Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,530
Hiyo ni habari nyingine labda tuwaulize wabungeVipi kuhusu malaya wanaojazana pale dodoma kwenye kipindi cha bunge la budget je nao wabunge ni washamba kama walivyo wakulima wa korosho??
Hiyo ni habari nyingine labda tuwaulize wabungeVipi kuhusu malaya wanaojazana pale dodoma kwenye kipindi cha bunge la budget je nao wabunge ni washamba kama walivyo wakulima wa korosho??
Ni kwamba tofauti na matarajio;
- baada ya kulipwa pesa za korosho wengine wameongeza wake,
- Baada ya kuuza korosho wengine wametapeliwa na vimada,
- Baada ya kuuza korosho wengine hawajarudi makwao hadi hivi sasa,
- Baada ya kuuza korosho wachache wamekumbuka kufanya maendeleo,
- Baada ya kuuza korosho wengi wameparamia kununua RADIO KUBWA zile PANASONIC na sambufa wakicheza na kuruka,
- Baada ya kuuza korosho wananywesha SODA hadi mbuzi na kuwavisha miwani kama ishara ya U-doni,
- Baada ya kuuza korosho wananunua hadi madela ya kuvalisha mbuzi wao.
- Baada ya kuuza korosho mabasi kama BUTI LA ZUNGU,MANING NICE yanaendelea kushusha warembo wa kila aina kuja kuhakikisha mkulima wa korosho anarudi shambani mapema iwezekanvyo...
Wanaondoka tartiiiiibu na furushi la fweza!N
Na wakimaliza kuvuna wanaondoka taratibu kurudi makwao
Na wanawapuna kwelikweli.Ahahah,,nimecheka hapo MABASI ya buti la zungu na MANING NICE yanashusha warembo kwa wingi tokea Daresalaam ili kuhakikisha wakulima wanarudi mashambani haraka,, haahah,, kwaiyo wawapune fedha zote ili wawai mashambani
Pesa wazitoe wapi ili hali huwa wanazimalizia kwenye kuvaa kujiremba kumililiki misimu ya gharamaWanaondoka tartiiiiibu na furushi la fweza!
Haa sawa hawa wasukuma, wengi walienda kule kusini, hasa maeneo ya Rwangwa na Nachingwea.Aliyekuambia nilienda kulima korosho nani na una uhakika gani sikutumia fursa?mwenzio niliwekeza malengo ya lipo tumia nikarudi zangu mwanza kuendesha shughuli zangu
Kawaida sana ndiyo maisha hayana formulaHaa sawa hawa wasukuma, wengi walienda kule kusini, hasa maeneo ya Rwangwa na Nachingwea.
Ila wakaferi madini hakuna, wengi walitumikishwa sana, wengine wakaolewa kule, Walikua wakijulikana, wakitembea vichwa huinamia chini kwa mawazo.
Nadhani kati ya miaka ya 2003 hadi 2004. Kipindi hicho nilikua nafanyia kazi zangu Nachingwea.