MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wewe ni takatakaMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Tena takataka zenye harufu, anatufanya sisi kama watoto wadogoWewe ni takataka
Huyu kachukua habari juu kwenye gazeti la champion bila kusoma content ya ndani halafu analeta ramli zake ,heading ya gazeti imesema "matajiri wa Yanga waweka billion 1.5 Nigeria" lakini kwenye content ni gharama zote za safari kuanzia hoteli ,malazi na kukokodi ndege.Tena takataka zenye harufu, anatufanya sisi kama watoto wadogo
We interahamwe tu fitina na choyo vinakusumbuaMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Kumbe kaenda kufanya biashara hahahaMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Duuh wewe ungekuwa mwanamke ungezalishwa na kila mtu na kutelekezwa maana hauna msimamo kabisa, unaongea hiki leo kesho yake unakanusha kile kile ulichoongea ata familia yako inayo kazi ya ziadaMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Inabamba kidogo simulizi yako mkuu! Sikujua kumbe we ni mtunzi mzuri haaa!Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
1.5BKwani bajeti ya usajiri wa yanga kwa mwaka huu ni sh ngapi?
Tuanzie hapo kwanza.
Ujiandae kisaikolojia usiwe mbishi wa hovyo vinginevyo utakuwa mshirikina wewe.Meza inapinduliwa kibabeGenta ,genta ,genta nimekuita mara tatu endapo rivers ikishinda jipige ban. sisi mashabiki SIMBA tunamimamo imara na huwa tunaziamini timu zetu za mkopo sisi huwa hatuandai visingio ambavyo ambavyo havina mana kama hivi. LEO FT. RIVERS UTD 3 VS DAH YANGA YAFIRIKA 0.
Msema kweli wa yote kwenye mechi ya Ngao ya jamii Tarehe 25/9/2021 kwa Mkapa.Mbwembwe,makelele na Majivuno yote ndiyo mwisho wake.Siku si nyingi ukweli utajidhihirisha tutajua mbivu na mbichi.Hizo Bil 2 amepewa mpimaji wa Covid au Refa?.
Kama amepewa Refa sawa ni kawaida yao, maana kwenye ligi tuliona wanafungwa goli kisha Refa anasema hiyo ni Kona.
Ila naona kama wanachezea fedha tu, Timu yao ina uwezo wa kucheza Dk 45 tu.
Wew in utopolo tu,avatar yako inasadifu uliyasema kipigo kipo pale pale utoMnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
π€£π€£π€£π€£π€£1.5B
Sijakulazimisha uufungue na Uusome tafadhali na acha kunilazimisha nikujibu Kunya ( Hovyo ) uanze Kuichukia rasmi hi ID sawa? Endelea tu Kushoboka nami Kiboya!Peleka uzi jukwaa la vibonzo
Kwa hiyo tumuite Kapumbu?Babra kazi unayo.Roho inakuhuma sana kuhusu Yanga, jiandae kisaikolojia utapata tabu sana kuanzia msimu huu sasahivi ukweli wa Yanga ilivyo mnaujua mnachokifanya ni kujitutumua tu.Msimu huu na kuendelea mashabiki wa Simba SC mjiandae kisaikolojia acheni mbwembwe na Majivuno ,Yanga amejipanga kwelikweli.Muda utasema na kwa wale wenye kuweka kumbukumbu wekeni maneno yangu haya Kama hadidu za rejea.