandao mkubwa ndani na nje ya Serikali na wengi wakubwa hawajapenda pale Makonda alipolianzisha.

Kuhusu majina hilo ni personal Sina comment labda wenye taarifa.ila kwangu si la msingi sana maana hata Mimi najua kuna watu wengi tu wamesoma na majina ya watu wengine miaka ya nyuma ilikuwa kama kawaida toka primary.

La msingi kwangu mimi ni hii vita ya madawa ya kulevya lazima tupigame wote na tu support juhudi za Makonda na sio kuanza kuzizima kwa namna yoyote ile.
GSM ni watuhumiwa na Masogange ni muuza dawa Sugu ni mchepuko wa makonda na GSM ni wafadhili wa makonda, ni vita gani ya madawa inapiganwa kwa kupiga mayowe? Unajua ni wauza madawa wangapi walikimbia na kujificha baada ya Daud Albert kupayuka live? Kwa taarifa yako makonda amechangia vita ya dawa ya kulevya kuwa ngumu kwani wengi sasa wamejua yy amepenyeza Wivu, chuki, kukomoana na kubambikiana kesi, huku akiwasaidia wauza unga kubuni mbinu mpya za kuficha unga baada ya kuanika mbinu za zamani, Paul makonda arejeshe vyeti aende kanisani akatubu arejee kwenye jina lake atapewa uangalizi kwa miaka kadhaa kama TID.
 
Paskal Mayala tupige vita madawa ya kulevya vijana wetu wanaangamia.Paul Makonda amepuliza tarumbeta kitu ambacho viongozi wengi kimewashinda.

Najua kila mmoja atatafuta taarifa za Makonda ili mradi tu ziwe ni za kumkatisha tamaa na hii ni tabia ambayo tumekuwa nayo sana watanzania pale anapojitokeza MTU kugusa maslahi yao.

Biashara hii INA mtandao mkubwa ndani na nje ya Serikali na wengi wakubwa hawajapenda pale Makonda alipolianzisha.

Kuhusu majina hilo ni personal Sina comment labda wenye taarifa.ila kwangu si la msingi sana maana hata Mimi najua kuna watu wengi tu wamesoma na majina ya watu wengine miaka ya nyuma ilikuwa kama kawaida toka primary.

La msingi kwangu mimi ni hii vita ya madawa ya kulevya lazima tupigame wote na tu support juhudi za Makonda na sio kuanza kuzizima kwa namna yoyote ile.
Hakuna vita ya madawa bali kuna vita ya kudhibiti soko, hii ni vita ya magenge ya wauza dawa za kulevya kumalizana huku dola ikitumika bila kujijuwa.

Kuna wahusika siku wakitajwa tu hata wasipokamatwa ndio tutaamini ni kweli kuna hiyo vita dhidi ya dawa za kulevya na rehab zote zifungwe, unapojenga gereji maana yake unaingiza magari na yatahitaji matengenezo.

Mnaimport rizzla halafu mnajifanya mnapiga vits bangi, huu ni unafiki.
 
Hilo linaweza kukanushwa tu ili kuzuia mjadala zaidi, siyo rahisi hata kama ni kweli mtu akubali kuwa alighushi!
Lazima akatae...
Kikubwa uchunguzi ufanyike kimya kimya, hapo yatapatikana majibu sahihi, imezoeleka sana hata kama tuhuma ni za kweli basi zikikanushwa watu wanakubaliana na yale makanusho halafu linaisha!!
Hatutaki kusikia kukanushwa, uchunguzi ufanyike wenye mamlaka watupe majibu...
 
GSM ni watuhumiwa na Masogange ni muuza dawa Sugu ni mchepuko wa makonda na GSM ni wafadhili wa makonda, ni vita gani ya madawa inapiganwa kwa kupiga mayowe? Unajua ni wauza madawa wangapi walikimbia na kujificha baada ya Daud Albert kupayuka live? Kwa taarifa yako makonda amechangia vita ya dawa ya kulevya kuwa ngumu kwani wengi sasa wamejua yy amepenyeza Wivu, chuki, kukomoana na kubambikiana kesi, huku akiwasaidia wauza unga kubuni mbinu mpya za kuficha unga baada ya kuanika mbinu za zamani, Paul makonda arejeshe vyeti aende kanisani akatubu arejee kwenye jina lake atapewa uangalizi kwa miaka kadhaa kama TID.
'We don't need poison fruits'
 
Wewe ni mjinga, hakuna vita ya madawa bali kuna vita ya kudhibiti soko, hii ni vita ya magenge ya wauza dawa za kulevya kumalizana huku dola ikitumika bila kujijuwa.

Kuna wahusika siku wakitajwa tu hata wasipokamatwa ndio tutaamini ni kweli kuna hiyo vita dhidi ya dawa za kulevya na rehab zote zifungwe, unapojenga gereji maana yake unaingiza magari na yatahitaji matengenezo.

Mnaimport rizzla halafu mnajifanya mnapiga vits bangi, huu ni unafiki.
Wauza unga wakubwa kule Brazil na Mexico huwa na kawaida ya kuwatumia wanasiasa kuropoka ili kubaini upepo ukoje kisha kuja na mbinu mpya pia kuwalinda wauza unga Olijino kwani sasa watanzania wengi Akili zao zimehania kweye list ya 97 huku wale magwiji wakiwa wametulia wanawachora kwa mbali. Mpayukaji mpiga mayowe kapata pesa mara mbili kapewa bajeti ya kupayuka pia kapewa pesa na wauza unga olijino kwa kuwasaidia kupindisha upepo, makonda anajua mchezo wote lakini kwa kuwa anajua watanzania huwa ni wepesi wa kukariri na wepesi wa kusahau amepiga mchongo wake sasa yupo ametulia kamwachia kamshina list ya 97 ahangaike nayo mwenyewe.
 
Wanabodi,
Uwongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, hugeuka ukweli.

Kuna tuhuma za wanafunzi waliokuwa vibonde darani wakafeli, kisha wakachukua majina ya vipanga wakaendelea na masomo na hatimaye kufanikiwa.

Tuhuma kama hii ilianzia kwa Mae. Dr. Hamisi Kigwangala akaikanusha. Jina la Said Nassor Bogoile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

Kisha ikaja kwa Mhe. Mwigulu Nchemba naye akaikanusha,

Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

sasa tuhuma kama hii imeibukia kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.


Mwigulu, Kigwangalla, Makonda jibuni tuhuma hizi nzito

Jee kuna ukweli wowote juu ya hili au ni wivu tuu na wazushi wanaomuonea kijicho kijana kuwa the 2i/c (two I .C) baada ya top, hivyo wanamzushia na kumzulia ili kutaka kumshusha? !.

Jee tuhuma hii iliwahi kukanushwa?. Tuhuma ikitolewa isipo kanushwa, hata kama ni kwa ku ignore tuu, inamaanisha ni silence which means yes!.

Hii kitu inaweza kuwa kweli?!.
Nauliza tuu! .

Paskali.
Ata list Kigwangala na Mwigulu baweza kuwasamehe ila kwa Makonda naweza kuamini. Kijana kwa matendo Tu unahuwa hats kile somo la general study hakulisoma vyema japo kwenye Chet uwenda Ana S
 
Binadamu siyo tatizo...ubinadamu ndiyo tatizo.
Weye ukijuwa hivi..wao wajuwa vile.
 
'We don't need poison fruits'
Mnamtetea Makonda kwa maslahi ya nani? Taifa hili limejaa wajinga, kama kuna taarifa kwamba Makonda alifeli na kununua cheti/jina kwa nini visiachiwe vyombo husika vichunguze? kama serikali imesimamisha mambo mengi tu kwa madai kuwa inafanya ukaguzi wa uhalali wa vyeti na ajira hewa, kwanini ishindwe kufanyia kazi taarifa kama hizi? Kelele alizopiga dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya hazipaswi kuwa defence kwake asichunguzwe. Sio ajabu yale ambayo anayafanya ni matokeo ya hicho kinachodaiwa sasa!
 
Wanabodi,
Uwongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, hugeuka ukweli.

Kuna tuhuma za wanafunzi waliokuwa vibonde darasani wakafeli, kisha wakachukua majina ya vipanga wakaendelea na masomo na hatimaye kufanikiwa.

Tuhuma kama hii ilianzia kwa Mae. Dr. Hamisi Kigwangala akaikanusha. Jina la Said Nassor Bogoile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

Kisha ikaja kwa Mhe. Mwigulu Nchemba naye akaikanusha,

Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

sasa tuhuma kama hii imeibukia kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.


Mwigulu, Kigwangalla, Makonda jibuni tuhuma hizi nzito

Jee kuna ukweli wowote juu ya hili au ni wivu tuu na wazushi wanaomuonea kijicho kijana kuwa the 2i/c (two I .C) baada ya top, hivyo wanamzushia na kumzulia ili kutaka kumshusha? !.

Jee tuhuma hii iliwahi kukanushwa?. Tuhuma ikitolewa isipo kanushwa, hata kama ni kwa ku ignore tuu, inamaanisha ni silence which means yes!.

Hii kitu inaweza kuwa kweli?!.
Nauliza tuu! .

Paskali.
Means Yes/No it depends kwahiyo usilazimishe kwamba Kuwa kwao KIMYA jibu lazima liwe YES
 
Tuhuma nzito na zina mashiko lakn kwa sababu ya mahaba ya baba kwa mwanae wa kisukuma itaonekana kama mnahusda nae
Majungu na fitna za kibongo tu, siku zoote hizo walikuwa wapi kuzisema wasubiri kawakomalia wauza unga ndio wanabwatuka.
ni paul christian makonda ila kuna tuhuma za daudi albert makonda
 
Tuache wivu,, Over,, Makonda anafaa kuwa kiongozi,, Over ,, hata kama hana Elimu lakini ameonyesha ana kipaji cha uongozi kazaliwa nacho ,,Over,, Hata mimi Babu yangu hakusoma lakini alikuwa ni Chief bora kabisa katika ukanda wa kule kwetu,, sifa zake zimetapakaa hadi kesho utazikuta ,,,
Nenda kule Butiama utakutana na jina la Burito Nyerere huyu babu hakupiga kidato chochote,, bali alizaliwa na Kipaji cha Uongozi.,,Hivyo Makonda unaweza kumuweka katika kundi hilo,,
Labda hao wengine wawili Nchemba na Ngwangala hawo mnaweza kuendelea kuwahoji. Lakini Makonda Amefiti acheni kijana apige kazi OVER,,

Mnaacha kujadili kwann Caf wanaidhalilisha Yanga kwa kuipangia vitimu vya Comoro,, Shelishel na Madagasca,, wakati huo huo Tff nao wanaendeleza dharau kama hizo za Caf kwa kuiweka Yanga kundi la akina Kiluvya fc na Kumung,unya Rangers,, Nyie mkalia habari za MAKONDA tu.
 
Majungu na fitna za kibongo tu, siku zoote hizo walikuwa wapi kuzisema wasubiri kawakomalia wauza unga ndio wanabwatuka.
Akili zako hazina akili, au we Daudi Albert mwenyewe? Mpaka sasa wauza unga wangapi waliofikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kuhusika na biashara hiyo? Je wajua biashara ya unga haina dhamana? Kwanini wote walioitwa wamepewa dhamana? Sasa wewe mpumbuvu usiyetumia chembe ya akili hata kufikiri japo kidogo kutambua hili kuwa ni mchezo wa mpuuzi mwenzako Daudi?
 
Back
Top Bottom