Baada ya Bibi bomba Kuvua taji

Baada ya Bibi bomba Kuvua taji

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,032
Reaction score
13,395
Haya ndo yanayotokea
 

Attachments

  • IMG_20141025_225724.jpg
    IMG_20141025_225724.jpg
    22.5 KB · Views: 1,511
  • IMG_20141025_225128.jpg
    IMG_20141025_225128.jpg
    18.9 KB · Views: 1,393
  • IMG_20141025_224819.jpg
    IMG_20141025_224819.jpg
    11.1 KB · Views: 1,347
  • IMG_20141025_224704.jpg
    IMG_20141025_224704.jpg
    20.5 KB · Views: 1,319
  • IMG_20141024_172458.jpg
    IMG_20141024_172458.jpg
    44.2 KB · Views: 1,416
Bora ya mchawi koliko mfitini shangazi pole sana ndo ulimwengu ulivo
 
jamani hebu muacheni apumue, utafikiri akilivua hilo taji mtavaa nyie. kuna mengi ya kupigia kelele nchi hii zaidi ya hilo la miss tz. nani kanunaaaaa??????:A S wink:
 
wabongo wanaipenda miss tz kushinda katiba,laiti upinzani huu ungalionyeshwa dhidi ya kibabu sit-t-a tungelipata katiba nzuri sana
 
Mkuu the don kama mtu atayajua kuyatafakuru na kuyatafakari hayo basi ni ya maana sana tena ni mazito sadakta
 
Duh! Eti Bibi Bomba, hii nimeipenda kweli.
Ova
 
amsaidie babake kuuza watanzania ktk ukahaba uarabuni - serikali ilimpa kibali:angry:
 
Nani kasema atarudisha hao Rita sijui Takukuru wataenda huko watajifungia weee wakitoka utasikia ushahidi hautoshi tumeshazoea TZ.
 
jamani hebu muacheni apumue, utafikiri akilivua hilo taji mtavaa nyie. kuna mengi ya kupigia kelele nchi hii zaidi ya hilo la miss tz. nani kanunaaaaa??????:A S wink:

Hapumui mpaka arudishe taji apewe mshindi halali. Kwa taarifa tu ni kwamba hakuna anaelitaka twataka avae anaesyahili NUKTA UPO BIBI???!!!!
 
Back
Top Bottom