Baada ya CEO Senzo kumaliza Biashara Kesho Rivers United FC anafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na Wanunuaji FC

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,734
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Wewe ni takataka
 
Tena takataka zenye harufu, anatufanya sisi kama watoto wadogo
Huyu kachukua habari juu kwenye gazeti la champion bila kusoma content ya ndani halafu analeta ramli zake ,heading ya gazeti imesema "matajiri wa Yanga waweka billion 1.5 Nigeria" lakini kwenye content ni gharama zote za safari kuanzia hoteli ,malazi na kukokodi ndege.
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
We interahamwe tu fitina na choyo vinakusumbua
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Kumbe kaenda kufanya biashara hahaha
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Duuh wewe ungekuwa mwanamke ungezalishwa na kila mtu na kutelekezwa maana hauna msimamo kabisa, unaongea hiki leo kesho yake unakanusha kile kile ulichoongea ata familia yako inayo kazi ya ziada
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Inabamba kidogo simulizi yako mkuu! Sikujua kumbe we ni mtunzi mzuri haaa!
 
Kwani bajeti ya usajiri wa yanga kwa mwaka huu ni sh ngapi?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Genta ,genta ,genta nimekuita mara tatu endapo rivers ikishinda jipige ban. sisi mashabiki SIMBA tunamimamo imara na huwa tunaziamini timu zetu za mkopo sisi huwa hatuandai visingio ambavyo ambavyo havina mana kama hivi. LEO FT. RIVERS UTD 3 VS DAH YANGA YAFIRIKA 0.
 
Genta ,genta ,genta nimekuita mara tatu endapo rivers ikishinda jipige ban. sisi mashabiki SIMBA tunamimamo imara na huwa tunaziamini timu zetu za mkopo sisi huwa hatuandai visingio ambavyo ambavyo havina mana kama hivi. LEO FT. RIVERS UTD 3 VS DAH YANGA YAFIRIKA 0.
Ujiandae kisaikolojia usiwe mbishi wa hovyo vinginevyo utakuwa mshirikina wewe.Meza inapinduliwa kibabe
 
Hizo Bil 2 amepewa mpimaji wa Covid au Refa?.

Kama amepewa Refa sawa ni kawaida yao, maana kwenye ligi tuliona wanafungwa goli kisha Refa anasema hiyo ni Kona.

Ila naona kama wanachezea fedha tu, Timu yao ina uwezo wa kucheza Dk 45 tu.
Msema kweli wa yote kwenye mechi ya Ngao ya jamii Tarehe 25/9/2021 kwa Mkapa.Mbwembwe,makelele na Majivuno yote ndiyo mwisho wake.Siku si nyingi ukweli utajidhihirisha tutajua mbivu na mbichi.
 
Mnaobeti Kazi ni Kwenu tu kwani Senzo Mbatha Mazingisa kwa Maagizo ya Wadhamini Wakuu wa Klabu MSG wameshamalizana Kimjini Mjini na Rivers United FC na Kesho wanafungwa ama 2 kwa 0 au 3 kwa 1 na hatimaye Wanunuaji FC kutoka Jangwani na Twiga wanasonga mbele.

Shilingi Bilioni 2 za Tanzania zimemaliza Kazi na Kesho Wanunuaji FC wanapindua Meza Kiulaini na tutawakoma.
Wew in utopolo tu,avatar yako inasadifu uliyasema kipigo kipo pale pale uto
 
Babra kazi unayo.Roho inakuhuma sana kuhusu Yanga, jiandae kisaikolojia utapata tabu sana kuanzia msimu huu sasahivi ukweli wa Yanga ilivyo mnaujua mnachokifanya ni kujitutumua tu.Msimu huu na kuendelea mashabiki wa Simba SC mjiandae kisaikolojia acheni mbwembwe na Majivuno ,Yanga amejipanga kwelikweli.Muda utasema na kwa wale wenye kuweka kumbukumbu wekeni maneno yangu haya Kama hadidu za rejea.
Kwa hiyo tumuite Kapumbu?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom