PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,093
- 29,853
Hapa Dar kuna washamba wengi kushinda huko kwenye maeneo ya wakulima...
Nenda maeneo ambayo kahawa inalimwa uone utofauti uliopo ukilinganisha na maeneo yalimwayo korosho!
Hapa Dar kuna washamba wengi kushinda huko kwenye maeneo ya wakulima...
Nenda maeneo ambayo kahawa inalimwa uone utofauti uliopo ukilinganisha na maeneo yalimwayo korosho!
Unachobisha nini sasa tumekaa huko mtwara miaka 8 hayo yote yanajulikanaWewe mtoa mada ni muongo mkubwa hayo unayosema ni hadithi za kusimuliwa tena ni uzushi unaoenezwa juu ya watu wa kusini ili waonekane ni wajinga.....
Sijawahi kusikia kashfa za kijinga kama hizi kwa wakulima wa kahawa,tumbaku,alizeti,mahindi na pamba isipokuwa korosho tuu,ebu waacheni wakulima wafanye maisha yao
Wakulima wote wa kahawa wakipata pesa wanakimbia kilipa karo za watoto wao na kujenga nyumba imara ndo maana wakulima hao wa Kili, Kagera, Mbeya, Lushoto na sehemu nyingine zinazozalisha hilo zao wameendelea kwa kila kitu.Wewe mtoa mada ni muongo mkubwa hayo unayosema ni hadithi za kusimuliwa tena ni uzushi unaoenezwa juu ya watu wa kusini ili waonekane ni wajinga.....
Sijawahi kusikia kashfa za kijinga kama hizi kwa wakulima wa kahawa,tumbaku,alizeti,mahindi na pamba isipokuwa korosho tuu,ebu waacheni wakulima wafanye maisha yao
Nimekakaa tandahimba miaka 8 hao watu ndivyo walivyoMiminipo kusini huku nadhibitisha kuwa alicho kiandika mtoa post niukweli mtupu
Mkuu wale huwa hawana " n" sound kwawao wameshaelewa ww ndio huja elewa kwanini nimeandika hivyoNtwala? Wewe utakuwa Wa kanda ya ziwa.
Na wakimaliza kuvuna wanaondoka taratibu kurudi makwaoWakuu hili la warembo kuongezeka kwa ghafla lipo. Sio Mtwara mjini tu. Nenda Tandahimba, Newala, Nanyamba, Masasi, Mangaka na miji midogomidogo miingi tu utawakuta warembo wamekaa kimitego kwelikweli. Naona nao wamekuja kusaidia kuvuna korosho!
Kila MTU ana sensible spending kwa pesa yake.. So hzo ni porojo tuUkweli niupi
Sasa miaka 8 hujaona fursa?sasa hivi si ungekuwa unazalisha tani 20 then unapokea mil 60.We we ni walewale wanaoanza kulia wivu baada ya kusikia wakulima wanakinga mkwanja.Nimekakaa tandahimba miaka 8 hao watu ndivyo walivyo
Aliyekuambia nilienda kulima korosho nani na una uhakika gani sikutumia fursa?mwenzio niliwekeza malengo ya lipo tumia nikarudi zangu mwanza kuendesha shughuli zanguSasa miaka 8 hujaona fursa?sasa hivi si ungekuwa unazalisha tani 20 then unapokea mil 60.We we ni walewale wanaoanza Julia wivu baada ya kusikia wakulima wanakinga mkwanja.
Tatizo LA watu hawataki kuendana na wakati zaidi wanaanza kulia lia kuhusu pesa za wakulima.Watumishi lazima tubadilike LA sivyo kila Mwaka tutashuhudia wakulima wa kahawa,pamba ,kakao,korosho wanakinga mamilioni huku sisi tukipiga kelele za increment.Waoe hata wahonge, cha msingi pesa imebaki kwenye mzunguko nchini.
Vipi kuhusu malaya wanaojazana pale dodoma kwenye kipindi cha bunge la budget je nao wabunge ni washamba kama walivyo wakulima wa korosho??Unachobisha nini sasa tumekaa huko mtwara miaka 8 hayo yote yanajulikana
Hapa dar kila kona warembo wanajiuza vipi na wao wanawasaidia wakazi wa dar kuvuna korosho???Wakuu hili la warembo kuongezeka kwa ghafla lipo. Sio Mtwara mjini tu. Nenda Tandahimba, Newala, Nanyamba, Masasi, Mangaka na miji midogomidogo miingi tu utawakuta warembo wamekaa kimitego kwelikweli. Naona nao wamekuja kusaidia kuvuna korosho!
Kama uko mwanza,Serikali imeshaanza kugawa mbegu za pamba kwa wakulima.Hivyo hakikisha na wewe unapata ili payroll za wakulima wa pamba zikianza kutoka na wewe uwemo.Wenzio ukija kwenye korosho wamo,kahawa wamo huko mbinga,pamba wanalima huko simiyu,uvuvi wanamiliki boti huko mwanza na biashara wanafanya.Sasa jiulize MTU kama uyo anakinga kiasi gani?Aliyekuambia nilienda kulima korosho nani na una uhakika gani sikutumia fursa?mwenzio niliwekeza malengo ya lipo tumia nikarudi zangu mwanza kuendesha shughuli zangu
Nani akalime pamba hii hii ambayo ilifanyiwa hujuma miaka ya 2003'? Acha tupambane na shughuli zingine kilimo tuwaachie wenyeweKama uko mwanza,Serikali imeshaanza kugawa mbegu za pamba kwa wakulima.Hivyo hakikisha na wewe unapata ili payroll za wakulima wa pamba zikianza kutoka na wewe uwemo.Wenzio ukija kwenye korosho wamo,kahawa wamo huko mbinga,pamba wanalima huko simiyu,uvuvi wanamiliki boti huko mwanza na biashara wanafanya.Sasa jiulize MTU kama uyo anakinga kiasi gani?