Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 5,217
- 15,567
MORUWASA inatoa rai kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za uvujaji wa maji kwa wakati ikiwemo kupitia kwa Viongozi wa Serikali za Mitaa ili changamoto hizo zifanyiwe kazi kwa wakati.
Awali, Mdau aliandika kuwa wanapata changamoto hiyo katika Wilaya ya Morogoro Mjini, Kata ya Mji Mkuu, Mtaa wa Bomaroad ambapo bomba la maji safi limepasuka, maji yanavuja na hatua hazijachukuliwa.
Hoja ya awali ~ Morogoro Mjini, Mtaa wa Bomaroad bomba limepasuka linamwaga maji safi miezi 6 hakuna anayejali