Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 352
- 170
BAK.. unanielewa vibaya kabisa. Mimi sipingi uraia wa nchi mbili at all.. napinga kanuni zinazopendekezwa. Hatuwezi kubadilisha nature ya uraia wetu kwa sababu ya rangi, nasaba, hali ya kiuchumi, kufuata mtindo n.k.. we have to articulate proper arguments why we have to change.. siyo nchi zote duniani zinaruhusu uraia wa nchi mbili hata zile za kiafrika au za kimagharibi. Sielewi kwanini tuonekane tunafuata zile za nchi fulani na zile za nchi nyingine tuone hazifai.
Mwanakijiji na wengine,
Hapa nakubaliana na nyie kuwa ni heri kuruhusu uDC kwa watu wa kawaida. Waweke mipaka kwa watu wa juu tu ambao itakuwa ni rahisi hata kuwachunguza. Sasa hivi kusema eti usalama wa taifa uje uchungeze kama mie hapa nina uraia wa nchi mbili, itakuwa kichekesho.
Ila kama watapunguza idadi na kubaki wanachunguza wale wa juu tu, itakuwa hata ni rahisi kufanya huo uchunguzi. Kwa nini tuwe na sheria nchini ambazo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wala hawawezi kufuatilia? Kibaya zaidi ni kuwa watawabana masikini na waaminifu ila wenye pesa zao na "mabaharia" wataendelea kudunda kama kawaida.