MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.