Baada ya BRT kukosa mabasi mradi wa Mbagala waanza kuchakaa kabla ya uzinduzi pamoja na kwamba umekamilika kwa 99.9%

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,458
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s,vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
Mf wakija wawekezaji mfano wa dpw utaelewana kweli!
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s,vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
Ujenzi haujakamilika ingawa wewe unaona umekamilika. Au unashauri waanze operation kabla miundombinu kukamilika?
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s,vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
Mbona hivyo tajwa hapo havihitaji uchunguzi. Vinaonekana wazi kabisa.

Nafikiri ni swala la muda tu, BRT-MBAGALA itaanza kufanya kazi.
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
lile gazeti la jamhuri lipo wapigieni simu
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
Kwani Hangaya anajua nini zaidi ya kuhangaika huko angani kama mwewe, kimsingi nchi kuwapa hawa wabeijing ni majanga tu yaani wanawaza lipstick tu na shedo baaasi, vinginevyo mtajua wenyewe.
 
Back
Top Bottom